Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Sintosahau nilichokishuhudia kwa macho yangu nchini Rwanda wakati wa vita vya kikabila 1994 hadi naingia kaburini

Story siyo ya uongo ubalozi wa kimkakati wa tz nchini Rwanda alikuwa anawakilisha tume ya usuluisha huo mgogoro sababu ya kuto kupitia tz moja kwa moja inategemea upepo wa vita ,kitendo cha tz kufunga mpaka inaonyesha kulikuwa na majeshi yanapigana upande wa Rwanda unao pakana na tz ,pia inaonyesha umeshindwa kujua uzito wa mauaji ya Rwanda tatizo la usalama wa watz na balozi wetu alikuwa kwa majeshi rasmi ya tusi na hutu tatuzo lilikuwa kwa RAIA wenye siraha hasa hasa Hutu walipewa siraha ovyo ovyo za kila aina hao hawatambui balozi wala mzungu nikama majambazi tu ,ndiyo maana mleta mada alisimulia wahutu waliovamia ubalozi na kutaka kuua tusi walio kimbilia ubalozini kwetu lakini wanajeshi wa Hutu walikuja baadae pamoja na defenda iliyokuwa na mjemba7 hao masoja wa kuhutu waliona Watusi wapo ubalozini ila awakufanya chochote ndiyo ujue tatizo lilikuwa kwa magenge ya kihutu na tusi mitaani na majiani ,hata alipo sema defenda ilishambulia darajani na kuua ujue iliua RAIA wenye siraha maana Hutu soja na tusi soja awakuwa na tatizo na msafala wa tz ndiyo maana mwanzo wa safari walisindikizwa na Hutu soja na mwisho wa safari walisindikizwa na tusi soja

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna maelezo mengi uliyotoa ya kinadharia. Balozi wa Usuluhishi alikuwa anamsuluhisha nani huko Kigali? Mapatano yalikuwa yanafanyikia Tanzania iwapo kulikuwa na msuluhishi he/she alitakiwa kuwepo Tanzania wakati vita vinaanza. Kumbuka kuangushwa kwa Marais wawili wakitokea Tanzania ndio ulikuwa mwanzo wa genocide.

Pia Tanzania haikufunga mpaka isipokuwa iliongeza ulinzi mpakani ili Watutsi na Moderate hutu watakaovuka wasifuatwe kuuliwa. Yoyote aliyevuka daraja alipokelewa na kuhifadhiwa. Nchi ingefunga mipaka wale wanyarwanda wasingepona wangeishia mtoni wote.

Yale magenge yalikuwa yanaongozwa na viongozi sio laymen. Na wala si convoy ya Tanzania pekee ambayo haikushambuliwa hata za mataifa mengine pia. Genocide ilikuwa systematic na sio random. Haikuparamia tu watu na magenge yalikuwa yanaact on orders sio kujiongoza tu kama wendawazimu.

Kuhusu wauaji kujaribu kuvamia Ubalozi na kisha kuacha inatakiwa uelewe kitu kimoja. Si Ubalozi wa Tanzania pekee ambao Watutsi walikimbilia, Watutsi walikwenda mahala popote ambapo walihisi palikuwa salama na sehemu pekee ambazo Wauwaji waliogopa kwenda zilikuwa sehemu zenye wageni (si Watanzania pekee). Na walifanya hivyo kuavoid international provocation ambayo ingepelekea nchi nyingine zinunue ugomvi iwapo raia wao wangedhuliwa.

Swala la msingi ukitaka kuelewa survival ilikuwaje jiulize trucks za Tanzania na madereva walirudije?
 
Watu kama nyinyi ni vigumu kuelewa huyo alikuwa barozi wa kimikakati kutokana na hali ya mambo Rwanda kwenye hiyo miaka na jukumu la tz kuwa mpatanishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu usiishie tu kusema alikuwa ni balozi wa kimkakati na badala yake eleza kama alikuwa balozi wa kimkakati basi asingeweza kuwa na ofisi pale Kigali, ofisi yake isingeweza kuwa na staff wengine akiwemo msimuliaji, asingeweza ku accomodate watu ubalozini kwake kama alivyofanya kwa wale waliokimbilia pale au kuwaondoa watu waliokuwa ubalozini na kuondoka nao kuelekea mpakani kama ilivyosimuliwa?

