Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Kwanini ulimtelekeza mpenzi wako jamani, inaniskitishaa... ungejitahidi kuangalia namna ya kumuokoa.
Maskini sijui kama alipona.
Inaendelea.....

Niwakumbushe tu kuwa tayari nimeshazitaja dalili mbili za kuingia kwenye machafuko rasmi sasa twende na dalili ya mwisho ambayo KUOGOPANA.

KUOGOPANA, hii maanake nini? Iko hivi ukiona yule jirani au majirani mnaanza kuogopana yani kila mtu yupo kivyake ujue sasa hali imefika mwisho kilichobaki ni kila mtu kumuwahi mwenzake ili abaki salama yeye hakuna namna.sasa hapo naomba nizungumzie jambo kabla sijaendelea.vita vya ukabila vikawa vimekufa rasmi ikaibuka vita nyingine mbaya ya njaa hapo tena ikawa haangaliwi mtusi au mhutu .ukiwa na chochote hata gunia la sembe la Kilo kumi watu wakajua utake usitake utatoa tu mgawane hapo ndo iliibuka dhana ya kuogapana yani ukija kwangu utajua na nini? Ukitoka unaenda kuwaambia wengine usiku mnanivamia mnachukua chakula ukileta ubishi mapanga ni halali yako.

Watu wakawa hawaaminiani tena siku zikawa inasonga kila mtu kivyake hakuna ujamaa wala undugu kila mtu la kwake ,maduka yakavunvwa wakapora vitu mji mzima chakula kikageuka kuwa almasi, watu wakaanza kuchunguzana kwa siri ukiwa na chakula upo hatarini kupotea au kuuawa kabisa tena na majirani hao njaaaa.....ikachukua nafasi si kwa wenyeji au wageni vita mipakani inaendelea unachinja kuku unamla siku 4 ,ana chacha wala husikii harufu ya kuchacha mambo yanazidi kuwa mabaya zaidi mpaka ikawa imefikia mwezi wa pili mwishoni 1994 sasa kila kitu kikawa wazi kuwa rwanda imebakia sekundi izame. propaganda zilipungua redioni wale wasemaji wasemaji wakawa hawasikiki tena mambo yanakwenda mrama(wameshakimbia) kigali inabaki tupu wale magwii wa siasa za propaganda wakapotea ghafla redio siku nzima inapiga muziki wa chama.

Watumishi wote tukaamriwa tureport ubarozini hakuna kutoka nilichukua begi langu hadi ubalozini nikawa sikumbuki tena mapenzi yangu na yule binti maanake nini tupo hatua mbaya na ya mwisho ya uharibifu hapo hakuna unachokifiria zaidi ya nafsi yako pekee unawaza unatoka aje salama hapo.

Kufika ubalozini nikakuta watu kibao (watanzania) waloikuwa rwanda aise watu wamejazana halafu eneo dogo ukiangalia wengine wamekuja na wake zao wakitisu kabisa na watoto wao Watusi pure aise
Nikajisemea leo balaa tusipouwa basi ,balozi akawa kama kapigwa na ganzi akiwaangalia wale watu ikawa ni kujieleza kila moja na watu wake hiyo ndo ikawa kazi yetu tunawahojimtu na mkewe. Daahh

Hesabu ikaonyesha kuwa watanzania tupo kiasi ila watoto na akina mama ambao ndo wengi halafu haiba yao ya kitusi pure ikaja tunafanya aje? Tuwafukuze au tufanyeje tukampa taarifa rasmi balozi yeye akawa yupo ofisini anaongea na watu kwa sauti ya chinichini sanaa tukawa hatuelewi tukawa tumekaa tu yeye yupo ofisini. Sasa angalia cha ajabu.

Kulikuwa kuna walinzi wawili pale getini wa kampuni ya pale pale kigali ghafla bila kutarajia jamaa wakayeyuka ghafla haijulikani walienda wapi? hiyo wasiwasi wangu walihofia ile hali sasa tukabaki hatuna ulinzi geti jeupeeeeee....yani unajiingilia tu.

