Serikali ukishamaliza kazi yao Haina time na wewe ,waulize wastaafu uliokaribu nao watakwambia.Mkuu huyu maza aliekuwa balozi bado yupo kweli? Natamani hata nimpelekee zawadi ndogo tu. Je serikali inamjua mpaka sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua hivyo maana ingekuwa field aliyotajwa mafaili yangekuwa yamefunguliwa kujua ni nani? hata hivyo wakitaka kumjua mbona ni chap tu ila ngoja amalizie story yake.Huyu mshua humo ubalozini hakuwa hata mhasibu..alikuwa field nyingine tofauti na accounts
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndio nimekuja kuelewaaaa kuumbe ndio maana hivi mnajua kuwa shemeji yetu kwa daudi albert bsshite ni mrwanda?.... lool kweli chamtu huliwa na mtu na chuma huliwa na kutu[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ehehehehe shkamooo BabaUtamu wa pilau ule taratibu ukibugibugia utapaliliwa upate kilungulila bure .
Sent using Jamii Forums mobile app
Nime Google kweli lakini wapi angalau nimuone lakini wapi nimeambulia wa Rwanda nchini Tanzania kipindi hiko Mr Augien KayihuraSerikali ukishamaliza kazi yao Haina time na wewe ,waulize wastaafu uliokaribu nao watakwambia.
Sent using Jamii Forums mobile app
2010 nilipeleka mzigo wa vifaa vya electronics kigali mwenyeji wangu yeye hanijui vizuri akawa ananiletea story za kibeho yeye na mkewe ni watusi akanilazimasha twende kibeho nikaenda kufika kwenye Yale makabati ya mafuvu nikahisi kuwa nataka kupandisha mashetani sijui ni pressure akashangaa sana nikamwambia uoga tu.angejua ....Yes bro! Ndio hadi sasa kuna hija huko Kibeho Rwanda! This is real!
Sent using Jamii Forums mobile app
2010 nilipeleka mzigo wa vifaa vya electronics kigali mwenyeji wangu yeye hanijui vizuri akawa ananiletea story za kibeho yeye na mkewe ni watusi akanilazimasha twende kibeho nikaenda kufika kwenye Yale makabati ya mafuvu nikahisi kuwa nataka kupandisha mashetani sijui ni pressure akashangaa sana nikamwambia uoga tu.angejua ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli mtamu. Kama waliuwa wenzao, iweje wasiuawe?
Ila sie wabongo tuna roho za kwanini sana huyu mzee kajitolea kuelezea alichokiona tena bure humu JF ila kuna mijitu imejikita kumshawishi auze kitabu asiandike humu bila kujua labda huyu hana hata shida na hivyo viela vya kuuzia kitabu halafu ana uelewa wake mwenyewe anajua anachofanya , kama vipi tungeni nyie vitabu.
Bossless,
We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.
Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.
Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?
Jibu huna Mpira uishie hapa.
" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.
@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
Hahaha, we jamaa dah umenifanya Nicheke kama mwehuKwanza kunifananisha na Bashite sio tusi hata chembe, yaani mimi simchukii mtu hata kama tunatofautiana kimtazamo ama itikadi. Lingekuwa tusi zito ungenifananisha na wewe mwenyewe! Hakika ningeumia sana.
Ebu jifunze ku-edit fikra zako kabla ya kiziweka katika maandishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa sheria za kimataifa ubalozi ni eneo la nchi yenye ubalozi hivyo uwezi kuingia kuvamia tumtoa MTU aliye jificha ubalozini hadi wenye ubalozi waamue ndiyo maana hata maraisi wakipinduliwa wengine wanapewa hifadhi ubalozini awaguswiBahati mbaya mlolongo wa masimulizi haujapewa namba ili nikurejeshe katika kipande husika, Bossless alidai ubalozi wa Malawi na nyinginezo zilivamiwa siku chache kabla ya hawajapandishwa malori kuondoka Kigali, wakati huo mambo yalipamba moto. Vamizi za balozi hazikulenga wanadiplomasia bali wale wanyarwanda walokimbilia hapo kusaka hifadhi kama ambavyo walikuja ubalozi wa Tanzania. Na hadi watanzania wanaanza safari yao, hakukuwa na shambulio wala uvamizi mkubwa kwenye ubalozi wetu.
Yaani kitu ambacho akili yangu huwa haikiamini katika mikutano ya usuruishi ni nia ya dhati ya wenyeji wa mikutano hiyo. Mara nyingi wasuruhishaji wanao upande wanaoutegemea ushinde. Ndo maana tunayo matukio kadhaa ya viongozi kulipuliwa angani wakitokea katika hiyo mikutano ua suruhu! Rejea kwa Museveni dhidi ya South Sudan; Abyarimana na mwenzake wakitokea Tz... Hata Nkurunziza amekataa kuhudhuria baadhi ya mikutano kwa hofu ya kukutwa na yalowakuta watangulizi wake.
Jamii huelezwa kile ambacho wakuu wanataka kifahamike, ukweli huwa hauwekwi hadharani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kutueleza kuhusu hatma ya watoto roho yangu imepumua sasa.Nahisi Alishastafuu kitambo nahisi atakuwa alisharudi kwao huko chakechake Zanzibar nilikutana nae Mika ya 2002 pale posta karibu na YMCA tukaongea kidogo akasepa zake sijamuona tenaa.ila she is strong woman aise .mungu amsaisie huko aliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Balozi anastahili zaidi ya tuzo daaaahBalozi kaniacha hoi kwa kweli, kwanza angeweza kujiokoa na kusepa mapema tangu wakiwa Kigali, ila akaamua kuondoka na msululu wa watanzania wenzake, lori 24 si mchezo watanzania walikuwa wengi sana.
Kuwapigania wale watoto aliudhihirisha umama haswaa! Acha hawa wa kisasa wanaokimbia familia na kuacha watoto na baba zao! Upendo wa mama kwa mtoto una thamani kubwa mno.
Nimewaza mengi mno kwa yule muhutu aliyeamriwa kumchinja ndugu yake, badala yake akamkabidhi panga nduguye na kumwekea shingo ili afe yeye! This was a kind of great love! Atakuwa aliingia mbinguni moja kwa moja.
Nawaza zaidi wale watu walobakia ubalozini kwa kukosa papers, nini kiliwapata!
Vita!!....acha kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini una angaika kusoma macomenti yote kutafuta mwendelezo wakati unacho takiwa ni kuingia kwenye kurasa za mleta Uzi kwa kugusa jina lake ,kisha inaingia ndani unaona anavyo post na kufuatilia bila usumbufu ,Kisa kizuri sana kinatia uchungu...sijawahi soma zaidi ya koment 200 lakini nimelazimika kusoma mpaka 600 ili kupata stori yote
Hii ndio alama yangu
Sent using Jamii Forums mobile app