Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Vita Rwanda bado inaweza kutokea tena. Hivi umoja wa mataifa sioni kazi yake. Hii ndio ilikuwa kazi kujaribu kwa kila hali kusawazisha mahala penye hatari ya vita kama ilivyo Rwanda. Rwanda kuna vita vitakuja kutokea. Wahutu wako kimya lakini wana kinyongo na mtusi balaa. Umoja wa mataifa ungefanya jambo uwakutanishe hizi nchi mbili Rwanda na Burundi. Wangefanya makubariano either Rwanda ikaliwe na Watusi wote na makabila madogo madogo rafiki na Watusi na Burundi ikaliwe na Wahutu tu na makabila madogo madogo rafiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barrier hazikuwa nyingi kihivyo zilikuwa mbili tu na maaskari walikuwa wanahangaika na malori kuliko hivyo vigari vidogo vya abiria.
Halafu napata mashaka kama kweli ulikuwa nimwanabarozi,kujua vizuizi vilivyopo kasumbalesa mpaka Lubumbashi kote huko ulifuata nini tena na gari wakati ubalozi upo kinshasa maelfu ya km kutoka mpaka wa Zaire(Kongo) na Zambia.
Mi nadhani useme ukweli tu kwamba wewe ni wa malori mwenzangu sio dhambi.
Na sisi watu wa malori tuna exposure kubwa zaidi kuliko wapanda ndege hivyo usione haya kusema wewe ni dereva.
Pia wakati wa machafuko nyie mnaojiita mabalozi mlijifungia ktk balozi zenu sisi baadhi yetu ndio tuliotekwa nyara tukazuiwa,bidhaa zikaibwa na baadhi ya nyakati tulishuhudia live watu wakiuawa. Na ukiruhusiwa kurudi kwenu unakuta maiti zimezagaa barabarani,mwanzoni tulikuwa tunazisogeza kwa kuzipa heshima ya kibinadamu lakini kwa jinsi zilivyokuwa nyingi tukawa tunazikanyaga tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka Sasa na viewers 123k .comment kwenye huu uzi ukiwemo wewe mwenyewe 1k .maanake watu wameappriciate na hiki nachoondika humu na nilitarajia hilo ,Sasa Kama wewe bingwa njoo na uzi wako wowote ukifikisha nusu ya viewers wangu mpaka Sasa nasimamisha hii stori nafanya mengine umesikia Tingo wasalimie mwetu(kasubalesa-lumbumbashi)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii chuki waliyonayo baina ya Hutu na Tutsi naifananisha na ishu ya mashariki ya Kati Israel na Palestine. Story zao km zinafanana vile..
 
Nimesema CCM tuwaondoeni mapema hata kama kufa tutakufa wachache hiki chama ni hatari hasa viongozi wake wako tayari kuua mtu anaewapinga. Itakiwaje kwenye chaguzi hizi ni HATARI polisi wanafuata maelekezo tu.
Kuna kundi greenguard lilionekana moro wanafanya mazoezi ni hatari hawafai hawa.
na CCM ndo watakao iangamiza nchi kwa kuleta machafuko, angalia kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa walichokifanya, kama siyo uungwana wa kijinga wa watanzania wa kukubali kudhulumiwa haki zao hiyo tu ilikuwa ni tiketi ya kuipeleka nchi kwenye machafuko.

Msimuliaji wa kisa hiki kuna jambo moja la maana sana kalielezea kuwa ukiona vyama vya siasa vimeanzisha vikundi vyao vya ulinzi ujue kuwa imani kwa jeshi la polisi imekwisha na kinachofuata hapo ni nchi kuingia kwenye machafuko.

Nterahamwe kikosi kikuu cha mauaji kilikuwa ni kikundi cha ulinzi kilichoanzishwa na chama tawala na ndicho kilichoendesha mauaji ya hatari sana nchini Rwanda ambayo kwa kiasi fulani na mimi niliyashuhudia kwa kuwa nilikuwa karibu na maeneo hayo ndo maana sina swali lolote kwa msimuliaji wa kisa kwa kuwa na mimi niliguswa.

