Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Duh mzee hii vita imepoa kwa muda tu, kweli vita ijayo itakua ni ya kuiingiza shimoni Rwanda
Hutu walikuwa wanapigana vita mbili.jeshi lilijikita kupigana na waasi kina kagame..walibaki wanajeshi wachache wakiungana na interahamwe kupigana vita ya ndani ya kuua raia wote wa kitutsi na kihutu ambao hawaungi mkono juhudi .
Sasa ikatokea vita ya kijeshi .waasi walikuwa vizuri wakawashinda jeshi la rwanda wakafanikiwa kuingia ndani.ikapigwa ya ndani wakashinda tena.interahamwe wakakosa sapoti ya jeshi na hawakuwa na silaha za kisasa.pia waliopunguzwa sana .wakasilimu amri wakakimbilia congo.tanzania.na wengine walijichanganya na raia wema kwenye makambi ya wakimbizi.maofisa wa jeshi la rwanda nao walikimbia nchi.ndio chanzo cha kagame kuwa na nguvu.kwasababu alishinda vita.kwahiyo kuna wahutu wengi interahamwe nje ya rwanda ambao wanatamani sana kurudi rwanda lakini wanamuogopa kagame.ndio maana tunahisi siku kagame akipoteza power.hawa wahutu wakirudi wanakiwasha tena.safari hii watawachoma mishikaki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unapomalizia na sentensi hiyo unamaanisha unaombea suala litokee??
nakuona kama mjinga hivi
Mkuu niliyemquote ameuliza kama ni suala la muda au lah so licha ya kwamba nmeomba Mungu aepushe ila nmemjibu kuwa ni kweli ni suala la muda tu haya kutokea kama alivyouliza.
 
Kisasi hakitoisha
Mkuu yale hayakuwa mauaji dhidi ya watutsi tu bali ilikuwa ni VITA yaani wakati wahutu wanachinja watutsi na hao Watutsi wanachinja wahutu kutumia vikundi vyao vya waasi mfano INTEREHAMWE/FDLR,APERHUTU kwa Wahutu na be it UPRONA/RPF kwa watutsi na ndio maana kule Uganda kwenye mitaala ya shule haiitwi Rwanda genocide kule tulisoma inaitwa Rwanda civil war yaani VITA sio Mauaji!!

Ila yaonekana kagame alikua kajipanga zaidi hivyo baada ya kushinda vita naye akalipiza kisasi akawachinja hao wahutu wakakimbilia DRC ambapo aliwafuata na kuwateketeza na tokea hapo nguvu ikahama kutoka kwa Wahutu ikaja kwa watutsi na imekua hivyo mpaka leo.

Wahutu sio kwamba wali-fight for nothing" ila walishashinda vita tokea 1959 na wakajikomboa kutoka mikono ya watutsi so walienjoy uhuru wao mpaka 1990 ambapo uvamizi wa Watutsi ulianza. Hivyo ile vita ilikua ni ya kujilinda zaidi dhidi ya uvamizi wa watutsi na sio kuvamia watutsi kama unavyodhani. Yaani kama watutsi wasingetishia kuvamia Rwanda kulikua hakuna haja ya wao kuwaua maana madaraka yalikua kwa wahutu.

Hope umepata picha mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyerere alikua kichwa saaana, hatokuja kutokea kiumbe mwenye akili nyingi kama yule hapa tz
Nakumbuka hata wakati Mobutu anapinduliwa radio za kimataifa zilikuwa zinatangaza kuwa wanajeshi wa banyamulenge walikuwa wanaongea kiswahili safi!

Baada ya mapinduzi General Mboma mkuu wa JWTZ na Jakaya ndio walikuwa watu wa kwanza kuunga mkono yale mapinduzi kupitia BBC! Ndio maana pamoja na Mobutu kupewa msaada kijeshi na marafiki zake bado alichezea kichapo cha nguvu! Tuiheshimu sana nchi yetu! Hii nchi ina watu, Nyerere alipanda mbegu vyema!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii rhread ilivyoanza watu waliikejeli mno, hakika nimeamini mti wenye matundo ndio hupigwa mawe, Bossless endelea kushusha ushuhuda.

Watazamaji zaidi ya laki sasa!!!