Kufika midaa kama saa kumi na mbili ikaja landrover(defenda)nyeupe ikiwa na tinted full ikapaki getini ilionekana kama imetokea safari, balozi akatoka akawapokea hao jamaa, mapande ya majitu yaliyoshiba yamejazia vizuri kabisa walikuwa 7 wakashuka na maboksi flani hawakutaka mtu yeyote awasaidie kushusha wakawa wameingia ndani sasa kukawa kuna Mazungumzo yanaendelea hatukuja nini kinaendelea. Usiku ukafika tukalala kuamka asubuhi hatukiwaona tena hao jamaa ikawa sasa kila mtu na hisia zake, ila kuna mfanyakazi akawa anasema amesikia ndani wanaongea kiswahili. Sasa ntaelezea baadae ni akina nani hao na tulikutana tena boda ya burundi na rwanda wakiwa full ..........


Itaendelea..... Jioni.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaendelea.....

Niwakumbushe tu kuwa tayari nimeshazitaja dalili mbili za kuingia kwenye machafuko rasmi sasa twende na dalili ya mwisho ambayo KUOGOPANA.

KUOGOPANA, hii maanake nini? Iko hivi ukiona yule jirani au majirani mnaanza kuogopana yani kila mtu yupo kivyake ujue sasa hali imefika mwisho kilichobaki ni kila mtu kumuwahi mwenzake ili abaki salama yeye hakuna namna.sasa hapo naomba nizungumzie jambo kabla sijaendelea.vita vya ukabila vikawa vimekufa rasmi ikaibuka vita nyingine mbaya ya njaa hapo tena ikawa haangaliwi mtusi au mhutu .ukiwa na chochote hata gunia la sembe la Kilo kumi watu wakajua utake usitake utatoa tu mgawane hapo ndo iliibuka dhana ya kuogapana yani ukija kwangu utajua na nini? Ukitoka unaenda kuwaambia wengine usiku mnanivamia mnachukua chakula ukileta ubishi mapanga ni halali yako.

Watu wakawa hawaaminiani tena siku zikawa inasonga kila mtu kivyake hakuna ujamaa wala undugu kila mtu la kwake ,maduka yakavunvwa wakapora vitu mji mzima chakula kikageuka kuwa almasi, watu wakaanza kuchunguzana kwa siri ukiwa na chakula upo hatarini kupotea au kuuawa kabisa tena na majirani hao njaaaa.....ikachukua nafasi si kwa wenyeji au wageni vita mipakani inaendelea unachinja kuku unamla siku 4 ,ana chacha wala husikii harufu ya kuchacha mambo yanazidi kuwa mabaya zaidi mpaka ikawa imefikia mwezi wa pili mwishoni 1994 sasa kila kitu kikawa wazi kuwa rwanda imebakia sekundi izame. propaganda zilipungua redioni wale wasemaji wasemaji wakawa hawasikiki tena mambo yanakwenda mrama(wameshakimbia) kigali inabaki tupu wale magwii wa siasa za propaganda wakapotea ghafla redio siku nzima inapiga muziki wa chama.

Watumishi wote tukaamriwa tureport ubarozini hakuna kutoka nilichukua begi langu hadi ubalozini nikawa sikumbuki tena mapenzi yangu na yule binti maanake nini tupo hatua mbaya na ya mwisho ya uharibifu hapo hakuna unachokifiria zaidi ya nafsi yako pekee unawaza unatoka aje salama hapo.

Kufika ubalozini nikakuta watu kibao (watanzania) waloikuwa rwanda aise watu wamejazana halafu eneo dogo ukiangalia wengine wamekuja na wake zao wakitisu kabisa na watoto wao Watusi pure aise
Nikajisemea leo balaa tusipouwa basi ,balozi akawa kama kapigwa na ganzi akiwaangalia wale watu ikawa ni kujieleza kila moja na watu wake hiyo ndo ikawa kazi yetu tunawahojimtu na mkewe. Daahh

Hesabu ikaonyesha kuwa watanzania tupo kiasi ila watoto na akina mama ambao ndo wengi halafu haiba yao ya kitusi pure ikaja tunafanya aje? Tuwafukuze au tufanyeje tukampa taarifa rasmi balozi yeye akawa yupo ofisini anaongea na watu kwa sauti ya chinichini sanaa tukawa hatuelewi tukawa tumekaa tu yeye yupo ofisini. Sasa angalia cha ajabu.

Kulikuwa kuna walinzi wawili pale getini wa kampuni ya pale pale kigali ghafla bila kutarajia jamaa wakayeyuka ghafla haijulikani walienda wapi? hiyo wasiwasi wangu walihofia ile hali sasa tukabaki hatuna ulinzi geti jeupeeeeee....yani unajiingilia tu.

