Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Ushauri wa bure usiweke mambo yasiyo na msingi ili stori iwe fupi na ivutie wasomaji wengi.

Kwa mfano nikachukua basi kwenda Nyamirambo haina haja kuadisia basi ya rangi gani nauli sijui sh ngap huko ni kupoteza muda tu.

Weka vile vitu muhimu sana na ambavyo vilikupa changamoto na hutosahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani anaelezea kuanzia mwaka 1989 mkuu na sio 1994 ambao ndio vita hiyo ilianza mkuu.
Yaani watu wanadhani vita ya rwanda ilianza mwaka 1994?vita ya rwanda ilianza miaka ya 60 huko...inawaka ..inazima..mwaka 1990 vita ilikuwepo pia ndio iliyoanzisha ya 1994...sema tu ya mwaka 1994 ilikuwa funga kazi..kwahiyo msimuliaji akianzia kusimulia vita ya mwaka 1990 msishangae sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
+1
Anasema story itaendelea halafu muda huo huo yupo busy kujibu comments , nimebaki nikijiuliza badala ya kujibu comments si bora angeendeleza story? Au kwa nini asikae akaandika story yote , then ailete kwa maramoja ?,
Kama ni long stori halafu unaandika vipande namna hii, i bet itakuchukua miaka miwili kuimaliza. Halafu sijui ni nani aliwaambia ukiweka vipande ndio mambo yananoga. Unakuta mtu anaandika itaendelea na hata aya mbili hazijai.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.

Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.

Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?

Jibu huna Mpira uishie hapa.

" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.

@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
Soma kwanza uelewe, ndio uanze kuuliza maswali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakurupuka wakati hujui kitu, nani alikwambia kuwa vita ilianza 1989?, uwe unasoma uelewe sio kujifanya anajua kumbe hujui kitu. Nilianza safari yangu 12.06.mwaka 1989. Kipindi hicho nilikmkuta rais wa nchi ni juvenary habyarimana wenyewe rwanda walikuwa wanapenda kumuita muugano wingawo( yani mwanaume wa wanaume) chini ya chama chake cha MRND. Nadhani nimekukimbi sawia ila acha kuropoka.
We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.

Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.

Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?

Jibu huna Mpira uishie hapa.

" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.

@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.

Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.

Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?

Jibu huna Mpira uishie hapa.

" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.

@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
Umesema ukweli kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona inaonekana wewe ndiye una haraka? Wengi tunafahamu kwamba vita imeanza mwezi huo wa nne hadi wa saba tena mwaka 1994. Yeye ameanza na mwaka aliomaliza masomo ya stashahada mwaka 1989 na kupata kazi kwenye ubalozi huko Rwanda. Bado anaendelea na background hajafikia kipindi vita imeanza.
alijiandaa kukosoa!
 
Back
Top Bottom