Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaAmenifanya nimekesha kwa urongo wa ITAENDELEA
Yaani watu wanadhani vita ya rwanda ilianza mwaka 1994?vita ya rwanda ilianza miaka ya 60 huko...inawaka ..inazima..mwaka 1990 vita ilikuwepo pia ndio iliyoanzisha ya 1994...sema tu ya mwaka 1994 ilikuwa funga kazi..kwahiyo msimuliaji akianzia kusimulia vita ya mwaka 1990 msishangae sana.Nadhani anaelezea kuanzia mwaka 1989 mkuu na sio 1994 ambao ndio vita hiyo ilianza mkuu.
Kama ni long stori halafu unaandika vipande namna hii, i bet itakuchukua miaka miwili kuimaliza. Halafu sijui ni nani aliwaambia ukiweka vipande ndio mambo yananoga. Unakuta mtu anaandika itaendelea na hata aya mbili hazijai.
Soma kwanza uelewe, ndio uanze kuuliza maswali.We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.
Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.
Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?
Jibu huna Mpira uishie hapa.
" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.
@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.
Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.
Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?
Jibu huna Mpira uishie hapa.
" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.
@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
Huyo hajitambui linasema halafu hatuelewi.Nadhani anaelezea kuanzia mwaka 1989 mkuu na sio 1994 ambao ndio vita hiyo ilianza mkuu.
We ndo mpumbavu unashindwa kutofautisha stashahada na shahada halafu unajiona mjanja kumbe empty, ukipigwa ban utakuja na iD nyingine humu kulalamika unaonewa.
Umesema ukweli kabisaWe Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.
Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.
Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?
Jibu huna Mpira uishie hapa.
" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.
@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
alijiandaa kukosoa!Mbona inaonekana wewe ndiye una haraka? Wengi tunafahamu kwamba vita imeanza mwezi huo wa nne hadi wa saba tena mwaka 1994. Yeye ameanza na mwaka aliomaliza masomo ya stashahada mwaka 1989 na kupata kazi kwenye ubalozi huko Rwanda. Bado anaendelea na background hajafikia kipindi vita imeanza.
Mleta mada chukua huo ushauri ni mzuri.Boss Mtoa mada , story yako inaweza ikawa nzuri sana , ila huo mfumo wa kuleta nusu nusu , Huenda ukakupunguzia wasomaji wengi Akina mie ,
Kaa chini andika story yote , ukiileta tuisome kwa flow nzuri
Ni ushauri tu unaweza ukapuuzia pia!
Sent using Jamii Forums mobile app