Kufika midaa kama saa kumi na mbili ikaja landrover(defenda)nyeupe ikiwa na tinted full ikapaki getini ilionekana kama imetokea safari, balozi akatoka akawapokea hao jamaa, mapande ya majitu yaliyoshiba yamejazia vizuri kabisa walikuwa 7 wakashuka na maboksi flani hawakutaka mtu yeyote awasaidie kushusha wakawa wameingia ndani sasa kukawa kuna Mazungumzo yanaendelea hatukuja nini kinaendelea. Usiku ukafika tukalala kuamka asubuhi hatukiwaona tena hao jamaa ikawa sasa kila mtu na hisia zake, ila kuna mfanyakazi akawa anasema amesikia ndani wanaongea kiswahili. Sasa ntaelezea baadae ni akina nani hao na tulikutana tena boda ya burundi na rwanda wakiwa full ..........


Itaendelea..... Jioni.



Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee we jamaa unafanya kila sekunde tuchungulie huu uzi, matukio ya aina yake! Stori hii unaweza kuwauzia Hollywood wakatoa bonge la movie!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeap ndo ivyo ..na ukifanya kosa ndani ya ubalozi uta hukumiwa kwa sheria za nchi ya uo ubalozi
hapo uliposema wadada wa kitutsi walivokimbilia ubalozi wetu nimekumbuka nilihadithiwa ubalozi pale ulipo tayari inatambulika kama vile ni sehemu ya ile nchi iko pale, hata inapotokea tatizo ukikimbilia pale basi umeingia nchi nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaendelea.....

Niwakumbushe tu kuwa tayari nimeshazitaja dalili mbili za kuingia kwenye machafuko rasmi sasa twende na dalili ya mwisho ambayo KUOGOPANA.

KUOGOPANA, hii maanake nini? Iko hivi ukiona yule jirani au majirani mnaanza kuogopana yani kila mtu yupo kivyake ujue sasa hali imefika mwisho kilichobaki ni kila mtu kumuwahi mwenzake ili abaki salama yeye hakuna namna.sasa hapo naomba nizungumzie jambo kabla sijaendelea.vita vya ukabila vikawa vimekufa rasmi ikaibuka vita nyingine mbaya ya njaa hapo tena ikawa haangaliwi mtusi au mhutu .ukiwa na chochote hata gunia la sembe la Kilo kumi watu wakajua utake usitake utatoa tu mgawane hapo ndo iliibuka dhana ya kuogapana yani ukija kwangu utajua na nini? Ukitoka unaenda kuwaambia wengine usiku mnanivamia mnachukua chakula ukileta ubishi mapanga ni halali yako.

Watu wakawa hawaaminiani tena siku zikawa inasonga kila mtu kivyake hakuna ujamaa wala undugu kila mtu la kwake ,maduka yakavunvwa wakapora vitu mji mzima chakula kikageuka kuwa almasi, watu wakaanza kuchunguzana kwa siri ukiwa na chakula upo hatarini kupotea au kuuawa kabisa tena na majirani hao njaaaa.....ikachukua nafasi si kwa wenyeji au wageni vita mipakani inaendelea unachinja kuku unamla siku 4 ,ana chacha wala husikii harufu ya kuchacha mambo yanazidi kuwa mabaya zaidi mpaka ikawa imefikia mwezi wa pili mwishoni 1994 sasa kila kitu kikawa wazi kuwa rwanda imebakia sekundi izame. propaganda zilipungua redioni wale wasemaji wasemaji wakawa hawasikiki tena mambo yanakwenda mrama(wameshakimbia) kigali inabaki tupu wale magwii wa siasa za propaganda wakapotea ghafla redio siku nzima inapiga muziki wa chama.

Watumishi wote tukaamriwa tureport ubarozini hakuna kutoka nilichukua begi langu hadi ubalozini nikawa sikumbuki tena mapenzi yangu na yule binti maanake nini tupo hatua mbaya na ya mwisho ya uharibifu hapo hakuna unachokifiria zaidi ya nafsi yako pekee unawaza unatoka aje salama hapo.

