The Transporter
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,580
- 7,203
Nadhani ni bora ujikite zaid katika kuelezea story yako ya uliyoyashuhudia mwenyewe huko kwa PK hawa watu wengine wanakuja kukutoa tu kwenye reli kujibizana nao ni matumizi mabaya ya muda maana unachokieleza ni uliyoyashuhudia mwenyewe ukiwa huko na sio historia ya machafuko ya RwandaMpaka Sasa na viewers 123k .comment kwenye huu uzi ukiwemo wewe mwenyewe 1k .maanake watu wameappriciate na hiki nachoondika humu na nilitarajia hilo ,Sasa Kama wewe bingwa njoo na uzi wako wowote ukifikisha nusu ya viewers wangu mpaka Sasa nasimamisha hii stori nafanya mengine umesikia Tingo wasalimie mwetu(kasubalesa-lumbumbashi)
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe humu kuna unalotafuta huna lolote umeingia humu kila mtu unamkwaza sasa tumekushtukia badala ya hii comment sikujibu na nawashauri wote unaowatukana wakupuuze mnyarwanda.wewe nawe babu zima unakua na mishebeduo kama demu.
Ukiambiwa fact kubali, wengi tumeshakushtukia tangu mwanzo.
Ulikua unabwabwaja ukidhani hakuna wanaojua story ya Rwanda kuliko wewe imekula kwako [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Huyu ni kichaa apuuzwe soma comment zake zote ana attack watu sijui ana mimba au hakojoleshwi vizuri?Kuna watu kama wewe umejaza ujinga kichwani mwako hadithia yako. Nadhani unayo ya kukata kiuno kwenye sita kwa sita
Sent using Jamii Forums mobile app
Walikuwa wamelewa muda wote.kitu kilichosababisha wawe na ujasiri wa hali ya juu.mfano kikundi cha interahamwe cha watu 200 kwa siku kinaweza kuua watu hata 5000.kubaka wanawake50.kwenye ubakaji hali ilikuwa mbaya sana.kumbuka wahutu hawaoi watusti lakini wanawatamani sana lwa jinsi walivyoumbika vizuri.wakati wa mauaji walikuwa wanachagua wanawake wazuri wanawapeleka kuwafugia kwenye magodown.kwahiyo wanakwenda kuua watu .wakichoka wanakunywa pombee bwiii.wanarudi walipohifadhi wanawake wa kitusti.wanachakata papuchi kwa zamu.kwamba wanaonja utamu wa wanawake wa kitutsi maana hawawaoi.
Hali hiyo inapelekea kuambukizana magonjwa ya ngono.imagine kwa siku mnapokezana wanawake hata 20.nyinyi mko 200au 150.mnajikuta gono imesambaa kwa interahamwe karibu wote achilia mbali ukimwi. Wakawa wanajiuliza mbona tunaumwa sana huku chini.hawa wanawake wa kitutsi wachawi sana leo tunaua wote...wakirudi wanauwa wote halafu wanawafukia kwenye kaburi moja.nina rafiki interahamwe alihamia hapa tz..alinihadithia..cha ajabu uchaguzi wa tz anapiga kura..na namba ya nida anayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa ona wote anavyowajibu.Mi ananishambulia kinoma[emoji23][emoji23].nahisi kuna wilaya haipo sawa kwenye moja ya mikoa ya mwili wake..[emoji23][emoji23]hasa kule kaskazini unguja[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada umeongea kitu kizuri sana ndio maana mimi huwa nasema pamoja na kwamba Magu ana makosa yake, lakini ukisikia makelele mengi ya kumtukana na kumlaumu, mengi ya hayo makelele yanatoka kwa lile kabila lililojiona special, lilojiona wao ndio wamesoma, wao ndio wanajua biashara, wao ndio wanajua kuajiri na kuajiriwa kwenye ofisi za umma.Haha lool thanks
Haya mambo bwana tangu zama za ukoloni wa wabelgiji hukoo ndo walianza kuwaambia watutsi wao ni special na wakawa favored kushirikiana na mkoloni kuliko wahutu ila ubaya hutu ndo wengi sana kuliko tutsi
Ni ubaguzi wa tangu 1800 huko...mkoloni akitumia system ya 'divide and rule'
Kama vile Tanzania makabila flani yalivyojaribu kujimwambafai mana wakoloni walianza peleka elimu na umishenari kwao ila Nyerere na marais wote wa watanzania hasa Magu saivi ni wajanja sana kwenye kufyekelea mbali ishu za makabila flani yenye nia ovu ya kuligawa taifa
