kereem benzema
Member
- Nov 21, 2023
- 54
- 171
- Thread starter
- #121
Sawa ndugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ndugu
Kak siwezi kukuaminisha hata kidogo maan sio kazi yangu we endelea na uzi mzee babaM2, cm, kne, sna
Haya ni machache yanayo ashiria huu ni mwandiko wa kike kabisa uliojificha kwenye jina la uvulana
Mrudie, huyo mtampoteza, atajiua.Nilimuachia Mke wangu nyumba... Kuna Uzi niliweka humu.... Watoto nikawa nasomesha na nyumba nimemuachia ... Nikaanza upya.... Acheni tu...makosa yake sikupeleka kwetu Wala kwao.... Ila tu nikahama nyumbani.... Ndio alijua Nini maana ya "Mume" na "Bwana"... Tumezaaa watoto wa4 ..Mkubwa wa kiume wengine wa kike.... Nasomesha wote shule za kulipia .... Ni mwezi wa nane Sasa .... Anaomba tukapime ......nshamwambia naishi Kwa ajili ya watoto.... Sio wewe... Najitafuta Bado maana hata kama sio wa kwangu.... Maana alichonifanyia .. nyieeeee.... Bado najitafuta.... Uzuri watoto wote nimewalea tangu wanazaliwa.... Ila wanawake Mungu anawaona.... Hawa watoto naamini ni wangu hata Kwa nililo mkuta anafanya.... Ameshajaribu kujiua mara mbili tunamuwahi...
Nimependa adhabu alokupa MUNGU Ambariki san
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"Niliwaburuza mbaya mbovu sio kina mama sio mabint yaan nilisaga kama Crusher linavyosaga mawe "
CHAI
Chai ndo nini mkuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunasubiri MUENDELEZONAENDELEA NDUGU ZANGU...[emoji871]
Hakika ule usiku ulikua ni usiku wa kumshukuru Mungu kwa kunirejeshea njiwa wangu. Tuliongea mengi na tukafanya kila linawezekana kwa nafasi yake kumuonesha mwezake ni jinsi gani alivyokua umemis moment ya kua wote kitandani.
Kesho yake kama kawaida mi nikaenda zangu darasani ila yeye nilimuacha ndan amejifungia tu. Niliporudi alinipokea kwa bashasha sana huku amejifunga khanga nyepesi kabisa yenye kuonyesha karibu kila kitu alicho jaaliwa na Mungu. Sikua na hiyana kama kawaida nikapewa kimoja kama pole na masomo.
Tuliishi pale kama wiki moja hivi halaf yeye ndo akarudi kwao.
ZENGWE NDANI YA PENZI JIPYA
Aliondoka kwangu akiwa na mpunga wa kutosha yaani boom lilikua ndo limetoka hivyo nilimpa maokotoko kama yote.(wahenga walisema," Mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua").
Kuna siku nilifunga safari nikaenda huko nyumbani kwao maana alidai kua anajisikia vibaya(anaumwa).Alifurahi sana kuniona na nikamchukua moja kwa moja hadi hospitali. Baada ya vipimo ikagundulika kua ile arbotion aliyokua ameifanya hako siku za nyuma ilikua haijakamilika kwa maana nyingine kiumbe kilikua hakijatoka kbsa[emoji22]. Kwa mara nyingine tena nikaingia kwenye dhambi ninayoijutia sana hadi kiama. Daktari alishauri afanyiwe winde up.(warudie tena kufanya abortion manaa kiumbe kilikua hakiko hai tena[emoji24]). Niliingia gharama ya kutosha lakn na kila kitu kilienda sawa. Nilipohakikisha kua amekua sawa niakurudi chuo.
Baada ya wiki kama mbili hivi nikarudi nyumbani kwao kumsalimia na nikamkuta anaendela vyema na shughuli zake. Baada salam za hapa na pale nikamuomba niingine mtaani nikapigie stori na washikaji kidogo.
Katika kupiga piga stori kuna jamaa akapita mbele yetu(ninamjua kwani ndie aliyekua anatoka nae hadi akapata ujauzito) akatusalimia halaf yeye akaondoka zake.
Kuna mwamba mmoja akaniuliza,"hivi kaka bado unatoka na X?"
Huku nikijiamini kwa 100%,"ndio nisharudiana nae kaka!"
Jamaa akaguna na mimi nikamuuliza nini shida kwani??.
Jamaa akasema "mbona huyo manzi anawachanganya hivi?"
Nikamuuliza tena,"kivipi tena kaka?"
Jamaa ikabidi afunguke sasa,"mbona huyo manz bado yuko na yule jamaa aliyepita hapa na kutupa HI?
