LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Mkuu huwa napenda kulisemea kwani huwa nawashangaa watu wanaojiona keki wana kipi cha ziada@LadyRed bwana, hili Jambo naona huwa unalizungumzia sana. Linakuumiza kwani? Ni kweli kuwa zipo jamii zilikuwa na privilege nyakati za mkoloni, ilà trust me nao walijiongeza sana tu, na wanazidi kujiongeza to-date. Zipo jamii hapa bongo hadi leo hii pamoja na fursa kuwa kwa kila mtu lakini bado they lag behind, hatuwezi kufanana na kuna watu naturally wapo gifted katika utafutaji na kusaidiana. Kuna sehemu leo hii ukienda vijijini japo ni afrika lakini hutaamini kuona palivyo, na kuna mahali ukienda unaweza kuishia kutoa machozi, ndani ya hii bongo.
So pamoja na privilege kuwepo kwa wote, kuna gifted hands, kuna watu wanabebana sanaaa, na wapo ambao hata dada mtu anaona wivu kwa mdogo mtu kuwin maisha.
Ya huko Rwanda siyajui sana, unaweza kuwa sahihi kwa analysis uliyofanya, ila kwa bongo mmmh.
Ni kama maoni tu kwani lisipodhibitiwa lina nia ya kutugawa tu na si kutuunganisha...lina nia ovu...
Afterall ukishakua exposed na maisha unaelewa binadamu wote ni wale wale ni suala la watu wapewe exposure na nafasi to prove themselves....
mkoloni ndo kaleta maendeleo ya 'aina' flani ya 'kileo' africa
Hivyo waafrika wenyewe kwa wenyewe kujiona kuna classes ni uzwazwa...wa hali ya juu ...hakuna cha naturally gifted wala nini...wamevumbua nini kipya??..hapo ndo utaona ni advantage ya rule ya mkoloni ndo iliwaweka baadhi ya watu mbele kabla ya wengine sio kwamba wale wengine ni vilaza hamnaa ni fursa tuuu...ndo mana sikuhizi kabila zote wasomi na wafanya biashara wapo...it was just a matter of fursa!!
Kwa uelewa wangu mzungu hio ilikua ni strategy ya kutawala...divide and rule...watu anawavuruga weee huku ye anaendelea kupeta
ss shida ni pale alipoondoka
Ilipasea viongozi waweke sawa hio hali
Tanzania Nyerere alifanikiwa
Bila kuwadhibiti baadhi ya watu wangekua na nchi yao huku wakijiona wao ni elites...unadhani nini kingetokea iwapo ktk hio nchi wamemix na kabila ambalo sio elites kama wao?..by default wenye elimu ndo viongozi... hence kujiona keki ndo kunazaliwa hapo...wale waloachwa nyuma kidogo mfano wale 'wachunga ng'ombe' unadhani wangefanyaje kama sio kuwachabanga elites mapanga tu???!!!
nawasifu viongozi watanzania hasa nyerere ali'contain ukabila udini nk
Ndo mana hadi leo dini za kristo na islamzinapokezana vijiti urais hivyo kila mtu anajiskia anawakilishwa
likewise nyadhifa mbalimbali makabila yooote yapo kwa uchache tu
Magu Kanda ya Ziwa
Samia Zanzibar
Majaliwa kanda ya kusini
Baraza limemix watu kibao
Hivyo hakuna kabila linalojiskia wao wameachwa nyuma..likewise dini wanamix madhehebu yote
Shida Rwanda wachache tutsi bado serikali wanataka wengi wawe wao unafikiri wahutu wanafanyeje?....yanatokea yaliyotokeaa ndugu msomajii
Watu wakishakua exposed wanabadilika