Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Huyo mpenzi alikuwa Hutu mbona ulisema mlitoka mziki mkasimamishwa na wahutu ukamwambia huyo msichana asiongee kitu chochote maana wakati huo Hutu ndiyo walikuwa na serikali fafanua kidogo
RPF walivoingia wakaanza kuua nao wahutu lakini wakawa wamechelewa dunia ikawa imeshajua na kuanza kufuatilia kwa karibu , ikumbukwe hata hapa mkuu wa majeshi Kama sijakosea General Mboma alitishia kuingiza majeshi Rwanda kuzima hii kitu akawa anasubiri final say atoe oda tu .kwa hiyo watusi wakaamua kudeal na wahutu kupitia mahakama za kihuni walizoziita AGACHACHA na hizi ndo zilinifanya nisimuone Tena mpenzi wangu yule niliporudi Rwanda.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I concur.. Ila one thing is certain mtoa mada amewahi kuishi Rwanda maana kwa jins anavyotofautisha haiba, tabia na tofauti kati ya wahutu na watutsi ni pasi na shaka kwamba amewah kuishi Rwanda. Anatoa vivid naration ya yaliyojiri na yeye akiwa part ya yaliyotokea since 1989 mpaka 1994 ambayo siwezi pinga most of the details zinareflect kiukweli yaliyotokea ambayo ni good thing kushare na kutoa mwangaza kwa waliokuwa hawafaham yaliyojiri pia kutoa precaution kuhusu madhara ya ukabila na utengano wa kikanda hasa Tanzania inapoelekea katika uchaguzi mkuu 2020... Kiukweli ukabila ni mbaya sana na athari kubwa sana panapoibuka Civil/tribal wars. History ni mwalimu mzur kuhusu madhara yake tunapoangazia vita mbalimbali za kikabila zilizowah tokea duniani

Lakin pia niseme kuna discrepancies nyingi katika story yake, siondoi credibility ya maudhui ya story hii ila niseme tu;

1. Hakuna province mbili katika nchi ya Rwanda zinazotenganishwa na zaid ya km 150 kama anavyosimulia mtoa mada kwamba wakati wana evacuate toka kigali baada ya vita kuanza kuna kipind walisafiri km 150 toka province moja mpaka nyingine, hii si kweli. Rwanda ni nchi ndogo sana hakua mkoa unaotenganishwa na mkoa mwingine kwa zaidi ya km 150

2. Anasema walitoka province ya butare then wakaenda province ya Gitarama siku iliyofuata then wakafika border ya burundi the next day. Si kweli maana ukitoka Kigali unaenda province ya Gitarama then ndo unaenda Butare(Huye) na si vice versa ndo unafika Border ya Rwanda na burundi. Kwa route hii kutoka kigali mpaka border ya burundi ni only 154km.

3. Kama waliondoka Kigali kwenda border ya Burundi kuna short route ya kupitia Kinazi then Nyamata mpaka Border ya Burundi. Njia hii ni rougly 36km kutoka Kigali unakua umefika border ya Burundi. Ndo njia ya haraka zaidi, Why hawakupita njia hii sijui.

4. Furthermore kutoka kigali kuja Tanzania directly ilikua rahisi zaidi kupitia border ya Rusumo. Ambapo route hii ya kutoka Kigali mpaka rusumo ni umbali wa 156km tu.
Why walienda bujumbura kwanza ndo waje Tanzania mtoa mada anaweza fafanua zaidi.

5. Pia kwa nini aliacha a very lucrative, noble diplomatic job na kuturn into bussiness bila kufukuzwa kazi na kuturn into bussiness za chuma chakavu Zambia itabaki kuwa mystery kwangu. Uache kazi inayolipa vizur na yenye future na heshima ubalozini uende uza vyuma chakavu zambia inatatanisha. Maybe anaweza fafanua zaidi.

6. Evacuation ya Kutoka Kigali kwenda mipaka yote iwe Uganda, Tz, Burundi au ata Goma DRC kwa gari haipaswi kuchukua more than 1 day maana kigali ni katikati kabisa ya nchi. Na umbali wa kutoka kigali kwenda mipaka yote ya Ug,Tz, DRC, Burundi haizidi km 170. Ambayo kama ni kwa hapa Tanzania ni umbali wa kutoka Dar city centre mpaka Morogoro na morogoro hufiki, Rwanda ni nchi ndogo sana.

