Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Haki vile nimecheka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

I didn’t see this coming at all
You watch movies a lot, that’s a reason why🤣🤣🤣

 
Kwaiyo mzee mpaka leo ajatoa story
 
Nyerere alikuwa na wanajeshi wazuri sana! Sijui hawa wala vihepe wa sasa hivi tunaowaona huku mitaani.

Yani hapo unaweza kuta hiyo difenda ilitokea tz ikapita pori kwa pori hadi Rwanda

Sent using Jamii Forums mobile app

wewe nae unapumbazwa unaonekana zuzu unakubali tu.
hivi na akili zako timamu (japo zipo robo kilo) unaamini kwamba eti commando mmoja ni sawa na wanajeshi 100!!!

kwamba risasi ikimpiga kichwani hafi?
kwamba gari lao likitupiwa grumeti halilipuki?
 
Mkuu mshawishi mzee nae aje amwage yake hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo maiti kibao ni kama ngapi na ilikuwa ni akinanani kwa mlivyo waona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uongo mkubwa + imani potofu.
kwamba commando akipigwa risasi ya kichwa hafi. Risasi inadunda!!!
Nani huyo kusema komando akipigwa risasi inadunda?
Mbona Tz tuna historia ya kupoteza makomando zaidi ya miwili kwenye mapambano i.e
Na yule Lima Tango tuliyempoteza Congo wakati tunapambana na MR21 sio komando?
Ni ipo hiyo imani potofu unayoiongelea wewe?
 
Nyerere alikuwa na wanajeshi wazuri sana! Sijui hawa wala vihepe wa sasa hivi tunaowaona huku mitaani.

Yani hapo unaweza kuta hiyo difenda ilitokea tz ikapita pori kwa pori hadi Rwanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Mafunzo na yale yale mkuu na wanaiva na kufuzu mpaka kuona wamevaa zile badge za Military Special Unit.
l
 
Mkuu mshawishi mzee nae aje amwage yake hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kama alishindwa kuisimulia familia yake aliyokumbana nayo huko Rwanda ndiyo atakuwa tayari kuja kukusimulia wewe mtu baki? Pia huwezi jua zile pesa nyingi alizorudi nazo alizipataje kati kati ya mauaji/vita maana kumbuka kutokana na simulizi ya babu hapo kipindi hicho ilikuwa ni biashara ya kubadilishana bidhaa kwa bidhaa na siyo bidhaa kwa pesa. Sasa huyo hizo pesa alizipata kwa kufanya biashara gani? Inabaki siri yake.
 

sasa unapo shadadia kuwa eti commando mmoja ni sawa na wanajeshi 100 unakua na akili timamu kweli?
 
Nyerere alikuwa na wanajeshi wazuri sana! Sijui hawa wala vihepe wa sasa hivi tunaowaona huku mitaani.

Yani hapo unaweza kuta hiyo difenda ilitokea tz ikapita pori kwa pori hadi Rwanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Wale walikua watu wa kazi wanarekebisha huku wanatungua huku. Hali ilishaeleweka mapema kipindi kile kwamba kitanuka huko ndo wakapelekwa wale kulinda mpaka na kupiga ile mambo yenu yaishie hapo msilete kwetu huku. Ukibisha tuna wewe
 
Hivi hakuna mtu amekumbana na Mtutu wa Charles Taylor
Taylor ni mzuri kwa hiyo fani bunduki sana.
ila kilichotokea Rwanda usipime. Jamaa wanasema usipoteze muda na risasi kata miwa tu fasta. Hapo ni mapanga shaa, jembe la kichwa, nyundo sekunde tu watu hao wamemaliza kazi wanaangalia next station. Unakuta wanapigiwa call inyenzi wako 200 shule flani nendeni kazini unaambiwa wakifika pale hamna maswali.
Kwa kweli watusi wana haki kuhate hao jamaa interahamwe.
Ile hata mjerumani alichofanya Auschwitz haifiki.siku 100 tu mtu milioni+ ziliondoka
 
Unavosema watusi wana haki ya kuwachukia intarahamwe ambao ni wahutu, kumbuka watusi nao walikua wanawaua wahutu kwa kutumia vkundi vyao vikiongozwa na RPF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv Burundi kuna wahutu Tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila kuua watu 500,000+ kwa panga, nyundo, rungu sio mchezo. Hawa jamaa walichafukwa na nini hivi? Hata kama propaganda zilikua za kiwango gani?

Hii unaweza ikawa rekodi ya dunia nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…