Lakini pia nchi yetu kubwa mnoo na makabila ni mengi sana ...wale walojaribu kujigawa hakyanani nakuambia wangeishia huku..viongozi huwa wanaona mbali
Mana Rwanda ni kama mkoa mmoja tu wenye makabila mawili
watu hawajui tu haya mambo ya kujiona kabila flani ni keki/grade one wkt watu ni nchi moja yakikomaa kwa muda mrefu haya ndo matokeo yake
Nashukuru TZ washasema makabila flani hawezi mtu kuwa raisi kutoka hapo na Nyerere aliamua kusambaza watoto shule kujimix mikoa ya mbali ili waone wao ni kama wengine tu
Na kuoleana tushaoleana sanaaa na watu kabila zote washasoma sanaa inasaidia baadhi ya makabila kuona kumbe wao ni kama wengine tu
Bt mtu ukiwa kabila lililokuwa 'priviledged' na mkoloni usijimwambafai haya ndo madhara ya watutsi kuwa 'priviledged' na wabelgiji na hata sasa wao ndo wameshika hatamu bado unafikiri wahutu wanajiskiaje?!!kitanuka siku PL Slim akitoka hapo
Nilisoma wikipedia
Huyu ni kichaa apuuzwe soma comment zake zote ana attack watu sijui ana mimba au hakojoleshwi vizuri?
Mkuu kagame hakujipanga "msituni" bali alikua na back up ya serikali za kitutsi za Uganda na Burundi ambao pia baada ya kushika hatamu walimsaidia kuwateketeza wahutu waliokimbilia huko DRC.
Wahutu changamoto ni kwamba hawapo organized wala kimkakati kila mtu anapambana kivyake sasa ambacho wanaweza ni kutumia back up ya serikali za kihutu mfano Nkuruzinza na walitakiwa wahakikishe DRC anashinda mtu ambaye hayuko puppet wa Kagame!! Wamechelewa sana.
Maana kagame wakimvamia tu Museveni na Magu watamsaidia so watafeli!! Hapo bado DRC itawafukuza..... Ila kagame na watutsi walikua makini kabla ya uvamizi wanahakikisha serikali za jirani zipo mfukoni.
Hata alopovamia wahutu DRC alihakikisha ameshaongea na kaunda wa Zambia na Dos santos wa Angola kuwa wasiingilie vita. Sasa wahutu hawana ushawishi huo kwenye serikali zetu hivyo vita itakua ngumu sana
Fursa yao pekee ni kuhakikisha Nkuruzinza hatolewi kwa gharama yoyote lasihivyo ndio utakua mwisho wa ndoto zao kurudi Rwanda.
Walikuwa wamelewa muda wote.kitu kilichosababisha wawe na ujasiri wa hali ya juu.mfano kikundi cha interahamwe cha watu 200 kwa siku kinaweza kuua watu hata 5000.kubaka wanawake50.kwenye ubakaji hali ilikuwa mbaya sana.kumbuka wahutu hawaoi watusti lakini wanawatamani sana lwa jinsi walivyoumbika vizuri.wakati wa mauaji walikuwa wanachagua wanawake wazuri wanawapeleka kuwafugia kwenye magodown.kwahiyo wanakwenda kuua watu .wakichoka wanakunywa pombee bwiii.wanarudi walipohifadhi wanawake wa kitusti.wanachakata papuchi kwa zamu.kwamba wanaonja utamu wa wanawake wa kitutsi maana hawawaoi.
Hali hiyo inapelekea kuambukizana magonjwa ya ngono.imagine kwa siku mnapokezana wanawake hata 20.nyinyi mko 200au 150.mnajikuta gono imesambaa kwa interahamwe karibu wote achilia mbali ukimwi. Wakawa wanajiuliza mbona tunaumwa sana huku chini.hawa wanawake wa kitutsi wachawi sana leo tunaua wote...wakirudi wanauwa wote halafu wanawafukia kwenye kaburi moja.nina rafiki interahamwe alihamia hapa tz..alinihadithia..cha ajabu uchaguzi wa tz anapiga kura..na namba ya nida anayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
umemripoti mamlaka husika?,wewe pia ni shemu ya tatizo[/QUOTE]Sitaenda mbinguni..ana familia ya watoto 4.alioa mtanzania.sitaki kuwa chanzo cha matatizo ya hii familia...wakirudi wanauwa wote halafu wanawafukia kwenye kaburi moja.nina rafiki interahamwe alihamia hapa tz..alinihadithia..cha ajabu uchaguzi wa tz anapiga kura..na namba ya nida anayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio lazima umtaje, we are smart.Mkuu wapi nimemtaja huyo kiongozi wa nchi? Au ndiyo yale ya give your dog a bad name and kill it?