Kwenye nyaraka hapo juu imeonyesha kwamba alikuwa ni balozi na wewe unadai alikuwa balozi wa mkakati, na kuna mchangiaji mmoja amedai huyo mama aliteuliwa na Mzee Mwinyi kwenda kuwa balozi na baadae kabla ya genocide akaondolewa, wewe unadai hakuwa balozi ila alikuwa ni balozi wa kimkakati. Sasa kwa vile sisi wote tunaokoteza okoteza tu vipande ya habari ili kujiridhisha basi na wewe njoo na ushahidi wako usio na shaka kwamba huyo mama hakuwa balozi bali alikuwa ni balozi wa kimkakati kama unavyolazimisha aitwe.
 
Huyu PK aliandaliwa Tanzania na Mwalimu kisha alipigana vita ya Tanzania na Uganda akiwa TZ na akina Museveni. Baada ya Mu7 kuingia madarakani UG, PK ndio alikuwa mkuu wa Usalama UG.

Kumbuka huyo Bossless aliposema lile defender kalikuta mpakani mwa Burundi askari wamevaa kombat za TZ na vumbi hadi kopeni. Unadhani walikuwa wanafanya nini na eneo hilo muda ule lilidhibitiwa na askari gani. PK aliandaliwa kumtoa Habyarimana na Kabila aliandaliwa kumwondoa Mobutu. Ni stori ndefu anyway ila mkakati ulikuwa unaenda kwa awamu
Duh! Tz noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi darasa la saba umefika kweli !!? Maana inaonyesha ujui hata kazi za balozi na vipi anahusika kwenye usuluhishi pale nchi yake inapo husika kwenye usuluhishi
Moja ya kazi yake nikuangalia kile kinacho endelea kwenye nchi yenye mzozo na kuleta taharifa sahihi kwa tume ya usuluhishi,sina muda wa kupoteza kwa kuelimisha mbumbumbu
Kuna maelezo mengi uliyotoa ya kinadharia. Balozi wa Usuluhishi alikuwa anamsuluhisha nani huko Kigali? Mapatano yalikuwa yanafanyikia Tanzania iwapo kulikuwa na msuluhishi he/she alitakiwa kuwepo Tanzania wakati vita vinaanza. Kumbuka kuangushwa kwa Marais wawili wakitokea Tanzania ndio ulikuwa mwanzo wa genocide.

Pia Tanzania haikufunga mpaka isipokuwa iliongeza ulinzi mpakani ili Watutsi na Moderate hutu watakaovuka wasifuatwe kuuliwa. Yoyote aliyevuka daraja alipokelewa na kuhifadhiwa. Nchi ingefunga mipaka wale wanyarwanda wasingepona wangeishia mtoni wote.

Yale magenge yalikuwa yanaongozwa na viongozi sio laymen. Na wala si convoy ya Tanzania pekee ambayo haikushambuliwa hata za mataifa mengine pia. Genocide ilikuwa systematic na sio random. Haikuparamia tu watu na magenge yalikuwa yanaact on orders sio kujiongoza tu kama wendawazimu.

Kuhusu wauaji kujaribu kuvamia Ubalozi na kisha kuacha inatakiwa uelewe kitu kimoja. Si Ubalozi wa Tanzania pekee ambao Watutsi walikimbilia, Watutsi walikwenda mahala popote ambapo walihisi palikuwa salama na sehemu pekee ambazo Wauwaji waliogopa kwenda zilikuwa sehemu zenye wageni (si Watanzania pekee). Na walifanya hivyo kuavoid international provocation ambayo ingepelekea nchi nyingine zinunue ugomvi iwapo raia wao wangedhuliwa.

Swala la msingi ukitaka kuelewa survival ilikuwaje jiulize trucks za Tanzania na madereva walirudije?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usiishie tu kusema alikuwa ni balozi wa kimkakati na badala yake eleza kama alikuwa balozi wa kimkakati basi asingeweza kuwa na ofisi pale Kigali, ofisi yake isingeweza kuwa na staff wengine akiwemo msimuliaji, asingeweza ku accomodate watu ubalozini kwake kama alivyofanya kwa wale waliokimbilia pale au kuwaondoa watu waliokuwa ubalozini na kuondoka nao kuelekea mpakani kama ilivyosimuliwa?

