Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Vipi kwa sasa huko Rwanda wahutu na watutsi hawahimizwi kuoana kama njia mojawapo ya kufuta chuki kati yao?
Hapana, na mbaya zaidi kuna program ilianzishwa mwaka 2013 ambayo ilitaka kila mhutu aombe msamaha kwa makosa ya wazazi/ndugu zao mwaka 1994!! Ili eti nchi ipatane..... Hayo yanatokea huku kila mwaka April inaadhimishwa mauaji ya Watutsi pekee huku ya wahutu yakipuuzwa.

Kwa staili hii ya kuendelea kuyataja haya majina chuki hazitoisha. Yule mwanamuziki wa gospel alipinga hili leo hayupo tena duniani!!
 
Mfano Rwanda after kagame akaingia muhutu Uganda itatishika na nn..why Museven aogope muhutu..,?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Museveni alidhamini kundi linaitwa RCD (ilipogawanyika) na UPC ili kulinda maslahi ya Uganda huko DRC.

Sasa kwenye congo war zote mbili Museveni naye alihusika kuchinja wahutu na faction zao huko kivu ya kaskazini hadi Ituri, na hata jamii ya watutsi huko Bunia ya wahema ilipovamiwa ni hao UPC ndio walienda kuwachinja walendu (wabantu hawa).

So FDLR/Hutu inamuona Museveni ni adui so ikipatikana serikali ya Hutu hapo Rwanda iko siku itatunza waasi wote wa UG ili kumng'oa M7.

Siasa za maziwa makuu ni complicated mnoo
 
Kwanini una angaika kusoma macomenti yote kutafuta mwendelezo wakati unacho takiwa ni kuingia kwenye kurasa za mleta Uzi kwa kugusa jina lake ,kisha inaingia ndani unaona anavyo post na kufuatilia bila usumbufu ,

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama utagundua ukisoma comments zote kuna watu ambao walikuwepo Kule wanaongezea nyama kwenye uzi. So kusoma comments zote kuna faida pia kuna wehu wanachekesha humu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwanamuziki yupi?
 
Hivi yule mwanamuziki alikuwa mhutu au tutsi?
 
Hayo mambo mnayaona nyie watu wa kaskazini na hii yote ni kutokana na kujina nyie ni special kwa hiyo mnaona kama mnaonewa na utawala huu.

Sijawahi kusikia mtu wa kusini akilalamikia ukanda isipokuwa malalamiko aina hiyo utayasikia kwa mkaskazini pekee.

Sasa huo ukanda ni kati ya kanda ya ziwa na kaskazini tu au unatuhusu hata sisi wa mikoa ya kusini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha inferiority complex umejuaje wanapiga kelele watu wanachapa kazi nyie mwasema wanajioma na akili sio wakiona Wana akili tu, ni kweli wako vzuri kila sector not only in Tanzania, but globally nyie jipeni moyo magu eti anawakomesha msijipange kujituma kufanya kazi kwa bidii na kuwekeza kwenye elimu na biashara wengine wakipambana mje humu kulia Lia eti wakiona, hata hyo magu hzo position za watu wake 90% na kitu zimebadilisha Nini Kanda ya ziwa kuanzia poverty level, infrastructure licha ya kuwa ni ukanda wenye madini.

Acheni chuki kwa makabila mengi na kusimgizia upendeleo Mara wamishionary unafikiria dunia hii Kuna kitu kirahisi Tena tumepata Uhuru kila sehemu ilikuwa priority Tena Nyerere mikoa ka kagera na Kilimanjaro pass mark ilikuwa kubwa ili kubalance na mikoa mingine hata waliofeli waliendelea je wako wapi.
Msiwe mnatumia hisia rather than use logic, inferiority complex inawatesa Sana washamba
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wee nae unaongelea ya Zaire(DRC) wakati mwenzio anaongelea ya Rwanda! Imebidi nicheke tu 🤣🤣🤣🤣
 
Kama ushajua kwanini unapoteza muda kukoment?? Umalaya unakusumbuae?
wewe nawe babu zima unakua na mishebeduo kama demu.
Ukiambiwa fact kubali, wengi tumeshakushtukia tangu mwanzo.

Ulikua unabwabwaja ukidhani hakuna wanaojua story ya Rwanda kuliko wewe imekula kwako [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kalabaho,! Dunia inabadirika mama,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa kusameheana ni ngumu sana. mwaka jana waligundua kaburi kubwa la watu kama 500+ kwenye makazi ya watu.

Sasa apo ndo ujiulize inakuaje kwa miaka yote hiyo hao wakaazi wa apo wamekaa kimya hakuna anaetoa ripoti kwa vyombo vya dola kuwepo kwa kaburi kubwa apo mtaan kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kQUOTE="Proved, post: 34596756, member: 506196"]
Mkuu hivyo visa vilivyotokea wakati wa civil war kwanini uviite genocide ilihali ni majeshi ya pande mbili yaliyokuwa yanapigana?

Ila ukiangalia matukio ya kuanzia April 1994 ni kwamba ni jamii moja ilichochewa na viongozi wao kushambulia jamii nyingine ili kuwamaliza kabisa tofauti na matukio ya kuanzia 1990 ambayo ni majeshi ya pande mbili yalipigana sio raia.
[/QUOTE]

BANGO JEUPE dalali tapeli wa nyumba za kupanga Dar.
Usimruhusu shetani akutumie kuvuruga uzi wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…