Sintosahau nilivyosota miaka miwili bila kukutana kimapenzi na mama mtoto wangu

[emoji112]
 
We **** nini tumechoka kusubiri kila siku stori zako za kutunga watu tuna mambo mengi ya kufanya sio tunakaa tusubiri hadi uchapishe tena kama vipi wewe andika maelezo ya kutosha umalize funga uzi full stop usiwe na tabia za kike kidogo itaendelea ebhana eeh unatuchosha bhana uzi wenyewe una karibia wiki 2 na hamna cha maana wala cha manufaa yoyote kwetu zaidi tu ya mapenzi yako binafsi na kujisifia uongo tu badidirika bhana tumechoka kusubiri kila siku stori za kipumbavu ambazo hazierimishi kima wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio usubiri sasa
 
Nimecheka hadi kidogo nidondoshe cm yanguπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hakika umejua kunifurahia mkurugenzi
 
Duh!....akijiua halafu hujasamehe hutapata amani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…