Yapo mengi ila kwa sasa ni hayo tu.
Wewe hoja zako hazina msingi kuhusu muda wa safari walikuwa wanakwenda kwa kukata kata na kwamachale kunasehemu kasema walisimama nyingi tu hoja hapa ya msingi ni yahuyo balozi tu ni Nani ila tusipinge hakukuwa na. Ubalozi maana tz iliusika kwenye kupatanisha inawezekana alikuwa ni balozi wa kimkakati ili kujua ki nacho endelea Rwanda maana kasema huyo balozi alikuwa ana ongea lugha ya kinyarwanda vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii website ina walakini, haikumtaja huyo mama. Kuna utofauti kiasi wa jinsi mleta uzi alivyomuelezea huyo balozi, na shaka yangu ni kuwa pengine wakati wa mauaji, huyo mama alikuwa anakaimu hiyo nafasi, japo yeye kaeleza kuwa tangu 1989 alikuwa ni balozi.
Kuna balozi ambaye hata kwenye website hakuwekwa jina lake, ni mama na alikuwa kipindi cha 1988/89 mpaka 1993 kama sijakosea.
Hata uki google mazingumzo ya amani ya Rwanda, japo yameandikwa Kinyarwanda/Kifaransa, ila utaona kila ikitajwa Tz na jina la huyo mama linakuwapo. Na alitokea bara sio visiwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Abandi bari bayirimo ni Ministiri w’intebe Uwilingiyimana Agatha na Twagiramungu Faustin wagombaga kuba Minisitiri w’intebe wa guverinoma y’Inzibacyuho yaguye.

Hari kandi n’uwari ukuriye MINUAR Jacques Roger BOOH-BOOH, na Ambassaderi Dorah Mbezi wa Tanzania, wari uhagarariye umuhuza mu mishyikirano y’amahoro ya Arusha.

Umuhuza muri aya masezerano yari Perezida Ally Hassan MWINYI. Undi wari urimo kandi ni Joe FELLI wari uhagarariye Umunyamabanga mukuru w’Umuryango w’Ubumwe bw’Ibihugu bya Afrika (OAU)



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe mbona hujamtaja! Kuna hatari yoyote ya ki-intelinensia?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Abandi bari bayirimo ni Ministiri w’intebe Uwilingiyimana Agatha na Twagiramungu Faustin wagombaga kuba Minisitiri w’intebe wa guverinoma y’Inzibacyuho yaguye.

Hari kandi n’uwari ukuriye MINUAR Jacques Roger BOOH-BOOH, na Ambassaderi Dorah Mbezi wa Tanzania, wari uhagarariye umuhuza mu mishyikirano y’amahoro ya Arusha.

Umuhuza muri aya masezerano yari Perezida Ally Hassan MWINYI. Undi wari urimo kandi ni Joe FELLI wari uhagarariye Umunyamabanga mukuru w’Umuryango w’Ubumwe bw’Ibihugu bya Afrika (OAU)



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Abandi bari bayirimo ni Ministiri w’intebe Uwilingiyimana Agatha na Twagiramungu Faustin wagombaga kuba Minisitiri w’intebe wa guverinoma y’Inzibacyuho yaguye.

Hari kandi n’uwari ukuriye MINUAR Jacques Roger BOOH-BOOH, na Ambassaderi Dorah Mbezi wa Tanzania, wari uhagarariye umuhuza mu mishyikirano y’amahoro ya Arusha.

Umuhuza muri aya masezerano yari Perezida Ally Hassan MWINYI. Undi wari urimo kandi ni Joe FELLI wari uhagarariye Umunyamabanga mukuru w’Umuryango w’Ubumwe bw’Ibihugu bya Afrika (OAU)



Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikia watu wanatumia vichwa kama garden ya kufugia nywele huu ndio mfano mzuri
 
Katajwa Balozi Dora Mbezi wa Tanzania, swali ndiye yeye aliyetajwa Kama mama balozi?
Na hilo jina la Dora Mbezi litakuwa la bara si majina maarufu visiwani.


Sent using Jamii Forums mobile app
1994: Joseph Kavaruganda yari azi ko ingabo za Loni zitazatabara abanyarwanda

Umunyamategeko, Joseph Kavaruganda wari Perezida w’Urukiko rurinda ubusugire bw’itegeko nshinga, na Agathe Uwilingiyimana wari Minisitiri w’Intebe, bombi bishwe ku itariki ya 7 Mata 1994.

Hari hashize iminsi 100 babwiye umuryango w’abibumbye ko nibadatabara ngo bambure abicanyi intwaro, mu Rwanda hazacura imiborogo. By’umwihariko Kavaruganda yabonanye n’uwari ukuriye MINUAR, Jacques Roger Booh-Booh, mu nzu yari atuyemo hafi ya Hotel Umubano-Merdien.

