Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Mkuu huwa napenda kulisemea kwani huwa nawashangaa watu wanaojiona keki wana kipi cha ziada
Ni kama maoni tu kwani lisipodhibitiwa lina nia ya kutugawa tu na si kutuunganisha...lina nia ovu...
Afterall ukishakua exposed na maisha unaelewa binadamu wote ni wale wale ni suala la watu wapewe exposure na nafasi to prove themselves....

mkoloni ndo kaleta maendeleo ya 'aina' flani ya 'kileo' africa
Hivyo waafrika wenyewe kwa wenyewe kujiona kuna classes ni uzwazwa...wa hali ya juu ...hakuna cha naturally gifted wala nini...wamevumbua nini kipya??..hapo ndo utaona ni advantage ya rule ya mkoloni ndo iliwaweka baadhi ya watu mbele kabla ya wengine sio kwamba wale wengine ni vilaza hamnaa ni fursa tuuu...ndo mana sikuhizi kabila zote wasomi na wafanya biashara wapo...it was just a matter of fursa!!

Kwa uelewa wangu mzungu hio ilikua ni strategy ya kutawala...divide and rule...watu anawavuruga weee huku ye anaendelea kupeta

ss shida ni pale alipoondoka
Ilipasea viongozi waweke sawa hio hali
Tanzania Nyerere alifanikiwa
Bila kuwadhibiti baadhi ya watu wangekua na nchi yao huku wakijiona wao ni elites...unadhani nini kingetokea iwapo ktk hio nchi wamemix na kabila ambalo sio elites kama wao?..by default wenye elimu ndo viongozi... hence kujiona keki ndo kunazaliwa hapo...wale waloachwa nyuma kidogo mfano wale 'wachunga ng'ombe' unadhani wangefanyaje kama sio kuwachabanga elites mapanga tu???!!!

nawasifu viongozi watanzania hasa nyerere ali'contain ukabila udini nk
Ndo mana hadi leo dini za kristo na islamzinapokezana vijiti urais hivyo kila mtu anajiskia anawakilishwa

likewise nyadhifa mbalimbali makabila yooote yapo kwa uchache tu
Magu Kanda ya Ziwa
Samia Zanzibar
Majaliwa kanda ya kusini
Baraza limemix watu kibao
Hivyo hakuna kabila linalojiskia wao wameachwa nyuma..likewise dini wanamix madhehebu yote

Shida Rwanda wachache tutsi bado serikali wanataka wengi wawe wao unafikiri wahutu wanafanyeje?....yanatokea yaliyotokeaa ndugu msomajii

Watu wakishakua exposed wanabadilika
 
Mkuu ambacho unatakiwa ufahamu genocide imeanza miaka ya 80 kipindi cha cockroach movement ambapo watutsi walikua wanafanya guerilla warfare kwenye mipaka ya Rwanda so kisasi wanafanyiwa watutsi walio wachache.

Ikumbukwe hao RPF pia walifanya genocide kwenye maeneo walioteka kuanzia 1990 yaani iwe cyangugu cjui ruhengeri kote huko walikuwa hawaamini Mhutu ni kuwapiga risasi na panga kwenda mbele kwahiyo genocide imefanyika ndani ya Rwanda civil war. Rejea kisa cha Kibeho walipoua Wahutu zaidi ya elfu 3 kwenye kambi yao ya wakimbizi wa ndani.

Ila ile ya April to June1994 ni kilele tu cha mauaji lakini kuchinjana kwa genocide kulianza hata kabla Habyarimana hajauawa.
 
Sasa mbona unnaielewesha kwa hasira mkuu. Kwahiyo sasahivi Kuna usawa sasa kelele za nini tena?
Nisamehe bure

kwa sasa sina uhakika ila history/time will tell
Bt kwa maoni yangu nahisi 'wahutu' bado hawajiskii vizuri..ss PK atafanyaje kuwaweka sawa sijui...
 
Aiiyaaaah#&$[emoji51][emoji51][emoji51][emoji2962][emoji849][emoji849][emoji849][emoji848]hili jiwe lako ulilorusha gizani mbona kama kuna watu umewalenga??

Unazingua sana Mim limenipata

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijalenga mtu jmn
Jiwe gizani😂😂
Wakoloni walipekeka mishenari sehemu nyingi tu
 
Mkuu hivyo visa vilivyotokea wakati wa civil war kwanini uviite genocide ilihali ni majeshi ya pande mbili yaliyokuwa yanapigana?

Ila ukiangalia matukio ya kuanzia April 1994 ni kwamba ni jamii moja ilichochewa na viongozi wao kushambulia jamii nyingine ili kuwamaliza kabisa tofauti na matukio ya kuanzia 1990 ambayo ni majeshi ya pande mbili yalipigana sio raia.
 
Kwako pia comrade!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Kujiongeza" kubebana " mimi nimechukua haya maneno mawili tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mnasema wanaongea lugha moja tena? Mnanichanganya
Kwa jinsi nilivyosoma na kufuatilia hayo yalikuwa mapigano ya koo na koo, maana kwenye tamaduni zote wako sawa.