Kwenye nyaraka hapo juu imeonyesha kwamba alikuwa ni balozi na wewe unadai alikuwa balozi wa mkakati, na kuna mchangiaji mmoja amedai huyo mama aliteuliwa na Mzee Mwinyi kwenda kuwa balozi na baadae kabla ya genocide akaondolewa, wewe unadai hakuwa balozi ila alikuwa ni balozi wa kimkakati. Sasa kwa vile sisi wote tunaokoteza okoteza tu vipande ya habari ili kujiridhisha basi na wewe njoo na ushahidi wako usio na shaka kwamba huyo mama hakuwa balozi bali alikuwa ni balozi wa kimkakati kama unavyolazimisha aitwe.
Hakuwa balozi ila alikuwa balozi wa kimkakati ndiyo kusema nini !!!! ??
Mfano msemo huu ..... "Uchumi na uchumi wa kimkakati "kisha useme uchumi wa kimkakati siyo uchumi ? Sasa balozi wa kimkakati ni balozi kamili kama mabalozi wengine ila yeye huwa na kazi special zaidi ni kama unaposikia special force au askari na askari komando ..wote ni askari ila komando ni special

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lenu amjui neno mkakati mnali underestimat balozi wa kimkakati ni balozi kama wengine ila yeye anafanya kazi special zaidi ya wengine huyu wa kimikakati anakuwa more special kutokana na kusudi la kimikakati ndiyo maana ulikikia alikuwa hadi na radio call pia anaweza kuwa na ulinzi hata wa makomando na siraha za vita na vifaa vya kivita kutokana na uitaji wa kimikakati kwaiyo kudhani balozi wa kimikakati atakiwi kuwa na ofsi ya ubalozi sijui mnatowa wapi hiyo kitu
Mkuu usiishie tu kusema alikuwa ni balozi wa kimkakati na badala yake eleza kama alikuwa balozi wa kimkakati basi asingeweza kuwa na ofisi pale Kigali, ofisi yake isingeweza kuwa na staff wengine akiwemo msimuliaji, asingeweza ku accomodate watu ubalozini kwake kama alivyofanya kwa wale waliokimbilia pale au kuwaondoa watu waliokuwa ubalozini na kuondoka nao kuelekea mpakani kama ilivyosimuliwa?

Kwenye nyaraka hapo juu imeonyesha kwamba alikuwa ni balozi na wewe unadai alikuwa balozi wa mkakati, na kuna mchangiaji mmoja amedai huyo mama aliteuliwa na Mzee Mwinyi kwenda kuwa balozi na baadae kabla ya genocide akaondolewa, wewe unadai hakuwa balozi ila alikuwa ni balozi wa kimkakati. Sasa kwa vile sisi wote tunaokoteza okoteza tu vipande ya habari ili kujiridhisha basi na wewe njoo na ushahidi wako usio na shaka kwamba huyo mama hakuwa balozi bali alikuwa ni balozi wa kimkakati kama unavyolazimisha aitwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1387360

Hiko ndicho kinachotokea kwenye hiyo website ya serikari wewe weka jina la balozi wanakuletea na vituo vyake vyote vya kazi.

Mbago alikuwa Russia tu ajafanya kazi sehemu nyingine; unless as a special envoy baadae kama huyo mama inavyoonekana na sidhani kama wamejumuisha hao.
Nilishasema mwanzoni website ina walakini. Wengine wamo, wengine hawamo, wengine waliwakilisha nchi mbalimbali na haioneshi, ila aliyeandika ndio kaandika alivyotaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo lenu amjui neno mkakati mnali underestimat balozi wa kimkakati ni balozi kama wengine ila yeye anafanya kazi special zaidi ya wengine huyu wa kimikakati anakuwa more special kutokana na kusudi la kimikakati ndiyo maana ulikikia alikuwa hadi na radio call pia anaweza kuwa na ulinzi hata wa makomando na siraha za vita na vifaa vya kivita kutokana na uitaji wa kimikakati kwaiyo kudhani balozi wa kimikakati atakiwi kuwa na ofsi ya ubalozi sijui mnatowa wapi hiyo kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mkuu. Nikubaliane na wewe kwamba huyo balozi hakuwa Dorah Mbezi. Tupe jina la huyo balozi wako wa kimikakati ili tusonge mbele. Maana hata haueleweki uko upande gani.
 
Hivi darasa la saba umefika kweli !!? Maana inaonyesha ujui hata kazi za balozi na vipi anahusika kwenye usuluhishi pale nchi yake inapo husika kwenye usuluhishi
Moja ya kazi yake nikuangalia kile kinacho endelea kwenye nchi yenye mzozo na kuleta taharifa sahihi kwa tume ya usuluhishi,sina muda wa kupoteza kwa kuelimisha mbumbumbu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa ni mpuuzi lakini unajiona unajua. Hujui kilitokea nini Rwanda unaleta theory zako.