Mu kiganiro bagiranye na Jacques Roger Booh-Booh cyari icyo kwereka LONI ko gutinda gushyirwaho kw’inzego z’ubutegetsi bw’inzibacyuho bizagira ingaruka mbi ukurikije uko yabonaga ibintu mu gihugu icyo gihe. Kavaruganda, kimwe n’abandi bayobozi bakuru bari mu rwego rwe, yari yarahawe abasirikare na MINUAR bamurinda. Ariko, ibyo ntabwo byamubujije kumva ko umutekano we ku giti cye ntacyo wamumarira.

Mu kiganiro cyihariye Umunyamakuru Venuste Nshimiyimana yigeze kugirana n’ Umushakatsi Tom Ndahiro yamubwiye ko Kavaruganda atashiraga ingabo za MINUAR amakenga kubera ko zitabashaga “kubuza urwaje”. Ngo yavugaga ko kurindwa nazo “ari nko kurindwa n’imishashara ihura n’izuba igashonga.” Ibyo yavugaga ntiyibeshye, Kavarugamda yishwe MINUAR yitwa ngo iramurinze.

Kavaruganda yabwiye Jacques Roger Booh-Booh, ko yarusimbutse kenshi, akagenda ashyira mu majwi abambari ba Prezida Habyarimana. Undi amusubiza ko nta bushobozi yari afite bwo kureba niba ibyo avuga ari byo.

Icy’ingenzi muri icyo kiganiro ni uko Kavaruganda yabwiye umuyobozi wa MINUAR ko “iramutse yemeye kurinda umutekano we, ikamushyigikira”, muri Gashyantare 1994, yayobora umuhango wo kurahiza abaministiri n’abadepite batanzwe na Minisitiri w’intebe Agathe Uwilingiyimana, afatanije na Twagiramungu Faustin wari kuyobora guverinoma y’inzibacyuho yaguye.
Muri uko kwezi, Perezida Habyarimana yari kuba yagiye muri Cote d’Ivoire mu muhango wo guhamba uwahoze ayobora icyo gihugu witwa Felix Houphouet Boigny. Impungenge uwo mucamamaza yari afite zari zifite ishingiro kubera ko nta munsi wahitaga i Kigali hadaturitse nibura grenade 15.

Ikindi ni uko ku itariki ya 5 Mutarama, abayoboke b’ishyaka CDR bateye ambasaderi wa Tanzania, witwa Dorah Mbezi bamuziza ko ngo akabya gushyigikira amasezerano y’amahoro ya Arusha.
 
Sijui waandishi wetu huwa wanakwama wapi kutafuta taarifa kama hizi kutoka kwa watu kama hawa wanaotoa simulizi za kile wamekiona kwa macho yao.

Ipo haja ya waandishi kujiongeza kuliko kubase kwenye udaku tu.

Hizo ni classified information, hazifai hata kuwekwa wazi kwa jamiii, maana hazina manufaa bali zitaamsha tu hisia za kutisha ,kuchochea na kuogofya watu.
 
Huu uthibitisho zaidi
Screenshot_2020-03-13-07-21-09-99.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuhusu swali lako namba 5 Diplomats wengi huwa ni watu wa Usalama wa Taifa kama utakuwa mfuatiliaji wa mambo utakuwa unalijua hili

Na nikufichulie siri nyingine moja ya style ya maisha ya Usalama wa Taifa huwa wanasafiri sana nje ya nchi na hawafanyi kazi moja tu huwa wanakuwa attached maeneo mengi tofauti tofauti

Rejea post alizokuwepo mkurugenzi mkuu wa usalama wa taifa wa sasa Diwani Msuya (alipanda vyeo haraka na huko Polisi mara akawa ADC wa IGP mara akaja kuwa RPC, akapanda fasta kuwa DCI, akaenda kuwa RAS Kagera, akaja kuwa mkurugenzi mkuu wa Takukuru mara amekuwa mkurugenzi mkuu wa Usalama wa Taifa)

Sent using Jamii Forums mobile app
In addition to that Bossless alisema katika simulizi yake kua wakati huo Tanzania ilikua imeshafunga mpaka wake na Rwanda kwahiyo haikuwezekana kupita border ya Rusumo
 
Kuna siku nilikuwa natoka Bujumbura naelekea Bukoba, nilipanda gari na wacongo man aisee ziliibuka story za kagame sijui vita vya congo, wale wacongo wanamchukia Kagame mpaka kupitiliza, leo ndio nimepata mwanga kamili kwann wacongoman hawampend Kagema

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kagame na mseveni tuu pia kuna mataifa makubwa yapo pale ww unazani kenya tz wajinga awaingilii unakumbuka L t general mwakiborwa alivyo wapiga m23 unajua waliongea nn kilitokea maneno kibao yaliongewa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1994: Joseph Kavaruganda yari azi ko ingabo za Loni zitazatabara abanyarwanda

Umunyamategeko, Joseph Kavaruganda wari Perezida w’Urukiko rurinda ubusugire bw’itegeko nshinga, na Agathe Uwilingiyimana wari Minisitiri w’Intebe, bombi bishwe ku itariki ya 7 Mata 1994.

