Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini


wanaolalamika mkasa mrefu nani kawalazimisha kusoma au kuifatilia, wewe tiririka kama ulivyokusudia wengi watasoma.

kila mtu ana maoni yake hata ukipost neno "nawapenda wote huku ndani" still kunaraia watakashifu tu nashauri na kukutia moyoi, kama umekusudia kusimulia mkasa huu basi endeleea.
 
Hawawezi kutoa nyaraka hata moja coz kuna watuhumiwa bado wapio ICC na bado kesi zao hazijaisha.na nimefuatilia kwa karibu sanaa lakini Hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante ,ila kama nilivyosema mwanzo najitahidi kukumbuka .kichwa kimechoka uzee babaa nisamehe.simu yenyewe natumia ya tigo tujiftishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante ,ila kama nilivyosema mwanzo najitahidi kukumbuka .kichwa kimechoka uzee babaa nisamehe.simu yenyewe natumia ya tigo tujiftishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee Baba unaweza kutueleza kwanini katika safari ile ya kurudi toka Dsm Rais Juvenile Habyalimana wa Rwanda na Cprian Ntadyamila wa Burundi walipandishwa ndege moja!
 
Basi mimi nikarudi kulala kwenye gari,alfajiri na mapema gari likaanza safari tena nakumbuka tulifika stand kuu Kahama kana saa tatu usiku hivi. yani tulitumia kama siku mbili hivi Dar-kahama .leo hii dar - Kahama unatumia siku moja umefika halafu utasikia mtu anasema nchini hii bwana hakuna maendeleo kabisa daa!!!
“kama hizi zote hazina haja”

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee Baba unaweza kutueleza kwanini katika safari ile ya kurudi toka Dsm Rais Juvenile Habyalimana wa Rwanda na Cprian Ntadyamila wa Burundi walipandishwa ndege moja!
Huyo wa Burundi aliitwa Cyprien Ntaryamira. Nae alikuwa na ndege yake lakini aliamua kupanda ndege ya jirani yake kwa vile ile ya Habyarimana ambayo alikuwa kapewa na serikali ya Ufaransa ilikuwa ni ya kisasa na yenye kasi zaidi kuliko ya kwake. Pia walikuwa na mambo yao ya kuteta wao kama marais na baadhi ya wasaidizi wao.

Chini ni picha ya makazi ya rais Habyarimana ambapo nyuma ya nyumba hiyo ndipo ndege iliyowachukua marais hao ilipoangukia baada ya kuwa imeshambuliwa. Mahesabu yalipigwa kiasi kwamba ndege ilipotwangwa makombora ikiwa angani ilikuja kuangukia ndani kabisa ya makazi ya rais maeneo ya Kanombe umbali mfupi kutoka ulipo uwanja wa ndege wa Kigali. Picha nyingine ni mbaki ya ndege hiyo iliyotunguliwa ambayo hadi leo yapo kwenye makazi hayo japo uwa hawaruhusu watu kuyapiga picha labda upige kiwiziwizi.

Mara kadhaa nimefika kwenye eneo hilo ambalo kwa sasa ni kwa ajili ya makumbusho. Hata hivyo uwa nashindwa kuamini kuwa pale kweli palikuwa ni makazi ya rais labda pengine kutokana na umasikini wa nchi hiyo kwa miaka hiyo. Mfano ukuta wenyewe unaozunguka makazi hayo ni wa matofali ya kuchoma tena ya kawaida tu na pia jengo lenyewe kama linavyoonekana pichani ni la kawaida tu japo ndani kulikuwa na ulinzi na tahadhari za kutosha za kiusalama plus ushirikina wa hali ya juu.
 

Attachments

  • images (16).jpeg
    45.4 KB · Views: 69
  • images (17).jpeg
    38 KB · Views: 69
Wee jamaa ni POPOMA, yani sijui wazazi wako walilipia ada ya nini?? Halafu utakuta et na ww una mpenzi!!!!!

Wapi amesema kipindi hicho alikuwa amesoma chuo kikuu?? Wapi amesema alisoma Rwanda???

Kichwani mwako umebeba makamasi tu

Kizibo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]....! Jf kiboko I see “Halafu utakuta et na ww una mpenzi!!!!”

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kabisa mkuu maana haiwezekani JWTZ walitumwa kwenda kuisaidia Frelimo halafu Hapo Rwanda wasitumwe halafu mpaka ukafungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo Gitarama ndo kuna makumbusho makubwa ya hayo mauaji. Butare( Huye) yakifanyika mauaji makubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unitumie hii story yako kwenye PM.

Hawa watoto wa cerelac ni shida.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa huyu mleta story anatumia nguvu nying kuliko kuleta mwendelezo wa story Yeye kutwa kujibu story yenyew unaandika kidogo kidogo Sasa s uweke nguvu zako kwenye mwendelezo kuliko kujibu kujibizana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…