Jifunze kwanza timing of events za Rwanda ndio ulete upupu hapa. Msuluhishi na mpatanishi wakati vita inaanza alikuwa Tanzania. Vita vilianzishwa na waliobaki immediately baada ya kupata taarifa za kikichojiri kwenye usuluhishi. Hata Marais wa Rwanda na Burundi na delegetions zao hawakukanyaga ardhi ya Rwanda vita ilipoanza. Balozi wako alirudi vipi immediately?

Nimeuliza pia swali jepesi, trucks zilirudi vipi? Ukipata jibu husika linganisha na visa vya hii story.
Kukusaidia tu official records zinaonesha evacuation ya wanadiplomasia na watumishi wa mataifa mbalimbali waliondoshwa na kulindwa na Wafaransa.
 
1994: Joseph Kavaruganda yari azi ko ingabo za Loni zitazatabara abanyarwanda

Umunyamategeko, Joseph Kavaruganda wari Perezida w’Urukiko rurinda ubusugire bw’itegeko nshinga, na Agathe Uwilingiyimana wari Minisitiri w’Intebe, bombi bishwe ku itariki ya 7 Mata 1994.

Hari hashize iminsi 100 babwiye umuryango w’abibumbye ko nibadatabara ngo bambure abicanyi intwaro, mu Rwanda hazacura imiborogo. By’umwihariko Kavaruganda yabonanye n’uwari ukuriye MINUAR, Jacques Roger Booh-Booh, mu nzu yari atuyemo hafi ya Hotel Umubano-Merdien.

Mu kiganiro bagiranye na Jacques Roger Booh-Booh cyari icyo kwereka LONI ko gutinda gushyirwaho kw’inzego z’ubutegetsi bw’inzibacyuho bizagira ingaruka mbi ukurikije uko yabonaga ibintu mu gihugu icyo gihe. Kavaruganda, kimwe n’abandi bayobozi bakuru bari mu rwego rwe, yari yarahawe abasirikare na MINUAR bamurinda. Ariko, ibyo ntabwo byamubujije kumva ko umutekano we ku giti cye ntacyo wamumarira.

Mu kiganiro cyihariye Umunyamakuru Venuste Nshimiyimana yigeze kugirana n’ Umushakatsi Tom Ndahiro yamubwiye ko Kavaruganda atashiraga ingabo za MINUAR amakenga kubera ko zitabashaga “kubuza urwaje”. Ngo yavugaga ko kurindwa nazo “ari nko kurindwa n’imishashara ihura n’izuba igashonga.” Ibyo yavugaga ntiyibeshye, Kavarugamda yishwe MINUAR yitwa ngo iramurinze.

Kavaruganda yabwiye Jacques Roger Booh-Booh, ko yarusimbutse kenshi, akagenda ashyira mu majwi abambari ba Prezida Habyarimana. Undi amusubiza ko nta bushobozi yari afite bwo kureba niba ibyo avuga ari byo.

Icy’ingenzi muri icyo kiganiro ni uko Kavaruganda yabwiye umuyobozi wa MINUAR ko “iramutse yemeye kurinda umutekano we, ikamushyigikira”, muri Gashyantare 1994, yayobora umuhango wo kurahiza abaministiri n’abadepite batanzwe na Minisitiri w’intebe Agathe Uwilingiyimana, afatanije na Twagiramungu Faustin wari kuyobora guverinoma y’inzibacyuho yaguye.
Muri uko kwezi, Perezida Habyarimana yari kuba yagiye muri Cote d’Ivoire mu muhango wo guhamba uwahoze ayobora icyo gihugu witwa Felix Houphouet Boigny. Impungenge uwo mucamamaza yari afite zari zifite ishingiro kubera ko nta munsi wahitaga i Kigali hadaturitse nibura grenade 15.