Kufika ubalozini nikakuta watu kibao (watanzania) waloikuwa rwanda aise watu wamejazana halafu eneo dogo ukiangalia wengine wamekuja na wake zao wakitisu kabisa na watoto wao Watusi pure aise
Nikajisemea leo balaa tusipouwa basi ,balozi akawa kama kapigwa na ganzi akiwaangalia wale watu ikawa ni kujieleza kila moja na watu wake hiyo ndo ikawa kazi yetu tunawahojimtu na mkewe. Daahh

Hesabu ikaonyesha kuwa watanzania tupo kiasi ila watoto na akina mama ambao ndo wengi halafu haiba yao ya kitusi pure ikaja tunafanya aje? Tuwafukuze au tufanyeje tukampa taarifa rasmi balozi yeye akawa yupo ofisini anaongea na watu kwa sauti ya chinichini sanaa tukawa hatuelewi tukawa tumekaa tu yeye yupo ofisini. Sasa angalia cha ajabu.

Kulikuwa kuna walinzi wawili pale getini wa kampuni ya pale pale kigali ghafla bila kutarajia jamaa wakayeyuka ghafla haijulikani walienda wapi? hiyo wasiwasi wangu walihofia ile hali sasa tukabaki hatuna ulinzi geti jeupeeeeee....yani unajiingilia tu.

Kufika midaa kama saa kumi na mbili ikaja landrover(defenda)nyeupe ikiwa na tinted full ikapaki getini ilionekana kama imetokea safari, balozi akatoka akawapokea hao jamaa, mapande ya majitu yaliyoshiba yamejazia vizuri kabisa walikuwa 7 wakashuka na maboksi flani hawakutaka mtu yeyote awasaidie kushusha wakawa wameingia ndani sasa kukawa kuna Mazungumzo yanaendelea hatukuja nini kinaendelea. Usiku ukafika tukalala kuamka asubuhi hatukiwaona tena hao jamaa ikawa sasa kila mtu na hisia zake, ila kuna mfanyakazi akawa anasema amesikia ndani wanaongea kiswahili. Sasa ntaelezea baadae ni akina nani hao na tulikutana tena boda ya burundi na rwanda wakiwa full ..........


Itaendelea..... Jioni.



Sent using Jamii Forums mobile app
Bila shaka hao watakuwa commandos.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini ulimtelekeza mpenzi wako jamani, inaniskitishaa... ungejitahidi kuangalia namna ya kumuokoa.
Maskini sijui kama alipona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi nimejiuliza hilo. Kama wengine waliweza kuja na wenza na watoto wao pale ubalozini wakiamini kwamba kwa kuwa pale watasalimika iweje yeye mfanyakazi wa pale pale ubalozini asimsaidie huyo mpenzi wake japo kwa muda tu? Au mapenzi baina yao yalishaanza kupungua?
 
Bossless,

We Muongo, ulienda mwezi WA sita hahahaha.

Vita imeanza mwezi WA nne imeisha mwezi WA Saba but wewe ulipata KAZI mwezi WA sita wakati serikali ya Rwanda imevurumishwa na Rpf na kukimbilia Gisenyi Kwa kina Haruna Niyonzima huku mapigano makali yakiendelea.

Anyways wakati unapata hiyo KAZI Rais wa Rwanda alikuwa anaitwa Nani?

Jibu huna Mpira uishie hapa.

" falsus in uno falsus in omnibus" false in one thing false in every thing.

@moderators futeni uzushi huu unachafua hadhi ya jf
soma vzr hiyo stori
 
Inaendelea.....

Niwakumbushe tu kuwa tayari nimeshazitaja dalili mbili za kuingia kwenye machafuko rasmi sasa twende na dalili ya mwisho ambayo KUOGOPANA.

KUOGOPANA, hii maanake nini? Iko hivi ukiona yule jirani au majirani mnaanza kuogopana yani kila mtu yupo kivyake ujue sasa hali imefika mwisho kilichobaki ni kila mtu kumuwahi mwenzake ili abaki salama yeye hakuna namna.sasa hapo naomba nizungumzie jambo kabla sijaendelea.vita vya ukabila vikawa vimekufa rasmi ikaibuka vita nyingine mbaya ya njaa hapo tena ikawa haangaliwi mtusi au mhutu .ukiwa na chochote hata gunia la sembe la Kilo kumi watu wakajua utake usitake utatoa tu mgawane hapo ndo iliibuka dhana ya kuogapana yani ukija kwangu utajua na nini? Ukitoka unaenda kuwaambia wengine usiku mnanivamia mnachukua chakula ukileta ubishi mapanga ni halali yako.