Hari hashize iminsi 100 babwiye umuryango w’abibumbye ko nibadatabara ngo bambure abicanyi intwaro, mu Rwanda hazacura imiborogo. By’umwihariko Kavaruganda yabonanye n’uwari ukuriye MINUAR, Jacques Roger Booh-Booh, mu nzu yari atuyemo hafi ya Hotel Umubano-Merdien.

Mu kiganiro bagiranye na Jacques Roger Booh-Booh cyari icyo kwereka LONI ko gutinda gushyirwaho kw’inzego z’ubutegetsi bw’inzibacyuho bizagira ingaruka mbi ukurikije uko yabonaga ibintu mu gihugu icyo gihe. Kavaruganda, kimwe n’abandi bayobozi bakuru bari mu rwego rwe, yari yarahawe abasirikare na MINUAR bamurinda. Ariko, ibyo ntabwo byamubujije kumva ko umutekano we ku giti cye ntacyo wamumarira.

Mu kiganiro cyihariye Umunyamakuru Venuste Nshimiyimana yigeze kugirana n’ Umushakatsi Tom Ndahiro yamubwiye ko Kavaruganda atashiraga ingabo za MINUAR amakenga kubera ko zitabashaga “kubuza urwaje”. Ngo yavugaga ko kurindwa nazo “ari nko kurindwa n’imishashara ihura n’izuba igashonga.” Ibyo yavugaga ntiyibeshye, Kavarugamda yishwe MINUAR yitwa ngo iramurinze.

Kavaruganda yabwiye Jacques Roger Booh-Booh, ko yarusimbutse kenshi, akagenda ashyira mu majwi abambari ba Prezida Habyarimana. Undi amusubiza ko nta bushobozi yari afite bwo kureba niba ibyo avuga ari byo.

Icy’ingenzi muri icyo kiganiro ni uko Kavaruganda yabwiye umuyobozi wa MINUAR ko “iramutse yemeye kurinda umutekano we, ikamushyigikira”, muri Gashyantare 1994, yayobora umuhango wo kurahiza abaministiri n’abadepite batanzwe na Minisitiri w’intebe Agathe Uwilingiyimana, afatanije na Twagiramungu Faustin wari kuyobora guverinoma y’inzibacyuho yaguye.
Muri uko kwezi, Perezida Habyarimana yari kuba yagiye muri Cote d’Ivoire mu muhango wo guhamba uwahoze ayobora icyo gihugu witwa Felix Houphouet Boigny. Impungenge uwo mucamamaza yari afite zari zifite ishingiro kubera ko nta munsi wahitaga i Kigali hadaturitse nibura grenade 15.

Ikindi ni uko ku itariki ya 5 Mutarama, abayoboke b’ishyaka CDR bateye ambasaderi wa Tanzania, witwa Dorah Mbezi bamuziza ko ngo akabya gushyigikira amasezerano y’amahoro ya Arusha.
Ww unandika lugha gani andika kiswahili bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ww unandika lugha gani andika kiswahili bhana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hiyo ni lugha ya kinyarwanda. Wanaoelewa lugha hiyo watatupa tafsiri ya kile kilichoandikwa. Mimi nimeitoa sehemu na kuiweka hapa nia ikiwa ni kuonyesha jina la huyo balozi wetu mwanamama aliyekuwa Rwanda kwa wakati huo wa genocide maana katika habari hiyo jina lake limetajwa kwamba ndiye alikuwa balozi wetu huko Rwanda mwaka huo 1994 kipindi cha genocide.

Kumbuka muda mrefu tumeulizana hapa kwenye huu uzi kuhusu jina la huyo mama hivyo ikabidi tuingie chimbo kusaka jina lake ndipo nikakutana na hiyo habari ambayo pia iliandikwa mwaka huo huo wa 1994. Na katika post zingine hapo juu tumeshapata na picha zake na hata nyaraka za mikutano ya upatanishi iliyofanyika kati ya serikali ya Rwanda, RPF na wapatanishi alizosaini kabla ya mauaji kama unavyoona.
 
Back
Top Bottom