Ikindi ni uko ku itariki ya 5 Mutarama, abayoboke b’ishyaka CDR bateye ambasaderi wa Tanzania, witwa Dorah Mbezi bamuziza ko ngo akabya gushyigikira amasezerano y’amahoro ya Arusha.
Mwenyewe huyuu kutoka Rwandaa
Ndugu andika kwa kiswahili basiiii
 
Story siyo ya uongo ubalozi wa kimkakati wa tz nchini Rwanda alikuwa anawakilisha tume ya usuluisha huo mgogoro sababu ya kuto kupitia tz moja kwa moja inategemea upepo wa vita ,kitendo cha tz kufunga mpaka inaonyesha kulikuwa na majeshi yanapigana upande wa Rwanda unao pakana na tz ,pia inaonyesha umeshindwa kujua uzito wa mauaji ya Rwanda tatizo la usalama wa watz na balozi wetu alikuwa kwa majeshi rasmi ya tusi na hutu tatuzo lilikuwa kwa RAIA wenye siraha hasa hasa Hutu walipewa siraha ovyo ovyo za kila aina hao hawatambui balozi wala mzungu nikama majambazi tu ,ndiyo maana mleta mada alisimulia wahutu waliovamia ubalozi na kutaka kuua tusi walio kimbilia ubalozini kwetu lakini wanajeshi wa Hutu walikuja baadae pamoja na defenda iliyokuwa na mjemba7 hao masoja wa kuhutu waliona Watusi wapo ubalozini ila awakufanya chochote ndiyo ujue tatizo lilikuwa kwa magenge ya kihutu na tusi mitaani na majiani ,hata alipo sema defenda ilishambulia darajani na kuua ujue iliua RAIA wenye siraha maana Hutu soja na tusi soja awakuwa na tatizo na msafala wa tz ndiyo maana mwanzo wa safari walisindikizwa na Hutu soja na mwisho wa safari walisindikizwa na tusi soja

Sent using Jamii Forums mobile app
Defender wale walikua masoja wetu mzigoni, na base yao mpakani. Huku ndani Rwanda walikua wanaingia sana ila ni kuchungulia tu raia wao wako salama then wanarudi kule.
Hamna kuingilia vita ilikua ya kikabila.
Na vikabila vyenyewe viwili so waache wachapane.
Ila pale unaposogeza mambo hayo pale mpakani,
then na wao ndo wanawatekenya kidogo ili mmalizane huko huko.
Lakini asikwambie mtu watusi wengi sanaa na wahutu pia raia waliokolewa bila pingamizi na mpaka kesho wanaiheshimu sana nchi yetu.
Ilikua ukifika mpakani silaha zako tupa huko,jisalimishe huku karibu,unatibiwa unapewa camp ya kukaa, couporn ya msosi na nguo.
Wale waliouliwa na jamaa wa difenda ni hutu militia,
hawakukubali kuona tutsi wanavuka salama wakataka kuvuka daraja pale na silaha wawafanyizie ndio wakachezea za uso na zile njemba saba.
Mleta mada kaeleza vizuri huko kati jinsi vumbi lilivyotimka pale darajani na zile njemba saba zikapotea zikarudi salimini pale pale mpakani na vumbi kibao.
Ina maana mziki ulipoanza wale militia walizama machakani huko ndio mashujaa wetu wakaona hatuwaachi.
Kumbuka kuna lile vagi jamaa katweleza waliloleta pale ubalozini.
Kwa hiyo pale mpakani walikipata wanachotafuta.
 
Mkuu pamoja na kuweka document ile kwenye post yangu namba 1,562 inayoonyesha minutes za vikao vya upatatanishi vilivyofanyika kwa siku kadhaa mwezi May 1993 na kwenye ukurasa wake wa 3 pale kwenye orodha ya wahudhuriaji namba 4 kusomeka "Her excellency Dorah N. J. Mbezi, Ambassador of the United Republic of Tanzania to the Republic of Rwanda and Representative of the Facilitator participated in the meeting" bado mna mashaka kwamba huyo mama hakuwa balozi wa Tanzania kipindi hicho?

Tena kwenye kila makubaliano yaliyofikiwa kwenye hiyo document kuna jina la huyo mama, sahihi yake huku chini wadhifa wake kwamba alikuwa ni balozi nchini Rwanda ukiwa umerudiwa mara nyingi tu kwenye hizo minutes.

Hebu fungua document hii niliyoambatanisha tena.
Tatizo ni lugha mkuu
 
Itakuwa kwenye harakati za kunogesha story, lakini kuna shule nzuri kwenye story yake overall.

Mie sipingi kila kitu ingawa kuna fibs za hapa na pale na akithibitishwa balozi au hata kulikuwa na ubalozi naweza imeza yote; bila ya ivyo I reserve some percentages for fiction.

Huyo Dora Mbezi waliomleta bado atokei ukitafuta unapewa Dora Msechu tu aliwakilisha Tanzania nchini Sweden.
Kaka mkubwa, naomba nikuulize jambo, kwani unataka atokee wapi ili ukubali kwamba ndio yeye ? Au unaposema hatokei, hatokei wapi ?