Watu wakawa hawaaminiani tena siku zikawa inasonga kila mtu kivyake hakuna ujamaa wala undugu kila mtu la kwake ,maduka yakavunvwa wakapora vitu mji mzima chakula kikageuka kuwa almasi, watu wakaanza kuchunguzana kwa siri ukiwa na chakula upo hatarini kupotea au kuuawa kabisa tena na majirani hao njaaaa.....ikachukua nafasi si kwa wenyeji au wageni vita mipakani inaendelea unachinja kuku unamla siku 4 ,ana chacha wala husikii harufu ya kuchacha mambo yanazidi kuwa mabaya zaidi mpaka ikawa imefikia mwezi wa pili mwishoni 1994 sasa kila kitu kikawa wazi kuwa rwanda imebakia sekundi izame. propaganda zilipungua redioni wale wasemaji wasemaji wakawa hawasikiki tena mambo yanakwenda mrama(wameshakimbia) kigali inabaki tupu wale magwii wa siasa za propaganda wakapotea ghafla redio siku nzima inapiga muziki wa chama.

Watumishi wote tukaamriwa tureport ubarozini hakuna kutoka nilichukua begi langu hadi ubalozini nikawa sikumbuki tena mapenzi yangu na yule binti maanake nini tupo hatua mbaya na ya mwisho ya uharibifu hapo hakuna unachokifiria zaidi ya nafsi yako pekee unawaza unatoka aje salama hapo.

Kufika ubalozini nikakuta watu kibao (watanzania) waloikuwa rwanda aise watu wamejazana halafu eneo dogo ukiangalia wengine wamekuja na wake zao wakitisu kabisa na watoto wao Watusi pure aise
Nikajisemea leo balaa tusipouwa basi ,balozi akawa kama kapigwa na ganzi akiwaangalia wale watu ikawa ni kujieleza kila moja na watu wake hiyo ndo ikawa kazi yetu tunawahojimtu na mkewe. Daahh

Hesabu ikaonyesha kuwa watanzania tupo kiasi ila watoto na akina mama ambao ndo wengi halafu haiba yao ya kitusi pure ikaja tunafanya aje? Tuwafukuze au tufanyeje tukampa taarifa rasmi balozi yeye akawa yupo ofisini anaongea na watu kwa sauti ya chinichini sanaa tukawa hatuelewi tukawa tumekaa tu yeye yupo ofisini. Sasa angalia cha ajabu.

Kulikuwa kuna walinzi wawili pale getini wa kampuni ya pale pale kigali ghafla bila kutarajia jamaa wakayeyuka ghafla haijulikani walienda wapi? hiyo wasiwasi wangu walihofia ile hali sasa tukabaki hatuna ulinzi geti jeupeeeeee....yani unajiingilia tu.

Kufika midaa kama saa kumi na mbili ikaja landrover(defenda)nyeupe ikiwa na tinted full ikapaki getini ilionekana kama imetokea safari, balozi akatoka akawapokea hao jamaa, mapande ya majitu yaliyoshiba yamejazia vizuri kabisa walikuwa 7 wakashuka na maboksi flani hawakutaka mtu yeyote awasaidie kushusha wakawa wameingia ndani sasa kukawa kuna Mazungumzo yanaendelea hatukuja nini kinaendelea. Usiku ukafika tukalala kuamka asubuhi hatukiwaona tena hao jamaa ikawa sasa kila mtu na hisia zake, ila kuna mfanyakazi akawa anasema amesikia ndani wanaongea kiswahili. Sasa ntaelezea baadae ni akina nani hao na tulikutana tena boda ya burundi na rwanda wakiwa full ..........


Itaendelea..... Jioni.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu!
Hiyo Gari ambayo walikuja nayo hao jamaa 7 Ilikua na Plate number za Nchi gani?
 
Hao walikuja na watoto na wake zao mimi alikuwa demu tu. Ila subiri tulifika mbele utaona kilichofanyika ........ogopa sana stage ya mwisho kila mtu anajua anakufa ila anaomba mwenzie atangulie.
Hata mimi nimejiuliza hilo. Kama wengine waliweza kuja na wenza na watoto wao pale ubalozini wakiamini kwamba kwa kuwa pale watasalimika iweje yeye mfanyakazi wa pale pale ubalozini asimsaidie huyo mpenzi wake japo kwa muda tu? Au mapenzi baina yao yalishaanza kupungua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom