babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Karegeya zamani ashamalizwa,Rudasingwa aliomba kurudi ufalmeni kwake akaambiwa njoo tukukaribishe kwa matarumbeta hadi jela kaghairiAkina kayumba nywamwasa,Patrick karegeya, Theodore Rudasingwa watutsi wenzake anawasaka awamalize
Jamaa noma[emoji2]
Sent using Jamii Forums mobile app
Point number 4&6,hii nchi ilikuwa vitani,Story ni ya kweli ila ameweka codes. Inawezekana walipitia Rusumo ila kaamua kuweka miwani tusimjue ni nani. Yawezekana balozi alikuwa Me, au si mzanzibari. Story yake itabaki kuwa the best.
Hector pia ni mzuri kwenye historia ya Congo nahisi atatumegea mengi yanayohusu Chisekedi.
Bossless ameanza kuleta utata. Inawezekana kuna walakini kwenye hii story yake. Labda kadanganya sasa au alidanganya posts za nyuma, Idk which Is which.Makubwa! Pia katika post yake ya kwanza kwenye mada hii alisema alisomea stashahada ya uhasibu ila katika post zake katika mada zingine anadai yeye ni fundi umeme na ana degree ya Human Resource Management. Pia katika post hizo hizo zingine anadai yeye akinunua kitu kipya atamwita mtoto wake na kumwambia asikiguse lakini pia atampiga pasipo mtoto kufanya kosa lolote ili mradi tu kumtisha asije akathubutu kugusa hicho kifaa kipya! Huo ni upande wa pili wa msimulizi wetu.
Basi Inawekana names + baadhi ya utambulisho mtoa mada katulambisha joker. Kuna fake details nyingi sana kwenye huu uzi kama mtoa mada atakua ni TISS kweli.Mkuu kashasema humu amefanya kazi ubalozini hiyo tu inatosha, haihitajiki maelezo zaidi
Kama mtu anafahamu diplomatic passports huwa wanapewa watu gani nje ya viongozi na kwa sababu gani basi hutatilia shaka simulizi hii na utapata picha mtoa mada anatumikia chombo gani kikubwa cha dola hapa nchini
Kingine mtoa mada ni muislam kwa nilivyomcheki na Feza ni shule ya Waturuki na Waturuki ni Waislamu
Kama member mmoja hapo juu alivyosema kama mtu anafahamu kuhusu usalama wa Taifa basi anajua kuwa si kila kinachoonekana/onyeshwa/semwa ni disclosed , na kama mkuu mtoa mada ni mtu wa TISS hawezi kuongea vitu au kuweka hadharani taarifa za kumjulisha yeye nani tujaribu kukubaliana na hilo
Nilishauliza huko nyuma kuna mabalozi wa aina mbili huyo mama yupo kundi gani?
1. Ambassador ‘extraordinary and plenipotentiary’ hawa ndio wale kilasiku tunaona wanaapishwa na kupangiwa nchi za kwenda.
2. Ambassador ‘Charge D’affaires’ hawa wanateuliwa temporarily kutoka wizarani kuwakilisha taifa lao pale ambapo serikari yao inahitaji ushiriki kamili kwenye maswala ya nchi nyingine ambayo hawana ubalozi (kama vile Tanzania ilivyokuwa sehemu ya kutatua mgogoro Rwanda).
Sasa kwakuwa atukuwa na ubalozi Rwanda kabla ya 2000 liko wazi huyo mama alikuwa ni balozi wa aina gani.
Basi Inawekana names + baadhi ya utambulisho mtoa mada katulambisha joker. Kuna fake details nyingi sana kwenye huu uzi kama mtoa mada atakua ni TISS kweli.
Sasa mkuu mbona unachimbua makaburi ambayo hayapaswi kuchimbuliwa....hizo comments kila mtu anazilopoka tu kutegemea na story ilivyo(kwake yeye alitaka aonekane mtoto wa kishua...si unajua tena feza)
ĹMtutsi huwa mrefu hewani au wa wastani.pua ndefu ya kisomali.ngozi nzuri laini.kama ni mwanamke hubeba hipsi za maana.nywele nzuri pia kiufupi huwa ni wenye mvuto.(pisi kali).hutu huwa vijeba .hawana mvuto nywele kipilipili na pua pana.wengi ni weusi tititii..mademu zao vipori[emoji85][emoji85][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁 eti cerelacUnitumie hii story yako kwenye PM.
Hawa watoto wa cerelac ni shida.
Word!Kwa maoni yangu
Siasa haina nguvu hasa kwa watanzania
Ni kitu u can change ama kuhama
Yani hamna wafia siasa au chama
Mange alijaribu hii siasa na alifeli
Watanzania were not up to it
Tofauti na powerful forces za ukabila
Kabila ni lako tu u have no choice umezaliwa hapo by default
Ukabila is the strongest force ikifuatiwa na dini mana watu hujitoa mhanga kabisaa kisa imani
then siasa ya mwisho kabisa
Point number 4&6,hii nchi ilikuwa vitani,Maelezo yake kwamba TZ tulifunga mpaka wetu na Rwanda kipindi cha genocide ikapelekea wao wapitie Burundi border kuna walakini....sababu watz ninaowajua waliokuwepo Rwanda kipindi hicho cha machafuko walirudi Tz kupitia Rusumo border.....kwa ufupi hii story yake ina "coverings" nyingi kwasababu anazozijua yeye mwenyewe...siyo ya kumeza kama ilivyo
Ndugu, hivi vidude huwa ni vya kupuuza tu mara zote. Huwa vinajiona ni extremely special. Rejea ishu ya Mkwere na PK miaka ya mwishon mwa utawala wa Mkwere unajua kwa nini ulinzi wake uliimarishwa!? Hiki kijamaa kilitaka kuleta upuuzi wake, akapewa onyo kidogo tu akaufyata. Na alijua akishaitwaa Tz bas East Africa yote inakuwa chini yake. Anajua kilichompata mtutsi yule
ĹHii ni kama testmony tu.story zipo nyingi tu hata kwa survivor wa kinyarwanda.hela ilishapigwa kitambo na kina emaculee ilibagiza " left to tell" ." Virgin marry" ."our laddy from kibeho".pia yule kamanda wa UNAMIR ana kitabu chake. " shake hand with the devil" .muda umekwenda sana sasa.ukileta hizo mambo unamtafuta ubaya PK.hapendiii....
Sent using Jamii Forums mobile app
KiddingBossless ameanza kuleta utata. Inawezekana kuna walakini kwenye hii story yake. Labda kadanganya sasa au alidanganya posts za nyuma, Idk which Is which.
Aje kuondoa huu utata please.
hahah