Nilikataa kata kata." Mbna bibie alinambia huyu jamaa wameshaachana??
Washikaji wote wakanicheka sna!!!
Mmoja wao akasema,"kaka hebu naomba umchunguze huyo manzi yako vizuri we mchunguze tu halafu utakuja kunipa jibu hapa hapa nimekaa"
Basi kiunyonge sana nikakubali kuchunguza hizo shutuma juu ya mpenzi wangu.
Badaa ya kumaliza kazi zake alinipigia simu nimfuate nimsindikize nyumbani. Wakat tuko njiani ikabdi niingize kuhus hilo jambo la huyo jamaa. Asalallalee!! Niliwashiwa moto huo." Oyaa eeye kama huniamini mimi basi endelea kuwaamini hao marafiki zako maana mimi habara za wanaume nishaachana nazo hapa nafikiria juu a mustakabali wa maisha yangu tu tena ukitaka tukose we endelea kuniletea habar za hao jamaa zako" Dah! Sikua jinsi nikakubali yaishe na mamb mengine yaendelee maana me huaga sipendi ugomvi kabisa na mwanamke ninayempenda. Kuna wakati unakuta anazingua yeye lakini ninajishusha ili yaishe na tuishi kwa amani.
Ilitokea siku moja kabla ya kuja tena magetoni kwangu(hosteli) alipewa mualiko wa kwenda kwenye sherehe ya kuzaliwa rafiki yake kipenzi. Bila hiyana nikamruhusu ila akadai kua hatorudi nyumbani kwan muda utakua umeenda sana hivyo angelala kaa shoga ake. Mi nilimkubalia kwa moyo mmoja. Baada ya sherehe kuisha akanipigia simu na kunambia ndo anaenda kwa shoga yake hivyo tuliagana na mimi nikalala zangu.
Kesho yake asubuh nilimpigia simu akadai simu yangu ndo imemshitua hivyo inambidi aamke tu maan kulikua kumeshakucha tayari. Kwenye mida ya saa tano asubuhi akawa ameshafika mageton(kama kawaida nikapewa cha mkwezi ila alinipa kishingo upande kwani alikua anadai amechoka na hiyo sherehe pia alikua amelewa jana jana yake) . Hivo sikua na mbwembwe sana mara popo kanyea mbigu,chuma tembele, utaniua,uko wapi my wangu,chukua yote & nakususia stali. Mende aliuliwa mara moja halafu mamb mengine yaliendelea.
Hiyo mara ya pili kuna kwangu alikua na safari ya kwenda kujitafua mjini dar es salaam hivo alikuja kama kuniaga tu. Alikaa kama wiki moja tu baadae akaondoka kwenda jiji la raha na karaha.
Alifika salama kabsa na tukawa tuanendelea kuwasiliana kama kawaida.
Kuna siku nilimuweka wenye whatusp dp yangu.
Mtu mmoja akanipigia na kuniuliza,"huyo ni nani yako kwani kwenye hiyo dp ??
Nilimjibu ni ,"mpenzi wangu!"
Jamaa akanitupia screenshot ya yule jamaa aliyekua anatoka naye.
Aiseee nilihis mwili ulitetemeka jamani.
Yaan mwanamke wangu alikua amepiga picha na jamaa wako kitandani na huku amelalia kifua cha mwamba kimahaba. Weeeh!! Nilihisi kuchanganyikiwa jamani yaan nilizunguka humo ndani nikijiuliza ninachokian ni sahihi au macho yangu yako na shida???
Ukweli ulibaki pale pale kua huyo ni mwnamke wangu kabsa.
Ikanibidi nimpigie tena simu huyo jamaa ndo nikapata picha kamili. Jamaa alifunguka kua kuna siku kulikua na sherehe na huyo manzi alikuwepo na waliondoka na huyo jamaa wakaenda kulala magetoni kwa mwamba hadi kuchee. Dah nilijisikia kinyaa sana nikajiuliza,"yaan huyu mwanamke nimempeleka kutubiwa kwa gharama zangu bado ninampa pesa halaf kumbe ile siku napewa cha mkwezi kishingo upande jana yake alikua ameliwa na jamaa hadi kuchwee???"
Haikuanichukua muda nikampigia na kumwambia kila kitu. Bado alizidi kuniwashia moto kua hayo mi maneno ya watu tu na hayapi nafasi kabisa na kama wao wanaona yeye anafaidi sana kwangu basi wao wanipe anachonipaga yeye. Dah! Bibie alinifoka snaa hadi nikajuta kumpa hizo taarifa.
