Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Yaani East Africa iwe chini ya tutsi?mbona hilo suala ni gumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni jambo gumu, lakini ndo mpango uliokuwepo na hilo nililipata kutoka kwa askari wa Uganda aliyekuwa anapigana vita kwa upande wa RPF na askari mwingine ambaye sikumbuki nchi yake ila alikuwa ni miongoni mwawale waliokuwa wanapigana kumpindua Kabila aliyempindua Kukungwendu.
 
Hhhhaahhaaahhhaaa.....toka niescape Rwanda sijawahi ogopa chochote duniani in short mimi ni kama nusu mfuu. Unaweza nitukana nikakasirika Sana lakini ukaniwekea bunduki kichwani nikacheka tu so najua kifo kuliko maelezo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maslahi ya wazungu yatakuwa wapi katika hilo? Kama hakuna maslahi yao itakuwa ndoto tu. Madini mengi yanayoibwa Congo yanapita njia ya ardhini ipo katika nchi mbili tu Rwanda na Burundi basiii .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa mzee wangu. Ebu kidogo huyu kizito mihigo (RIP) yeye alipinga nn kama una info yyte
Alihimizo maridhiano ya kweli kupitia nyimbo zake ,sio haya fake ya kusema watusi ndo walikufa tu akawauzi wenye nchi dawa yake ikawa jera kwanza halafu kifo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alihimizo maridhiano ya kweli kupitia nyimbo zake ,sio haya fake ya kusema watusi ndo walikufa tu akawauzi wenye nchi dawa yake ikawa jera kwanza halafu kifo .

Sent using Jamii Forums mobile app

Ahaa, nashkuru mzee wangu. Basi mm nakwambia haitofika 2050 bomu hilo la rwanda halijalipuka.
Wahutu walio wengi ni wanatanga tanga nchi jirani wakikimbia mkono wa PK, ukiachilia mbali dhana ya wengi kuongozwa na wachache.
 
wewe nae unapumbazwa unaonekana zuzu unakubali tu.
hivi na akili zako timamu (japo zipo robo kilo) unaamini kwamba eti commando mmoja ni sawa na wanajeshi 100!!!

kwamba risasi ikimpiga kichwani hafi?
kwamba gari lao likitupiwa grumeti halilipuki?
Peleka hizi akili zako za kitutsi na kihutu huko kwenu Rwanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iliwezekanaje mtutsi akajimwambafy wakati raisi alikuwa mhutu. Sio chuki tu na uvivu ambao hata wabongo wengi wanao kwa watu waliofanikiwa?
 
Stori utakua umeianzia katikati. Ianzie kabla ya kuja kwa mbelgiji. Yeye alvokuja alwakuta mtusi yuko juu akijimwambafai yy kaongeza tu mafuta. Ndo baadae wahutu wakaanzisha harakati ndo uhasama ukaazidi kumea.ww stori yako imeanzia kwa raisi mhutu Habyarimana.
Iliwezekanaje mtutsi akajimwambafy wakati raisi alikuwa mhutu. Sio chuki tu na uvivu ambao hata wabongo wengi wanao kwa watu waliofanikiwa?
 
Bossless Wakati RPF wanaichukua nchi kwa mtutu wahutu waliokuwepo ni kwamba walijisalimisha baada ya mziki kuwa mnene au niaje?

Na vipi kuhusu idadi yao wakati huo ilikua bado ni significant figure?
 
Huo mkono wa chuma ndio umeleta amani! Ila waafrika ukiwadekeza sana watauana kila siku, hivyo ni kuwapeleka kijeshijeshi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…