Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Utamu wa pilau ule taratibu ukibugibugia utapaliliwa upate kilungulila bure .

Sent using Jamii Forums mobile app
Ehehehehe shkamooo Baba
Kumbe huku mbele maelezo yamenyooka zaidi
Usikatishwe tamaa na yoyote
Tumeipenda na tunajifunza
Iko vizuri japo ni mambo ya kusikitisha mno
Na itasomwa na wengi mnoo hutaamini
 
Yes bro! Ndio hadi sasa kuna hija huko Kibeho Rwanda! This is real!

Sent using Jamii Forums mobile app
2010 nilipeleka mzigo wa vifaa vya electronics kigali mwenyeji wangu yeye hanijui vizuri akawa ananiletea story za kibeho yeye na mkewe ni watusi akanilazimasha twende kibeho nikaenda kufika kwenye Yale makabati ya mafuvu nikahisi kuwa nataka kupandisha mashetani sijui ni pressure akashangaa sana nikamwambia uoga tu.angejua ....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu si ungetumia nafasi na muda huu kushusha nondo zaidi..
2010 nilipeleka mzigo wa vifaa vya electronics kigali mwenyeji wangu yeye hanijui vizuri akawa ananiletea story za kibeho yeye na mkewe ni watusi akanilazimasha twende kibeho nikaenda kufika kwenye Yale makabati ya mafuvu nikahisi kuwa nataka kupandisha mashetani sijui ni pressure akashangaa sana nikamwambia uoga tu.angejua ....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila sie wabongo tuna roho za kwanini sana huyu mzee kajitolea kuelezea alichokiona tena bure humu JF ila kuna mijitu imejikita kumshawishi auze kitabu asiandike humu bila kujua labda huyu hana hata shida na hivyo viela vya kuuzia kitabu halafu ana uelewa wake mwenyewe anajua anachofanya , kama vipi tungeni nyie vitabu.
 
Kuna watu wataiiba stori hii na kujifanya ni wao
Ila sie wabongo tuna roho za kwanini sana huyu mzee kajitolea kuelezea alichokiona tena bure humu JF ila kuna mijitu imejikita kumshawishi auze kitabu asiandike humu bila kujua labda huyu hana hata shida na hivyo viela vya kuuzia kitabu halafu ana uelewa wake mwenyewe anajua anachofanya , kama vipi tungeni nyie vitabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bossless,

We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.

Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.

Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?

Jibu huna Mpira uishie hapa.

" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.

@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf


He's talking about 1989 not 1994.
 
Kwanza kunifananisha na Bashite sio tusi hata chembe, yaani mimi simchukii mtu hata kama tunatofautiana kimtazamo ama itikadi. Lingekuwa tusi zito ungenifananisha na wewe mwenyewe! Hakika ningeumia sana.

Ebu jifunze ku-edit fikra zako kabla ya kiziweka katika maandishi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, we jamaa dah umenifanya Nicheke kama mwehu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bahati mbaya mlolongo wa masimulizi haujapewa namba ili nikurejeshe katika kipande husika, Bossless alidai ubalozi wa Malawi na nyinginezo zilivamiwa siku chache kabla ya hawajapandishwa malori kuondoka Kigali, wakati huo mambo yalipamba moto. Vamizi za balozi hazikulenga wanadiplomasia bali wale wanyarwanda walokimbilia hapo kusaka hifadhi kama ambavyo walikuja ubalozi wa Tanzania. Na hadi watanzania wanaanza safari yao, hakukuwa na shambulio wala uvamizi mkubwa kwenye ubalozi wetu.

Yaani kitu ambacho akili yangu huwa haikiamini katika mikutano ya usuruishi ni nia ya dhati ya wenyeji wa mikutano hiyo. Mara nyingi wasuruhishaji wanao upande wanaoutegemea ushinde. Ndo maana tunayo matukio kadhaa ya viongozi kulipuliwa angani wakitokea katika hiyo mikutano ua suruhu! Rejea kwa Museveni dhidi ya South Sudan; Abyarimana na mwenzake wakitokea Tz... Hata Nkurunziza amekataa kuhudhuria baadhi ya mikutano kwa hofu ya kukutwa na yalowakuta watangulizi wake.

Jamii huelezwa kile ambacho wakuu wanataka kifahamike, ukweli huwa hauwekwi hadharani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa sheria za kimataifa ubalozi ni eneo la nchi yenye ubalozi hivyo uwezi kuingia kuvamia tumtoa MTU aliye jificha ubalozini hadi wenye ubalozi waamue ndiyo maana hata maraisi wakipinduliwa wengine wanapewa hifadhi ubalozini awaguswi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nahisi Alishastafuu kitambo nahisi atakuwa alisharudi kwao huko chakechake Zanzibar nilikutana nae Mika ya 2002 pale posta karibu na YMCA tukaongea kidogo akasepa zake sijamuona tenaa.ila she is strong woman aise .mungu amsaisie huko aliko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kutueleza kuhusu hatma ya watoto roho yangu imepumua sasa.

Shauku yangu nyingine ni kujua kuhusu hatma ya ile landrover, je hao askari wa kwenye hiyo landrover walikuwa wabongo au?? Je waliishia wapi??

Kwa kweli usiache kutuambia kuhusu hiyo landlrover.
 
Balozi kaniacha hoi kwa kweli, kwanza angeweza kujiokoa na kusepa mapema tangu wakiwa Kigali, ila akaamua kuondoka na msululu wa watanzania wenzake, lori 24 si mchezo watanzania walikuwa wengi sana.

Kuwapigania wale watoto aliudhihirisha umama haswaa! Acha hawa wa kisasa wanaokimbia familia na kuacha watoto na baba zao! Upendo wa mama kwa mtoto una thamani kubwa mno.

Nimewaza mengi mno kwa yule muhutu aliyeamriwa kumchinja ndugu yake, badala yake akamkabidhi panga nduguye na kumwekea shingo ili afe yeye! This was a kind of great love! Atakuwa aliingia mbinguni moja kwa moja.

Nawaza zaidi wale watu walobakia ubalozini kwa kukosa papers, nini kiliwapata!

Vita!!....acha kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Balozi anastahili zaidi ya tuzo daaaah
 
Kisa kizuri sana kinatia uchungu...sijawahi soma zaidi ya koment 200 lakini nimelazimika kusoma mpaka 600 ili kupata stori yote

Hii ndio alama yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini una angaika kusoma macomenti yote kutafuta mwendelezo wakati unacho takiwa ni kuingia kwenye kurasa za mleta Uzi kwa kugusa jina lake ,kisha inaingia ndani unaona anavyo post na kufuatilia bila usumbufu ,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba Bossless poleh sana mwa madhila uliyoshuhudia
Movie tu za kupigana wengine hatuwezi kutizama sembuse haya
Poleh sana
May God heal ur heart and cleanse your memories Amen
Nishasoma mara kadha kuhusu hii vita js out of interest huwa wanasema nafanana na wa'tutsi..
Sio siri halikua jambo la siku moja ni chuki ya miaka nenda rudi

tanzania we can never have civil war kutokana na wingi mkubwa wa makabila
Ila Rwanda wasali sana sanaaaa...risk bado ipo
 
Back
Top Bottom