1583671817563.png
 
Unaongelea Rwanda ya mwaka gani? Tuanzie hapo? Halafu ntakujibu wakati unatoka Boda kwa miaka hiyo ya 1989 kulikuwa kuna vizuizi zaidi ya 50 kila kilometer 10 ...mnakuta barrier mnasachiwa kuanzia mabegi hadi buti ya gari. Kwa kukumbusha kipindi hicho ndo vuguvugu LA uvamizi lilikuwa limeanza kukawa kuna mashambulizi madogo madogo yapa na pale kutoka kwa waasi. Ntakupa mfano mdogo kama wewe. Ni msafiri kweli hebu niambie kutoka kasubalesa to Lubumbashi kuna berrier ngapi? Unajua kwanini? Waasi baba serikali haimini MTU tena ndivyo Rwanda ilivyokuwa miaka hiyo sasa unahisi utafika kwa hayo Masaa yako matatu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Barrier hazikuwa nyingi kihivyo zilikuwa mbili tu na maaskari walikuwa wanahangaika na malori kuliko hivyo vigari vidogo vya abiria.
Halafu napata mashaka kama kweli ulikuwa nimwanabarozi,kujua vizuizi vilivyopo kasumbalesa mpaka Lubumbashi kote huko ulifuata nini tena na gari wakati ubalozi upo kinshasa maelfu ya km kutoka mpaka wa Zaire(Kongo) na Zambia.
Mi nadhani useme ukweli tu kwamba wewe ni wa malori mwenzangu sio dhambi.
Na sisi watu wa malori tuna exposure kubwa zaidi kuliko wapanda ndege hivyo usione haya kusema wewe ni dereva.
Pia wakati wa machafuko nyie mnaojiita mabalozi mlijifungia ktk balozi zenu sisi baadhi yetu ndio tuliotekwa nyara tukazuiwa,bidhaa zikaibwa na baadhi ya nyakati tulishuhudia live watu wakiuawa. Na ukiruhusiwa kurudi kwenu unakuta maiti zimezagaa barabarani,mwanzoni tulikuwa tunazisogeza kwa kuzipa heshima ya kibinadamu lakini kwa jinsi zilivyokuwa nyingi tukawa tunazikanyaga tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hao ma padre wangekufa wao nA sio kuwauza wezao
Ilikuwa situation ambayo huwezi kufanya uchaguzi kama unataka kuendelea kuishi.unaambiwa kabisa utoe orodha ya waumini wako kati ya hutu or tutsi..wakifika unawapa majina wanachakuwa tutsi wanawaua.sasa kama hutaki unakufa wewe.ealisulutishwa hawakuwa na namna.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barrier hazikuwa nyingi kihivyo zilikuwa mbili tu na maaskari walikuwa wanahangaika na malori kuliko hivyo vigari vidogo vya abiria.
Halafu napata mashaka kama kweli ulikuwa nimwanabarozi,kujua vizuizi vilivyopo kasumbalesa mpaka Lubumbashi kote huko ulifuata nini tena na gari wakati ubalozi upo kinshasa maelfu ya km kutoka mpaka wa Zaire(Kongo) na Zambia.
Mi nadhani useme ukweli tu kwamba wewe ni wa malori mwenzangu sio dhambi.
Na sisi watu wa malori tuna exposure kubwa zaidi kuliko wapanda ndege hivyo usione haya kusema wewe ni dereva.
Pia wakati wa machafuko nyie mnaojiita mabalozi mlijifungia ktk balozi zenu sisi baadhi yetu ndio tuliotekwa nyara tukazuiwa,bidhaa zikaibwa na baadhi ya nyakati tulishuhudia live watu wakiuawa. Na ukiruhusiwa kurudi kwenu unakuta maiti zimezagaa barabarani,mwanzoni tulikuwa tunazisogeza kwa kuzipa heshima ya kibinadamu lakini kwa jinsi zilivyokuwa nyingi tukawa tunazikanyaga tu.


Sent using Jamii Forums mobile app


Ndio akili yako ilipoishia hapo, Kama yeye ameona alichokiandika bahati mbaya nlidhan nawe ulkua msafara mmoja na huyo jamaa kumbe wewe ulikuwa ya kongo alafu unampinga.

Uungwana n kuja na reference zako a-z ili ujifunze nasio kufundisha watu jifunze hilo
 
Maneno Itere+hamwe
ITEREHAMWE INA MAANA GANI?
HAMWE NAHISI INAMAANA YA PAMOJA. JE HII ITERE?
 
Barrier hazikuwa nyingi kihivyo zilikuwa mbili tu na maaskari walikuwa wanahangaika na malori kuliko hivyo vigari vidogo vya abiria.
Halafu napata mashaka kama kweli ulikuwa nimwanabarozi,kujua vizuizi vilivyopo kasumbalesa mpaka Lubumbashi kote huko ulifuata nini tena na gari wakati ubalozi upo kinshasa maelfu ya km kutoka mpaka wa Zaire(Kongo) na Zambia.
Mi nadhani useme ukweli tu kwamba wewe ni wa malori mwenzangu sio dhambi.
Na sisi watu wa malori tuna exposure kubwa zaidi kuliko wapanda ndege hivyo usione haya kusema wewe ni dereva.
Pia wakati wa machafuko nyie mnaojiita mabalozi mlijifungia ktk balozi zenu sisi baadhi yetu ndio tuliotekwa nyara tukazuiwa,bidhaa zikaibwa na baadhi ya nyakati tulishuhudia live watu wakiuawa. Na ukiruhusiwa kurudi kwenu unakuta maiti zimezagaa barabarani,mwanzoni tulikuwa tunazisogeza kwa kuzipa heshima ya kibinadamu lakini kwa jinsi zilivyokuwa nyingi tukawa tunazikanyaga tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri amalize stori yake ndio uanze kumbishia, kunasehemu amesema amewahi kufungwa Zambia miaka mitatu jela kwa biashara ya vyuma chakavu,. Hivyo anaonekana anamengi ya kusimulia mtu wa umri wa miaka 55 jua amepitia mengi kwenye maisha..

Kama na wewe ulikuepo huko anzisha uzi wako kwa uliyoyaona, sio unakuja kubisha hapa kwa paniki bila maelezo ya kueleweka..

Hata kama alikuwa Dereva lakini mwisho wa siku ni kusimulia ili Watanzania tujifunze, ili tuweze kuepukana na vikundi vya kikabila vinavyoletwa na Gwajima kupitia Wasukuma...vikundi vya Green gad vya CCM.

Maana hivyo vikundi siku vikikabidhiwa silaha havijuagi diplomasia zaidi ya kuua tu..!
 
Back
Top Bottom