Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Kuna raia humu wana roho mbaya, wanamshawishi baba yetu Bossless ahamishe stori kwenye kitabu

wanatamani stori ingekuwa yao wangetuhamisha watsap kwa kiingilio cha elfu 2
Mungu akaliona hilo ndo maana stori kampa mzee wetu

Ajabu watakopi na kuhamishia FB, ista na watsap, watajifanya wao ndio mzee Bossless na watawachangisha wenzao pesa ya kiingilio ili kupata stori


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba Bossless poleh sana mwa madhila uliyoshuhudia
Movie tu za kupigana wengine hatuwezi kutizama sembuse haya
Poleh sana
May God heal ur heart and cleanse your memories Amen
Nishasoma mara kadha kuhusu hii vita js out of interest huwa wanasema nafanana na wa'tutsi..
Sio siri halikua jambo la siku moja ni chuki ya miaka nenda rudi

tanzania we can never have civil war kutokana na wingi mkubwa wa makabila
Ila Rwanda wasali sana sanaaaa...risk bado ipo
Kama una sura ya kitutsi, utakuwa bonge la lady[emoji39], samahani nimeingilia uzi wa majonzi. Ilà kwa kweli hawa watu sidhani kama yameisha, PK akiondoka tu tunaweza kushuhudia mengine. Just imagine in 90 days wamekufa kwa risasi na mapanga watu karibia 1mill, Nani alipandikiza huo uovu, nani alitoa pesa za kufadhili uovu, nani alimwaga silaha? Mtu mke na mume wanachapana mapanga, wakimaliza wanawachapa watoto mapanga WTF kilichoingia kwenye vichwa vyao?
 
CCM tuwaangalie jamani UVCCM ni hatari sana, hawa CCM tuwaondoe mapema ili tujenge utamaduni wa kuachiana uongozi. Kama mwanasiasa anapowakosoa tu wanaamua kumuua vipi huko mbele.
Mikutano ya wapinzani inazuiwa (Heche) na polisi ya wao inaruhusiwa kufanya fujo mbele ya mkutano wa mpinzani sawa je kwao itakuwaje?
Tunakoelekea sipajui. Intarahamwe wa bongo ngoja waanze kupewa vyombo vya ncha kali tuone


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mujibu wa sheria za kimataifa ubalozi ni eneo la nchi yenye ubalozi hivyo uwezi kuingia kuvamia tumtoa MTU aliye jificha ubalozini hadi wenye ubalozi waamue ndiyo maana hata maraisi wakipinduliwa wengine wanapewa hifadhi ubalozini awaguswi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo sheria za kimataifa raia wanazifahamu? Waliokuwa wanafanya mauaji Ni raia ambao hawazijui hizo sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wajinga.maana Rwanda ya miaka 20 iliyopita siyo sawa na yaleo wataiharibu tena nchi yao.
Hidden information ni kwamba kwa sasa wahutu wanaendesha harakati zakurudisha utawala mikononi mwao na wamejichimbia hko misitu ya DRC wakipanga jinsi ya kumuondoa Kagame. Kingne wadadisi wa mambo husema wahutu ndani ya Rwanda hawamkubali PK nae analijua hilo na hutumia mkono wa chuma kuwadhibiti...ndo maana utasikia watu kupotea na kuuliwa. Ila kuna mauaji mengi sana ya siri hko.
 
JF ni taasisi kubwa sana kwa hivi sasa.
Nashauri huyo Balozi leo afahamike jina na Picha yake,apewe heshma kubwa leo kwakuwa ni siku ya wanawake Duniani.Ana kila sababu ya kukumbukwa na kutambulika kwa ushupavu wake.
Mleta habari umenisisimua sana,siwezi kuelezea.Kipindi hicho tulikuwa JKT kwa mujibu wa sheria 841 kj.Tulikuwa tunaambiwa tutapelekwa huko (redio mbao) kutuliza hali ya mambo.So imenikumbusha Mbali sana.
Cc Bossless
Cc Maxence Melo
Cc Asha D Abinallah
 
Asante Mkuu! Hiyo ni kwa mujibu wa sheria za kidiplomasia...

...hivi unaielewa vita mkuu!! Kuna kombola linaloweza kukwepa balozi kwa kuwa sheria zinailinda balozi! Unamkubuka aliyeponyokwa na roketi ya begani wakati watz wamezungukwa na interahamwe!! Kama jengo la ubalozi lingekuwa karibu, sheria zingesaidia nini!!

Fita ni fita muraa!!
Kwa mujibu wa sheria za kimataifa ubalozi ni eneo la nchi yenye ubalozi hivyo uwezi kuingia kuvamia tumtoa MTU aliye jificha ubalozini hadi wenye ubalozi waamue ndiyo maana hata maraisi wakipinduliwa wengine wanapewa hifadhi ubalozini awaguswi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha na kwa jinsi watusi walivyo wabinafsi na kujiona wao ni bora
Inasemekana ukioa mtusi akawa na utamaduni wa kwenda kwao, basi jua lazma utalea watoto ambao sio wakoo..haya nliyajulia kipindi niko hukoo manyovu kigomaa
Wamejaa wengi mnoo hawa viumbeee
Hawana tofauti na Warangi, wanyaturu au wambulu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Bossless nilidhani huyo mama angekuwa mhangaza ama mnyambo wa Karagwe hasa kwa kuwa alikijua Kinyarwanda ambacho kina mwingiliano mkubwa na makabila ya ukanda huo. Kumbe mtu wa visiwa vya karafuu!! Basi atakuwa alitumikia ubalozi huo kwa muda mrefu hadi kuinyaka lugha yao.
Nahisi Alishastafuu kitambo nahisi atakuwa alisharudi kwao huko chakechake Zanzibar nilikutana nae Mika ya 2002 pale posta karibu na YMCA tukaongea kidogo akasepa zake sijamuona tenaa.ila she is strong woman aise .mungu amsaisie huko aliko.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna raia humu wana roho mbaya, wanamshawishi baba yetu Bossless ahamishe stori kwenye kitabu

wanatamani stori ingekuwa yao wangetuhamisha watsap kwa kiingilio cha elfu 2
Mungu akaliona hilo ndo maana stori kampa mzee wetu

Ajabu watakopi na kuhamishia FB, ista na watsap, watajifanya wao ndio mzee Bossless na watawachangisha wenzao pesa ya kiingilio ili kupata stori


Sent using Jamii Forums mobile app
Na wataongezea mbwembwe ambazo hazikwepo umu pamoja na yule wa simulizi wasafi FM ataiiba na kuelezea kwe kipindi chake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom