BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Kama una sura ya kitutsi, utakuwa bonge la lady[emoji39], samahani nimeingilia uzi wa majonzi. Ilà kwa kweli hawa watu sidhani kama yameisha, PK akiondoka tu tunaweza kushuhudia mengine. Just imagine in 90 days wamekufa kwa risasi na mapanga watu karibia 1mill, Nani alipandikiza huo uovu, nani alitoa pesa za kufadhili uovu, nani alimwaga silaha? Mtu mke na mume wanachapana mapanga, wakimaliza wanawachapa watoto mapanga WTF kilichoingia kwenye vichwa vyao?Baba Bossless poleh sana mwa madhila uliyoshuhudia
Movie tu za kupigana wengine hatuwezi kutizama sembuse haya
Poleh sana
May God heal ur heart and cleanse your memories Amen
Nishasoma mara kadha kuhusu hii vita js out of interest huwa wanasema nafanana na wa'tutsi..
Sio siri halikua jambo la siku moja ni chuki ya miaka nenda rudi
tanzania we can never have civil war kutokana na wingi mkubwa wa makabila
Ila Rwanda wasali sana sanaaaa...risk bado ipo
Una mambo ya kitoto sana, toka awali comenti zako zote zinadhihilisha uwezo mudogo wa kiakili ulionao [emoji57][emoji57][emoji57]
Hii story ni nzuri, akiendelea tushtuaneNmechokaa ila uzi nimeenda nao mwanzo mwisho mmhhhh dunia hiii[emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430]
Hizo sheria za kimataifa raia wanazifahamu? Waliokuwa wanafanya mauaji Ni raia ambao hawazijui hizo sheriaKwa mujibu wa sheria za kimataifa ubalozi ni eneo la nchi yenye ubalozi hivyo uwezi kuingia kuvamia tumtoa MTU aliye jificha ubalozini hadi wenye ubalozi waamue ndiyo maana hata maraisi wakipinduliwa wengine wanapewa hifadhi ubalozini awaguswi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hidden information ni kwamba kwa sasa wahutu wanaendesha harakati zakurudisha utawala mikononi mwao na wamejichimbia hko misitu ya DRC wakipanga jinsi ya kumuondoa Kagame. Kingne wadadisi wa mambo husema wahutu ndani ya Rwanda hawamkubali PK nae analijua hilo na hutumia mkono wa chuma kuwadhibiti...ndo maana utasikia watu kupotea na kuuliwa. Ila kuna mauaji mengi sana ya siri hko.
Wajinga.maana Rwanda ya miaka 20 iliyopita siyo sawa na yaleo wataiharibu tena nchi yao.
Huyo balozi ni nani jaman
Kwa mujibu wa sheria za kimataifa ubalozi ni eneo la nchi yenye ubalozi hivyo uwezi kuingia kuvamia tumtoa MTU aliye jificha ubalozini hadi wenye ubalozi waamue ndiyo maana hata maraisi wakipinduliwa wengine wanapewa hifadhi ubalozini awaguswi
Sent using Jamii Forums mobile app
@Ladyred inawezekana mabalozi wengi huwa wanafanya kazi kubwa huko nje, ila hatufahamu kwa sababu media zetu haziwamuliki kama kina Charamila wanaopiga viboko wanafunzi... Tuzo ni haki yake kabisa huyo mwanamama.Balozi anastahili zaidi ya tuzo daaaah
Navyojua silaha walipewa na serikali ya chama tawala sababu serikali ya chama tawala walishapoteza matumaini ya sapoti ya jeshiMkuu je hizo silaha walikuwa wanapewa na Nani?serikali iliyopo madarakani au Kuna ufadhili walikua wanaupata?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana tofauti na Warangi, wanyaturu au wambuluHahahahaha na kwa jinsi watusi walivyo wabinafsi na kujiona wao ni bora
Inasemekana ukioa mtusi akawa na utamaduni wa kwenda kwao, basi jua lazma utalea watoto ambao sio wakoo..haya nliyajulia kipindi niko hukoo manyovu kigomaa
Wamejaa wengi mnoo hawa viumbeee
Nahisi Alishastafuu kitambo nahisi atakuwa alisharudi kwao huko chakechake Zanzibar nilikutana nae Mika ya 2002 pale posta karibu na YMCA tukaongea kidogo akasepa zake sijamuona tenaa.ila she is strong woman aise .mungu amsaisie huko aliko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hauta amini siku utakayogundua kuwa huenda balozi ndiyo huyu bi faiza mnayemdhihaki hapa jukwaani.Huyo balozi ni nani jaman
Na wataongezea mbwembwe ambazo hazikwepo umu pamoja na yule wa simulizi wasafi FM ataiiba na kuelezea kwe kipindi chakeKuna raia humu wana roho mbaya, wanamshawishi baba yetu Bossless ahamishe stori kwenye kitabu
wanatamani stori ingekuwa yao wangetuhamisha watsap kwa kiingilio cha elfu 2
Mungu akaliona hilo ndo maana stori kampa mzee wetu
Ajabu watakopi na kuhamishia FB, ista na watsap, watajifanya wao ndio mzee Bossless na watawachangisha wenzao pesa ya kiingilio ili kupata stori
Sent using Jamii Forums mobile app