Kinachokuja kuwatofautisha ni muonekano wa koo la Kitusi na Koo la Kihutu.
 
Origin ya hao wavamizi wa Kitutsi ni wapi Mkuu? Kama ni hvyo ni lazima Wahutu watapambania nchi yao tena, na suala la vita nyingine kutokea ni LA MUDA TU.
 
K

Kwa mantiki hiyo mkuu, naamini kwa namna moja au nyingine wahutu watakua wanajipanga kulipiza ili washike hatamu wawachomoe Watusi.

Swali in je wanatumia mbinu gani kujipanga? Tuliona Kagame alitumia RPF akitokea msituni.
Mkuu kagame hakujipanga "msituni" bali alikua na back up ya serikali za kitutsi za Uganda na Burundi ambao pia baada ya kushika hatamu walimsaidia kuwateketeza wahutu waliokimbilia huko DRC.

Wahutu changamoto ni kwamba hawapo organized wala kimkakati kila mtu anapambana kivyake sasa ambacho wanaweza ni kutumia back up ya serikali za kihutu mfano Nkuruzinza na walitakiwa wahakikishe DRC anashinda mtu ambaye hayuko puppet wa Kagame!! Wamechelewa sana.

Maana kagame wakimvamia tu Museveni na Magu watamsaidia so watafeli!! Hapo bado DRC itawafukuza..... Ila kagame na watutsi walikua makini kabla ya uvamizi wanahakikisha serikali za jirani zipo mfukoni.

Hata alopovamia wahutu DRC alihakikisha ameshaongea na kaunda wa Zambia na Dos santos wa Angola kuwa wasiingilie vita. Sasa wahutu hawana ushawishi huo kwenye serikali zetu hivyo vita itakua ngumu sana

Fursa yao pekee ni kuhakikisha Nkuruzinza hatolewi kwa gharama yoyote lasihivyo ndio utakua mwisho wa ndoto zao kurudi Rwanda.
 
Nina rafiki wa kitutsi,siku anamuona jamaa yetu flan mrundi(hutu),akatokea kumchukia ghafla bila hata ya kusema neno lolote,kichonishangaza zaidi na Yule hutu akawa hamsemi vizuri Yule tutsi.kumbuka hawajasemeshana toka wanakutana.sijui wanatambuana vipi?na hakuna aliyewatambulisha,just kuangaliana tu na chuki juu.rwanda imetulia kwa muda tu.
 
Nahisi ndo mana walika wakiuana muda wowote na popote mana unamtambua kwa kumtizama tu

Hawa Wahutu hawana tofauti na sisi kabisa ila hawa Watutsi wanaonekana kabisa kama ni watu fulani wageni hivi,na kama ni mchanganyiko wa asili mbili fofauti.

Ila vita vya hivi kihistoria huwa haviishi, zaidi huwa vinapoa kisha vinaendelea.
 
Origin ya hao wavamizi wa Kitutsi ni wapi Mkuu? Kama ni hvyo ni lazima Wahutu watapambania nchi yao tena, na suala la vita nyingine kutokea ni LA MUDA TU.
Kwa mujibu wa historia kidogo nliyosoma
Wahutu ndo original people of Rwanda...ndo wengi
Ila
Tutsi ni wahamiaji wakitokea Ethiopia somalia nk
Ndo mana wanafanana nao kimuonekano

nafikiri namna pekee ya kuwapoza hutu ni kuwanyanyua wawe kama tutsi na ikibidi rais ajae awe wa kwao
Ss sijui atakua na hasira bado ama atadhamiria kujenga nchi
Ila yaelekea bado kuna 'tension'
 
Origin ya hao wavamizi wa Kitutsi ni wapi Mkuu? Kama ni hvyo ni lazima Wahutu watapambania nchi yao tena, na suala la vita nyingine kutokea ni LA MUDA TU.
Mkuu wote ni kabila moja sema tu wanatofautiana tuseme Koo yaani za wahutu ni kama wabantu zaidi wa magharibi ya Afrika ila watutsi kama koo za Watu wa Ethiopia/Eritrea huko.

So wakoloni wakawagawa..... Ni sawa na leo mkoloni awagawe wachagga kwa kigezo cha weupe na weusi!! Kuwa wachagga weupe awaite watutsi na weusi awaite wahutu ilihali kabila lilelile tu!!

Na hili sio Rwanda tu limetokea Burundi na DRC pia hizi jamii haziwezi kaa pamoja ni kuchinjana kila siku mpaka leo huko Kivu.

Vita yes ni suala la muda tu ila kagame kajipanga sana mkuu ana support ya serikali zote zinazomzunguka hivyo chance yao labda wasubiri siku amefariki ghafla!! Wapate support ya wahutu wa ndani ambao ni 90% ukijumlisha na wahutu waliopo DRC zaidi ya million 2, jumlisha na wahutu wa Burundi aiseee hao watutsi mbona wanateketezwa ndani ya siku moja tu (Mungu aepushe)

Ila ni suala la muda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…