Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, vita yao sijui msuluhishi gani angeiweza!!!???Ni sawa na hapa Tz tungekuwa na Wahaya(Special tribe) na Wachaga tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuanzia leo nikikutana na mnyarwanda nakula mbio, haijalishi ni mhutu or mtusi dadekiInauma sana, hapa shetani alifanya kazi yake haswa, hivi jinamizi gani liliwakumba hawa binadamu? Inasisimua mwili kabisa...
Hidden information ni kwamba kwa sasa wahutu wanaendesha harakati zakurudisha utawala mikononi mwao na wamejichimbia hko misitu ya DRC wakipanga jinsi ya kumuondoa Kagame. Kingne wadadisi wa mambo husema wahutu ndani ya Rwanda hawamkubali PK nae analijua hilo na hutumia mkono wa chuma kuwadhibiti...ndo maana utasikia watu kupotea na kuuliwa. Ila kuna mauaji mengi sana ya siri hko.
Mkuu, sidhani uliamua kutaka facts! Kibeho ni eneo ambalo hija inafanyika na Wakatoliki wengi wanaenda! Waliotokewa wapo hai! Kama unataka kujua kweli panga uende hija. Chini ni sehemu ya video kibao youtube ya ushuhuda huu ...[emoji848]
Hii habari ya Bikira Maria "Kutokea" kwa lengo la kutoa tahadhari niliikuta sehemu moja nchini Rwanda inaitwa Kibeho. Eneo hilo lilitangazwa na kanisa katoliki kama "The only holy land in Africa" Nilikaa pale siku mbili kwa nia ya kujifunza!.... Ajabu ni kuwa kati ya wenyeji niliobahatika kuwahoji kuhusu kuonekana kwa Bikira Maria sikuwahi kukutana na mnyarwanda aliyekuwa tayari kutoa ushuhuda wa hili jambo kuu la kiimani.
Mkuu MTAZAMO unaweza kutushirikisha angalau kwa kifupi kuhusu ukweli wa jambo hili?... Naamini mtoa hoja hatokuwa na pingamizi kwa uzi wake kuingiliwa.[emoji848][emoji848]
No only morphology tu..Sasa mkuu mbunye zao ntazionaje[emoji1787]Mkuu, hiyo tofauti ni hadi kwenye MBUNYE, sivyo?
Yes bro! Ndio hadi sasa kuna hija huko Kibeho Rwanda! This is real!
Usiishi kwa mazoea.Pua mkuu!
Mhutu ana lipua likubwaaa, na chai jaba, while mtusi pua mchongo na vilips vidogo refer wasomali hivyo kama ndugu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukianzisha uzi utagNgoja mkuu bossless, akamilishe uzi wake, Kwanza ntakuja kutoa jinsi tulivyochomoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni watu Kama wewe, wala hawana shida na mtu shida yao kubwa walishajua Sasa wanaelekea utumwani ndo maana wakaamua liwalo na liwe .kwa mfano mfumo wetu wa utawala unaanzania kwa mtendaji wa Kijiji Hadi kwa mh.rais Sasa jiulize hapo katika Kuna watu wangapi wanaishi kwa hisani ya hao watu (system) uiangushe system hivi hivi tu wake wengine wawafukuze SAHAU. Wahutu Sasa hivi Rwanda wanaishi utumwani.mbele ya mtutu wa bunduki24.
HizMAJESTY, Kuna moja alikuwa na asili ya Zaire nilikutana nae magomeni miaka ya 98' Ila Cha ajabu hakutaka nizungumzie lolote kuhusu Mimi kiliwatokea pale ubalozini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni watu Kama wewe, wala hawana shida na mtu shida yao kubwa walishajua Sasa wanaelekea utumwani ndo maana wakaamua liwalo na liwe .kwa mfano mfumo wetu wa utawala unaanzania kwa mtendaji wa Kijiji Hadi kwa mh.rais Sasa jiulize hapo katika Kuna watu wangapi wanaishi kwa hisani ya hao watu (system) uiangushe system hivi hivi tu wake wengine wawafukuze SAHAU. Wahutu Sasa hivi Rwanda wanaishi utumwani.mbele ya mtutu wa bunduki24.
Sent using Jamii Forums mobile app