Moyoni mwangu tayar ulianza kuota ukungu wa kumchukia X kutokana na stori nilizopewa na zile picha zake yuko na jamaa. Nilipanga kuachana naye ila nikawa najiuliza ninamuachaje sasa wakati kwake sijiwezi??
HATIMAE NIKAPATA CHOMBO KIPYA!!!
Nitaendela ndug zangu sema ubize unakua unanibana sana[emoji2217] Typing Errors & Mistakes mtanisamehe sana[emoji848]
Sawa kibunooKiukweli huaga sipendelei hizo nyimbo hivo sizani kama nitakua na muda wa kuangalia...M sorry!!!
Kibuno na wewe😂Sawa kibunoo
Nilishamaliza 2019 ndugu yanguSorry broh bado unasoma chuo au ulisha maliza?
Kama mtoto alishafia tumboni, mlichofanya ni kusafisha uchafu uluobaki, kwahiyo haukuua mtoto, usijutie.NAENDELEA NDUGU ZANGU...✍
Hakika ule usiku ulikua ni usiku wa kumshukuru Mungu kwa kunirejeshea njiwa wangu. Tuliongea mengi na tukafanya kila linawezekana kwa nafasi yake kumuonesha mwezake ni jinsi gani alivyokua umemis moment ya kua wote kitandani.
Kesho yake kama kawaida mi nikaenda zangu darasani ila yeye nilimuacha ndan amejifungia tu. Niliporudi alinipokea kwa bashasha sana huku amejifunga khanga nyepesi kabisa yenye kuonyesha karibu kila kitu alicho jaaliwa na Mungu. Sikua na hiyana kama kawaida nikapewa kimoja kama pole na masomo.
Tuliishi pale kama wiki moja hivi halaf yeye ndo akarudi kwao.
ZENGWE NDANI YA PENZI JIPYA
Aliondoka kwangu akiwa na mpunga wa kutosha yaani boom lilikua ndo limetoka hivyo nilimpa maokotoko kama yote.(wahenga walisema," Mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanapungua").
Kuna siku nilifunga safari nikaenda huko nyumbani kwao maana alidai kua anajisikia vibaya(anaumwa).Alifurahi sana kuniona na nikamchukua moja kwa moja hadi hospitali. Baada ya vipimo ikagundulika kua ile arbotion aliyokua ameifanya hako siku za nyuma ilikua haijakamilika kwa maana nyingine kiumbe kilikua hakijatoka kbsa😢. Kwa mara nyingine tena nikaingia kwenye dhambi ninayoijutia sana hadi kiama. Daktari alishauri afanyiwe winde up.(warudie tena kufanya abortion manaa kiumbe kilikua hakiko hai tena😭). Niliingia gharama ya kutosha lakn na kila kitu kilienda sawa. Nilipohakikisha kua amekua sawa niakurudi chuo.
Baada ya wiki kama mbili hivi nikarudi nyumbani kwao kumsalimia na nikamkuta anaendela vyema na shughuli zake. Baada salam za hapa na pale nikamuomba niingine mtaani nikapigie stori na washikaji kidogo.
Katika kupiga piga stori kuna jamaa akapita mbele yetu(ninamjua kwani ndie aliyekua anatoka nae hadi akapata ujauzito) akatusalimia halaf yeye akaondoka zake.
Kuna mwamba mmoja akaniuliza,"hivi kaka bado unatoka na X?"
Huku nikijiamini kwa 100%,"ndio nisharudiana nae kaka!"
Jamaa akaguna na mimi nikamuuliza nini shida kwani??.
Jamaa akasema "mbona huyo manzi anawachanganya hivi?"
Nikamuuliza tena,"kivipi tena kaka?"
Jamaa ikabidi afunguke sasa,"mbona huyo manz bado yuko na yule jamaa aliyepita hapa na kutupa HI?
Nilikataa kata kata." Mbna bibie alinambia huyu jamaa wameshaachana??
Washikaji wote wakanicheka sna!!!
Mmoja wao akasema,"kaka hebu naomba umchunguze huyo manzi yako vizuri we mchunguze tu halafu utakuja kunipa jibu hapa hapa nimekaa"
Basi kiunyonge sana nikakubali kuchunguza hizo shutuma juu ya mpenzi wangu.