Ukiachilia mauaji ya kuuawa kamanda Mawazo, kwa macho yangu nimeshuhudia wagombea 2 wa upinzani wanapigwa mapanga mbele yangu na vijana wa kikundi cha ulinzi cha CCM katika uchaguzi wa serekali za mitaa wa mwaka 2014 kwa kuwa tu CCM walitaka wapite bila kupingwa.

Hata hivi vikundi vya ulinzi ndani ya vyama waanzilishi walikuwa ni CCM.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika kimahaba hadi nimetoka udenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
PK alikuwa kamanda kwenye jeshi la Uganda, akihusika moja kwa moja Vita ya kumuweka madarakani M7.

'89-'93 Uganda walipokea silaha Mara 10 zaidi ya zilizoingia toka Uhuru wao kutoka Marekani.

Sehemu ya kutosha ya silaha hizo ziliwekwa Mbarara..

Mbarara ilikuwa arsenal & launching platform ya RPF.

Ni ngumu Sana rebels kushinda jeshi la nchi, RPF lilikuwa jeshi kamili lisilokuwa na nchi, mpaka US walipomruhusu M7 awape Rwanda
 
Balozi kaniacha hoi kwa kweli, kwanza angeweza kujiokoa na kusepa mapema tangu wakiwa Kigali, ila akaamua kuondoka na msululu wa watanzania wenzake, lori 24 si mchezo watanzania walikuwa wengi sana.

Kuwapigania wale watoto aliudhihirisha umama haswaa! Acha hawa wa kisasa wanaokimbia familia na kuacha watoto na baba zao! Upendo wa mama kwa mtoto una thamani kubwa mno.

Nimewaza mengi mno kwa yule muhutu aliyeamriwa kumchinja ndugu yake, badala yake akamkabidhi panga nduguye na kumwekea shingo ili afe yeye! This was a kind of great love! Atakuwa aliingia mbinguni moja kwa moja.

Nawaza zaidi wale watu walobakia ubalozini kwa kukosa papers, nini kiliwapata!

Vita!!....acha kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu hapa kwetu unakuta kamtu kwa uroho wa madaraka eti tutanzisha machafuko. Pumbavu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila nikisoma mara namchukia mhutu mda mwingine namchukia mtuts ila ngoja iishe lakini naona wa tutsi problema.
Usimchukie yeyote Kati ya hao Bali waombee tu kwa mungu siku moja waelewane , nilikuwa Benako_ngara kwenye mishe zangu siku moja nilikuwa na muuliza dada moja kwa kitusi tukiwa kwenye mgahawa unaonaje itungwe Sheria kila Mtusi lazima amuoe Mhutu na Mhutu lazima amuoe mtu jibu alilonijibu nusu ngumu zirushwe aise hapo ni Tanzania he ingekuwa Rwanda so anganipeleka lockup

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa mtazamo hasi hawaishi, wako huru pia waachwe
Mpaka Sasa na viewers 123k .comment kwenye huu uzi ukiwemo wewe mwenyewe 1k .maanake watu wameappriciate na hiki nachoondika humu na nilitarajia hilo ,Sasa Kama wewe bingwa njoo na uzi wako wowote ukifikisha nusu ya viewers wangu mpaka Sasa nasimamisha hii stori nafanya mengine umesikia Tingo wasalimie mwetu(kasubalesa-lumbumbashi)

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka Sasa na viewers 123k .comment kwenye huu uzi ukiwemo wewe mwenyewe 1k .maanake watu wameappriciate na hiki nachoondika humu na nilitarajia hilo ,Sasa Kama wewe bingwa njoo na uzi wako wowote ukifikisha nusu ya viewers wangu mpaka Sasa nasimamisha hii stori nafanya mengine umesikia Tingo wasalimie mwetu(kasubalesa-lumbumbashi)

Sent using Jamii Forums mobile app

wewe nawe babu zima unakua na mishebeduo kama demu.
Ukiambiwa fact kubali, wengi tumeshakushtukia tangu mwanzo.

Ulikua unabwabwaja ukidhani hakuna wanaojua story ya Rwanda kuliko wewe imekula kwako 😅😅😅😅😅
 
Subiri amalize stori yake ndio uanze kumbishia, kunasehemu amesema amewahi kufungwa Zambia miaka mitatu jela kwa biashara ya vyuma chakavu,. Hivyo anaonekana anamengi ya kusimulia mtu wa umri wa miaka 55 jua amepitia mengi kwenye maisha..