Maana nimeona kuna mdau ameleta maelezo ya Kinyarwanda hapa yakimtaja nz kuna mdau ametuwekea kwa Kiswahili. Hivi kaka kuna ushahidi mkubwa kuliko mtu au watu kujishuhudilia wenyewe ? Jibu hakuna ushahidi kuzidi huo, namaanisha wenyewe Wanyarwanda katika maandiko yao wamemtaja.
 
Wewe jamaa ni mpuuzi lakini unajiona unajua. Hujui kilitokea nini Rwanda unaleta theory zako.

Jifunze kwanza timing of events za Rwanda ndio ulete upupu hapa. Msuluhishi na mpatanishi wakati vita inaanza alikuwa Tanzania. Vita vilianzishwa na waliobaki immediately baada ya kupata taarifa za kikichojiri kwenye usuluhishi. Hata Marais wa Rwanda na Burundi na delegetions zao hawakukanyaga ardhi ya Rwanda vita ilipoanza. Balozi wako alirudi vipi immediately?

Nimeuliza pia swali jepesi, trucks zilirudi vipi? Ukipata jibu husika linganisha na visa vya hii story.
Kukusaidia tu official records zinaonesha evacuation ya wanadiplomasia na watumishi wa mataifa mbalimbali waliondoshwa na kulindwa na Wafaransa.
Unaona akili yako ilivyo mbovu usuluhishi aufanyi na MTU mmoja tu ila anaweza akachaguliwa mmoja kuwa kichwa cha suluu huyo barozi alikuwa ni sehemu ya timu ya suluu acha ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaona akili yako ilivyo mbovu usuluhishi aufanyi na MTU mmoja tu ila anaweza akachaguliwa mmoja kuwa kichwa cha suluu huyo barozi alikuwa ni sehemu ya timu ya suluu acha ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Na aliyekuwa kapewa jukumu na OAU la kuwa msuluhishi mkuu kwenye mgogoro huo alikuwa ni rais mstaafu Ally H. Mwinyi ambaye kwa kipindi hicho alikuwa ndiye rais wa Tanzania.
 
Unaona akili yako ilivyo mbovu usuluhishi aufanyi na MTU mmoja tu ila anaweza akachaguliwa mmoja kuwa kichwa cha suluu huyo barozi alikuwa ni sehemu ya timu ya suluu acha ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jamaa kweli ni kiazi. Nimeandika wapi usuluhishi unafanywa na mtu mmoja. Tatizo lako huna unachojua kuhusu kilichotokea Rwanda. Unajificha kwenye kujua majukumu ya Balozi kwa ujumla wake.
 
Defender wale walikua masoja wetu mzigoni, na base yao mpakani. Huku ndani Rwanda walikua wanaingia sana ila ni kuchungulia tu raia wao wako salama then wanarudi kule.
Hamna kuingilia vita ilikua ya kikabila.
Na vikabila vyenyewe viwili so waache wachapane.
Ila pale unaposogeza mambo hayo pale mpakani,
then na wao ndo wanawatekenya kidogo ili mmalizane huko huko.
Lakini asikwambie mtu watusi wengi sanaa na wahutu pia raia waliokolewa bila pingamizi na mpaka kesho wanaiheshimu sana nchi yetu.
Ilikua ukifika mpakani silaha zako tupa huko,jisalimishe huku karibu,unatibiwa unapewa camp ya kukaa, couporn ya msosi na nguo.
Wale waliouliwa na jamaa wa difenda ni hutu militia,
hawakukubali kuona tutsi wanavuka salama wakataka kuvuka daraja pale na silaha wawafanyizie ndio wakachezea za uso na zile njemba saba.
Mleta mada kaeleza vizuri huko kati jinsi vumbi lilivyotimka pale darajani na zile njemba saba zikapotea zikarudi salimini pale pale mpakani na vumbi kibao.
Ina maana mziki ulipoanza wale militia walizama machakani huko ndio mashujaa wetu wakaona hatuwaachi.
Kumbuka kuna lile vagi jamaa katweleza waliloleta pale ubalozini.
Kwa hiyo pale mpakani walikipata wanachotafuta.

Bora umemsaidia. Maana alihisi hakuna role tuliyoplay kuokoa raia wetu. Na hatua zisingechukuliwa asingevuka mtu pale darajani. Ni parefu na pembamba, militia wangekaa upande wa pili hakuna mtu angevuka pale.
 
Back
Top Bottom