Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini


Pamoja sana mkuu Bossless
 
Kitendawili kimeshateguka chief, balozi alikuwepo na alisimamia mchongo mzima wa negotiations.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama nimemuelewa amesema kwenye ile mahakma watu wengine walikuwa wanatajana tu kwa kisasi, mtu anaweza taja hata mtutsi mwenzie kwamba aliwasaidia hao ntarahamwe na ukitajwa haijalishi wewe ni mtutsi au hutu ni hukumu tu na hakuna wa kufatillia kama ni kweli au unasingiziwa
 
Nakumbuka msimuliaji alisema vita ya kuuana kwa hayo makabila ilikua ya siri kwa siku 70 na baada kifo cha maraisi ndio dunia ikashtuka na hapo pia wahutu wakapata hofu baada ya kiongozi wao kufa kuuana kukapungua, kwa hiyo mauaji yalikolea kabla raisi hajauwawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…