Sent using Jamii Forums mobile app
AtamimiMzee hii story ikiisha naamini kuna kitu kizito utakuwa umekishusha moyoni.Ila inasikitisha ni kama movie kumbe ni habari za kweli, kupitia story hii umenifanya nianze kupekua makabrasha na kutafuta documentary mbalimbali kuhusu Rwanda genocide kuzidi kujua zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi kwa sasa huko Rwanda wahutu na watutsi hawahimizwi kuoana kama njia mojawapo ya kufuta chuki kati yao?Mkuu umewaza mbali sana ila suluhisho lilishatolewa na mtawala wa kitutsi huko Burundi Prince Rwagasora? Aliamua kuoa Mhutu ili kuua ukabila ila watutsi wenzie walikataa na wakamuua.
So kama wakipitisha azimio waoane ili kumaliza tofauti zao itazaa matunda maana itakua ngumu kuua mtu sababu baba mhutu mama mtutsi cjui mjomba mtutsi alafu shangazi mhutu!! Hakuna vita hapo
RIP prince Rwagasore uliona mbali ila wenzio walikupuuza leo wanajuta
Siasa tu hizo, walianza beef tokea 1st and 2nd Congo War miaka ya 90 ndio sembuse sahivi. Watutsi pamoja na chuki zao ila linapokuja suala la maslahi yao wote huungana.Mkuu Kwa sasa Museven na Kagame haziivi kbsaa.. nA mipaka ishafungwa Uganda na Rwanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah, waliwauliza maswali gani kabla hawajampa sumu? Kwa iyo kama sio kuwa mtz wangekunywesha na wewe?Acha tu bro, bossless kanikumbusha moja ya tukio baya sana nililiona kwa macho yangu nikiwa na miaka 10 jamaa walikuwa wawili ilikuwa saa tisa na dk 17, alasiri tarehe 26/4/1994. Utanzania uliniokoa dogo huyo aliyekuwa rafiki yangu alipewa thiodan ile dawa tunayopulizia nyanya shambani dogo akawaambia anasikia kiu wakamwongeza nyingine alikufa namwona hv siku nilipoenda musozi kwa mara ya kwanza niliona picha ya dogo pale ndio maana naamini dogo amelala pale afu babu yake wakaondoka nae sijamwona hadi leo
Yaan ningekuwa na uwezo wale jamaa nikiwakuta jehanamu au mbiguni niwauwe tena[emoji24][emoji24][emoji24] basi tu
Rip Jean, babu huko uliko neema za Mungu ziwe nawe
Sorry bossless kuingilia uzi wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Roho mbaya chuki njaa maisha magumu vinamtesa wala usishangaeDah nimesikitika sana nimehudumia member wa JF bila utapeli hadi leo niko huru hapa kutangaza kazi zangu
sijaelewa huyu member mwenzangu wa muda mrefu nimemkosea nini, kuniita tapeli kwenye uzi wa kinyama kama huu
Mimi nina post zangu humu za udalali na page yangu insta ipo active sijawahi chafuliwa kwa tuhuma za utapeli
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa tu hizo, walianza beef tokea 1st and 2nd Congo War miaka ya 90 ndio sembuse sahivi. Watutsi pamoja na chuki zao ila linapokuja suala la maslahi yao wote huungana.
Trust me Museveni licha ya kuwa na beef na kagame Ila hayuko tayari kuwa na nchi ya wahutu kma jirani yake!! Ni tishio kwa usalama wa-Hema kuendelea kutawala Uganda.
Tunaita adui wa adui yako ni rafiki. Rejea kisa cha Urusi na adui yake Ujerumani ilipokuja suala la kuvamia poland wote walisupportiana kuimaliza!!
Angejua nini boss, nini kilikupata? Wewe una dini?2010 nilipeleka mzigo wa vifaa vya electronics kigali mwenyeji wangu yeye hanijui vizuri akawa ananiletea story za kibeho yeye na mkewe ni watusi akanilazimasha twende kibeho nikaenda kufika kwenye Yale makabati ya mafuvu nikahisi kuwa nataka kupandisha mashetani sijui ni pressure akashangaa sana nikamwambia uoga tu.angejua ....
Sent using Jamii Forums mobile app