Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Bado najiuliza huyu mama aliyekuwa balozi wakati hup yupo wapi? na mbona jina lake linafichwa tungempa heshima yake maana hata ukimgoogle huwezi kumpa hakuna record yeyote kuhusu balozi zetu za wakati ule
 
Yaani ubalozi wa Tanzania nchini Rwanda ulikuwa Kinshasa DRC!! Ama umechanganya habari mkuu
 
Watusi Wahutu si Makabila tofauti mkuu, ni Aina ya kazi walizokuwa wakifanya mmoja alikuwa mkulima mwingine mfugaji ila ni Kabila moja
 
sasa unapo shadadia kuwa eti commando mmoja ni sawa na wanajeshi 100 unakua na akili timamu kweli?
We kweli punguani, kusema hivyo kunahusiana vipi na komando hafi kwa risasi?!
Nimesema hivyo kwasababu nakijua na nipo tayari kuelezea nikimaanishacho. We unayeshi tu ilimradi unakula, ukishiba unakuja kubishana hapa na smartphone yako na kulala.
Hii sio level yako na wala hustahili kujua chochote kubiduana na medani hii inayotegemewa katika swala zima la Ulinzi na usalama wa nchi.
Maaakibuyu....
 
Watusi Wahutu si Makabila tofauti mkuu, ni Aina ya kazi walizokuwa wakifanya mmoja alikuwa mkulima mwingine mfugaji ila ni Kabila moja
Hapana mkuu. Ni tofauti kabisa hata maumbile yao. Mhutu ni mweusi,ana mwili mkakamavu,mtu ya kazi hasa. Mbantu halisi,sawa na Afrika magharibi na south Africa. Lakini Mtusi ni lain sana,mweupe,goigoi mtu ya ofisini

Sent using Jamii Forums mobile app
 

una akili timamu kweli?
 
Bossless

Barikiwa saana! Nashukuru tumemalizana salama wa salmin. Ukianza kuandika kisa kingine zingatia kurekebisha yale mapungufu ambayo wengi wetu tumeorodhesha!

Ahsante kwa kisa hiki.
 
walikua na unyama wao pia wa kula watu pia unyama unyama wa aina yoyote vitani haukosekani
Pia ni miongoni mwa notorious warlords wa africa.. Ningependa kama kuna mtu alikuwaga huko atusimulie
 
Huyo Taylor ndo nani mkuu na amefanya kipi cha kihistoria, tumtafute mtu mwingine atuletee stori ya Taylor hapa
walikua na unyama wao pia wa kula watu pia unyama unyama wa aina yoyote vitani haukosekani
Pia ni miongoni mwa notorious warlords wa africa.. Ningependa kama kuna mtu alikuwaga huko atusimulie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiv Burundi kuna wahutu Tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana wapo watusi pia ila sidhani wanazidi 20%. Ila watutsi wameitawala zaidi Burundi licha ya uchache wao ingawa kwa sasa nguvu ipo kwa wahutu.

Huko nyuma waliitawala kwa ubabe tu ila uchaguzi wa kwanza wa huru na haki kma sikosei 1992 Wahutu walishinda kwa sababu ya wingi wao ila miezi michache baadae Rais alipinduliwa na kuuawa kikatili.

Kiufupi watutsi wamenyanyasa sana Wahutu Burundi ila watu wanaangalia ya Rwanda tu wanasahau huko Burundi genocide ya 93 kuendelea wahutu ndio waliokufa zaidi sababu jeshi lilikua la watutsi.
 
Mkuu hata hao Tutsi walichinja wahutu sana maeneo walioteka tena huko DRC walikua wanavamia makambi ya wakimbizi ni kuchinja tu ili kelele za risasi zisifike mbali, actually hutu massacre kuanzia Kibeho mpaka Uvira hadi goma ni zaidi ya 1 Million kwa takwimu za UN. Mauaji yalianza august 1994 mpaka 2003 baada ya 2nd congo war

Wote tu wanyama sema kagame kafanikiwa kubrand kupitia media kuwa wahutu ndio wanyama ila watutsi ndio wastaarabu ila ukifika DRC mtutsi huwezi katisha mitaa ya bunia au bukavu watakukaanga mchana kweupe.

Rejea kisa cha Mutebuzi mwaka 2000
 
Punguza kuangalia muvi mkuu.
Ukiwa juu haujulikani ni nani, ukiwa ardhini ni rahisi kukutambua kwa escort uliyonayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…