Badaa ya kumaliza kazi zake alinipigia simu nimfuate nimsindikize nyumbani. Wakat tuko njiani ikabdi niingize kuhus hilo jambo la huyo jamaa. Asalallalee!! Niliwashiwa moto huo." Oyaa eeye kama huniamini mimi basi endelea kuwaamini hao marafiki zako maana mimi habara za wanaume nishaachana nazo hapa nafikiria juu a mustakabali wa maisha yangu tu tena ukitaka tukose we endelea kuniletea habar za hao jamaa zako" Dah! Sikua jinsi nikakubali yaishe na mamb mengine yaendelee maana me huaga sipendi ugomvi kabisa na mwanamke ninayempenda. Kuna wakati unakuta anazingua yeye lakini ninajishusha ili yaishe na tuishi kwa amani.
Ilitokea siku moja kabla ya kuja tena magetoni kwangu(hosteli) alipewa mualiko wa kwenda kwenye sherehe ya kuzaliwa rafiki yake kipenzi. Bila hiyana nikamruhusu ila akadai kua hatorudi nyumbani kwan muda utakua umeenda sana hivyo angelala kaa shoga ake. Mi nilimkubalia kwa moyo mmoja. Baada ya sherehe kuisha akanipigia simu na kunambia ndo anaenda kwa shoga yake hivyo tuliagana na mimi nikalala zangu.
Kesho yake asubuh nilimpigia simu akadai simu yangu ndo imemshitua hivyo inambidi aamke tu maan kulikua kumeshakucha tayari. Kwenye mida ya saa tano asubuhi akawa ameshafika mageton(kama kawaida nikapewa cha mkwezi ila alinipa kishingo upande kwani alikua anadai amechoka na hiyo sherehe pia alikua amelewa jana jana yake) . Hivo sikua na mbwembwe sana mara popo kanyea mbigu,chuma tembele, utaniua,uko wapi my wangu,chukua yote & nakususia stali. Mende aliuliwa mara moja halafu mamb mengine yaliendelea.
Hiyo mara ya pili kuna kwangu alikua na safari ya kwenda kujitafua mjini dar es salaam hivo alikuja kama kuniaga tu. Alikaa kama wiki moja tu baadae akaondoka kwenda jiji la raha na karaha.
Alifika salama kabsa na tukawa tuanendelea kuwasiliana kama kawaida.
Kuna siku nilimuweka wenye whatusp dp yangu.
Mtu mmoja akanipigia na kuniuliza,"huyo ni nani yako kwani kwenye hiyo dp ??
Nilimjibu ni ,"mpenzi wangu!"
Jamaa akanitupia screenshot ya yule jamaa aliyekua anatoka naye.
Aiseee nilihis mwili ulitetemeka jamani.
Yaan mwanamke wangu alikua amepiga picha na jamaa wako kitandani na huku amelalia kifua cha mwamba kimahaba. Weeeh!! Nilihisi kuchanganyikiwa jamani yaan nilizunguka humo ndani nikijiuliza ninachokian ni sahihi au macho yangu yako na shida???
Ukweli ulibaki pale pale kua huyo ni mwnamke wangu kabsa.
Ikanibidi nimpigie tena simu huyo jamaa ndo nikapata picha kamili. Jamaa alifunguka kua kuna siku kulikua na sherehe na huyo manzi alikuwepo na waliondoka na huyo jamaa wakaenda kulala magetoni kwa mwamba hadi kuchee. Dah nilijisikia kinyaa sana nikajiuliza,"yaan huyu mwanamke nimempeleka kutubiwa kwa gharama zangu bado ninampa pesa halaf kumbe ile siku napewa cha mkwezi kishingo upande jana yake alikua ameliwa na jamaa hadi kuchwee???"
Haikuanichukua muda nikampigia na kumwambia kila kitu. Bado alizidi kuniwashia moto kua hayo mi maneno ya watu tu na hayapi nafasi kabisa na kama wao wanaona yeye anafaidi sana kwangu basi wao wanipe anachonipaga yeye. Dah! Bibie alinifoka snaa hadi nikajuta kumpa hizo taarifa.
Moyoni mwangu tayar ulianza kuota ukungu wa kumchukia X kutokana na stori nilizopewa na zile picha zake yuko na jamaa. Nilipanga kuachana naye ila nikawa najiuliza ninamuachaje sasa wakati kwake sijiwezi??
HATIMAE NIKAPATA CHOMBO KIPYA!!!
Nitaendela ndug zangu sema ubize unakua unanibana sana🚶🏽♂️ Typing Errors & Mistakes mtanisamehe sana🤔
Ni kweli lakini ilikua bado imekua ni changamoto sana kwanguKama mtoto alishafia tumboni, mlichofanya ni kusafisha uchafu uluobaki, kwahiyo haukuua mtoto, usijutie.
Upo shinyanga?Wewe ni shetani kabisa yule mwenye mapembe