Kama na wewe ulikuepo huko anzisha uzi wako kwa uliyoyaona, sio unakuja kubisha hapa kwa paniki bila maelezo ya kueleweka..

Hata kama alikuwa Dereva lakini mwisho wa siku ni kusimulia ili Watanzania tujifunze, ili tuweze kuepukana na vikundi vya kikabila vinavyoletwa na Gwajima kupitia Wasukuma...vikundi vya Green gad vya CCM.

Maana hivyo vikundi siku vikikabidhiwa silaha havijuagi diplomasia zaidi ya kuua tu..!
Ahsante mkuu kwa kumjibu
 
Kuna watu kama wewe umejaza ujinga kichwani mwako hadithia yako. Nadhani unayo ya kukata kiuno kwenye sita kwa sita
wewe nawe babu zima unakua na mishebeduo kama demu.
Ukiambiwa fact kubali, wengi tumeshakushtukia tangu mwanzo.

Ulikua unabwabwaja ukidhani hakuna wanaojua story ya Rwanda kuliko wewe imekula kwako [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umemshtukia huku unapoteza muda kuisoma?
Akili yako huwa unaijua mwenyewe
wewe nawe babu zima unakua na mishebeduo kama demu.
Ukiambiwa fact kubali, wengi tumeshakushtukia tangu mwanzo.

Ulikua unabwabwaja ukidhani hakuna wanaojua story ya Rwanda kuliko wewe imekula kwako [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kagame hakujipanga "msituni" bali alikua na back up ya serikali za kitutsi za Uganda na Burundi ambao pia baada ya kushika hatamu walimsaidia kuwateketeza wahutu waliokimbilia huko DRC.

Wahutu changamoto ni kwamba hawapo organized wala kimkakati kila mtu anapambana kivyake sasa ambacho wanaweza ni kutumia back up ya serikali za kihutu mfano Nkuruzinza na walitakiwa wahakikishe DRC anashinda mtu ambaye hayuko puppet wa Kagame!! Wamechelewa sana.

Maana kagame wakimvamia tu Museveni na Magu watamsaidia so watafeli!! Hapo bado DRC itawafukuza..... Ila kagame na watutsi walikua makini kabla ya uvamizi wanahakikisha serikali za jirani zipo mfukoni.

Hata alopovamia wahutu DRC alihakikisha ameshaongea na kaunda wa Zambia na Dos santos wa Angola kuwa wasiingilie vita. Sasa wahutu hawana ushawishi huo kwenye serikali zetu hivyo vita itakua ngumu sana

Fursa yao pekee ni kuhakikisha Nkuruzinza hatolewi kwa gharama yoyote lasihivyo ndio utakua mwisho wa ndoto zao kurudi Rwanda.


Burundi wana uchaguzi mwezi May mwaka huu Peter kashakubali kuachia nafasi ya urais ila hadhi atakayobaki nayo ni sawa na makamu wa Rais wa Bongo (nafasi yake ndani ya chama Tawala CNDD-FDD, tamka Sindede Efudede itachukuliwa na swahiba wake wa siku nyingi Evariste Ndayishimiye).

Hali ya kisiasa kwa sasa ni yenye tension kubwa sana hasa ukilinganisha na kurejea yale mambo yaliyotokea mwaka 2015 mara baada ya uchaguzi na lile kufeli kwa jaribio la kumpindua Peter, raia wa Kirundi wamejihami na wako tayari kwa lolote kwa sasa.
 
Usimchukie yeyote Kati ya hao Bali waombee tu kwa mungu siku moja waelewane , nilikuwa Benako_ngara kwenye mishe zangu siku moja nilikuwa na muuliza dada moja kwa kitusi tukiwa kwenye mgahawa unaonaje itungwe Sheria kila Mtusi lazima amuoe Mhutu na Mhutu lazima amuoe mtu jibu alilonijibu nusu ngumu zirushwe aise hapo ni Tanzania he ingekuwa Rwanda so anganipeleka lockup

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nineona hao ndo wana matatizo sema kama ulivyosema ni kuwaombea mungu wasiuane tena.
 
Back
Top Bottom