BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,079
- 2,152
Duh mzee hii vita imepoa kwa muda tu, kweli vita ijayo itakua ni ya kuiingiza shimoni Rwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Hutu walikuwa wanapigana vita mbili.jeshi lilijikita kupigana na waasi kina kagame..walibaki wanajeshi wachache wakiungana na interahamwe kupigana vita ya ndani ya kuua raia wote wa kitutsi na kihutu ambao hawaungi mkono juhudi .
Sasa ikatokea vita ya kijeshi .waasi walikuwa vizuri wakawashinda jeshi la rwanda wakafanikiwa kuingia ndani.ikapigwa ya ndani wakashinda tena.interahamwe wakakosa sapoti ya jeshi na hawakuwa na silaha za kisasa.pia waliopunguzwa sana .wakasilimu amri wakakimbilia congo.tanzania.na wengine walijichanganya na raia wema kwenye makambi ya wakimbizi.maofisa wa jeshi la rwanda nao walikimbia nchi.ndio chanzo cha kagame kuwa na nguvu.kwasababu alishinda vita.kwahiyo kuna wahutu wengi interahamwe nje ya rwanda ambao wanatamani sana kurudi rwanda lakini wanamuogopa kagame.ndio maana tunahisi siku kagame akipoteza power.hawa wahutu wakirudi wanakiwasha tena.safari hii watawachoma mishikaki kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app