Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Mkuu, saidia jina la balozi mtajwa katika kadhia hii
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ahahahahah, nimecheka sana. Sada hawa watu ugenini wanaishi hivo..huko kwao wanaishije?

Ebu mkuu tupe stori kamili kidogo...vaadae hujamuuliza kwa nn wanachukiana?
 
Ahahahahah, nimecheka sana. Sada hawa watu ugenini wanaishi hivo..huko kwao wanaishije?

Ebu mkuu tupe stori kamili kidogo...vaadae hujamuuliza kwa nn wanachukiana?
Wako hivi yaani ni kuliana timming tu,ndo mana sa hivi PK ni kuwarundika tu ndani anajua akicheza wanaanza nae
 
@MK254 mwaswast Tony njooni mjifunze huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wako hivi yaani ni kuliana timming tu,ndo mana sa hivi PK ni kuwarundika tu ndani anajua akicheza wanaanza nae

Hawa jamaa siku tu PK akija kujisahau akafanya mistake, nakwambia watawamaliza ndani ya siku moja.

Hivi hawa jamaa kwa sasa wanaoleana kweli?
 
Boss nakuomba huu Uzi upeleke jukwaa la East Africa Kenya unawafaa sana maana na wao wapo kwenye ukabila

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasaidia swala zima la Ulinzi kwa muda husika. Kama hutaki bugudha hiyo hakikisha kabla ya saa sita usiku uko nyumbani kwako ukiwa umelala na familia yako.
 
Hawa jamaa siku tu PK akija kujisahau akafanya mistake, nakwambia watawamaliza ndani ya siku moja.

Hivi hawa jamaa kwa sasa wanaoleana kweli?
Kwa stories za wasimuliaji na walioshuhudia hayo mauaji mpaka sasa wanakiri kuwa uwezekano wa hiko kitu hakuna.
 
Hawa jamaa siku tu PK akija kujisahau akafanya mistake, nakwambia watawamaliza ndani ya siku moja.

Hivi hawa jamaa kwa sasa wanaoleana kweli?
Haiwezekani kabisa, sidhani kabisa hao ni kuwaombea tu maana muhutu ni kunyooshewa vidole tu"killer" na wao wana back up wakiongea ongea jela inawahusu
 
Duh, wanasafari ndefu banyarwanda, ila wahutu waliwafyeka wenzao,,lazma hii chuki izidi kuku. Ukifuatilia historia watusi ndo walianzisha uhasama kwa kujimwambafai ilhal wao ni wachache. Sasa wenzao wakamaindi waktaka kujikomboa na utumwa na umwinyi wa hao jamaa. All in all mtusi ni mtata....mhutu nae ni mkatili sasa...ndo unataka umfute mwezako ktk uso wa ardhi.

Hahaahah duh, hao jamaa walijengewa makambi hko Ngara saivi ni wamefungua mashyle na mavyuo., ngara pale 40% ya wakazi ni wanyarwanda. Unamkuta kabisa anasikiliza redio rwanda...sasa unajiuliza huyu nimtz kweli?
Kwa stories za wasimuliaji na walioshuhudia hayo mauaji mpaka sasa wanakiri kuwa uwezekano wa hiko kitu hakuna.
 
Mkuu asante sana kwa kutupa huu mkasa, Ila swali ulilomuuliza yule dada kua kwanini isiwekwe sheria ya hayo makabila mawili kuoana.. Nadhani ndio ingekua suluhisho sahihi ya kuharibu na kumaliza chuki zao hata mara baada ya PK kuondoka madarakani (either kwa uzee au kifo)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa taarifa yako Sina taaluma yeyote ya uandisha mnisamehe kwa hilo

Sent using Jamii Forums mobile app

Dingii vipi!? Hakuna tumesema we una taaluma ya uandishi, na wala hakuna sehemu tumekwambia una makosa ya kiuandishi! Na hata kama unayo sijataona sababu sipo hapa kuchunguza hilo!!

Mfano hii stori ungekuwa umeiandika yooote! Halaf hapa unatupia tu tungepata stori yenye mambo mengi zaidi! Hapa kuna visa inawezekana hujavisema sababu tu ya uharaka wa kutuwahishia tusiboreke na uzi, stori yoyote inakuwa na matawi mengi mengi, kuna vitu ulikuwa unashindwa kwenda deep nadhani sababu ya muda!

Anyway wangu ni ushauri tu una hiari ya kufanya ama kuachana nao!

Ahsante kwa simulizi
 
Sasa mkuu, huyu PK mbona sasa imasemekana mkono wa chuma hadi kwa ndugu/watusi wenzake, anaogopa nn? Mfano huyu mwanamuziki wa gospel wa juzi, na yule mwanamama alietaka kugombea urais akafungwa kisha akasamehewa.
Hata wahutu wa msimamo wa wastani walichinjwa kinyama na wahutu wenzao .nadhani umenielewa? R.i.p kizito mihigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…