Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafadhali sana usimtukane usiye mjua. Hujui amekumbwa na changamoto gani. Hebu jiulize na yeye akijibu si tutakua tunasoma upumbavu tuAchana nae huyo mnambe. JF siku hizi Imevamiwa na wapumbavu kiwango cha SGR.
Mzee unatudanganya.
Ulikumbana na mawasiliano magumu wakati umesoma chuo kikuu kwa hiyo na kiingereza hawajui hujui?
Kule mwanzo unesema unesoma chuo Kule Kule rwanda halafu wakati unaoata ajira unaenda kuripoti unasema Ni Mara yako ya kwanza kwenda nje ya nchi??
CHAIII HII
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😆mi pia hapa kanichosha+1
Anasema story itaendelea halafu muda huo huo yupo busy kujibu comments , nimebaki nikijiuliza badala ya kujibu comments si bora angeendeleza story? Au kwa nini asikae akaandika story yote , then ailete kwa maramoja ?,
Sent using Jamii Forums mobile app
Malizia achana nao, tuna hamu ya kusikia hata hao wanaokashifu ni hamu tu yakusikia mpaka mwisho ila hawana patience!Hii ni fact kabisa kwa kile nilichokishuhudia rwanda ,tatizo watu wanakuja na comments za kukatisha tamaa na matusi naona hata uvuvi kuendelea na hii kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule ni mto Kagera na rusumo ni maporomoko tu
Acha roho mbaya weweBossless,
We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.
Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.
Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?
Jibu huna Mpira uishie hapa.
" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.
@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
Kasema ni 1989 ndo kaenda Rwanda sio kipibdi cha vita. Hebu mkuu kuwa na subira.Bossless,
We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.
Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.
Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?
Jibu huna Mpira uishie hapa.
" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.
@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
LIKUD,
Mbona inaonekana wewe ndiye una haraka? Wengi tunafahamu kwamba vita imeanza mwezi huo wa nne hadi wa saba tena mwaka 1994.
Yeye ameanza na mwaka aliomaliza masomo ya stashahada mwaka 1989 na kupata kazi kwenye ubalozi huko Rwanda. Bado anaendelea na background hajafikia kipindi vita imeanza.