Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Kwa wadada sio nzur sana...mdada anatakiwa kuwa ametulia ...

Na sie wanaume hatupend mdada awe kiruka njia..na ndomana huwa hatuwaoi wale tunaokutana nao maeneo kama ya huko tunaoa wale home girl.church girl etc
 
Hao wa barabarani au mtu anae jiuza ni ku risk nafsi yako. Mtu hadi kaamua kujiuza maana yake kajizira huyo, haoni thamani yake. Ila bora kupima, maana mda wa kuvaa ndom au akili ya kuvaa ndom inatoka wapi aisee.. ni vyema kuwa na kit za kupimia.
 
Ukimaliza ile bar jirani na BIGBON kuna vyumba vya show then kuna njia inaingia kulia ukimaliza frem zile kuna michongoma kuna site moja guest bubu unaipata?
Wale wadada hawafai kuliwa, wanastahili ushauri na saha tu.
 
Hao wa barabarani au mtu anae jiuza ni ku risk nafsi yako. Mtu hadi kaamua kujiuza maana yake kajizira huyo, haoni thamani yake. Ila bora kupima, maana mda wa kuvaa ndom au akili ya kuvaa ndom inatoka wapi aisee.. ni vyema kuwa na kit za kupimia.
Malaya anakuvalisha mwenyewe condom wanakuwa makini sana
 
Hao wa barabarani au mtu anae jiuza ni ku risk nafsi yako. Mtu hadi kaamua kujiuza maana yake kajizira huyo, haoni thamani yake. Ila bora kupima, maana mda wa kuvaa ndom au akili ya kuvaa ndom inatoka wapi aisee.. ni vyema kuwa na kit za kupimia.
Rapid test zile mjomba..umpime mdada wa watu atakuelewa?

Kwanza mi mwenyew kupima ni mwoga balaa
 
Kwa iyo unajiona wa maana sana kumpa huo ushauri......mi nasema bora iyo ela katumia kwenye pombe maana huko shambani angelia
Mm 7m nilitapeliwa kwenye forex. Bora huyo aliyeenda kunywa Pombe mwenyewe kiroho safi
 
Hata kama humpenda ndio ufurahie mali zake kuungua? Wajua ni wangapi wamepoteza kazi kwa janga lililompata jamaa?

Sio ajabu hata hujawahi kumuona lakini unakuwa na elements za kichawichawi
Mimi wabaya wangu wakipatwa na hasara huwa ninafurahi sana. Tena saaaana mkuu. Kamwe siwezi kumuombea mema mbaya/adui yangu. Adui yangu ninamuombea hasara kubwa na kifo tu. Never let your enemy grow.

Huyo La Chaaaz mimi simjui na wala siwezi kumuombea ubaya lakini angekuwa ni mbaya/adui yangu hakika ningefurahi.

Pole sana La Chaaaz.
 
Huwa nafurahi sana nikisoma comment kama hizi. Wewe una bilioni ngapi hadi uwe na nguvu ya kusema 1b ni ndogo ? Umewekeza bilioni ngapi?
Mkuu jua hapo unaongea na chawa wa kina vunjabei ambao nao wamesikia boss wao ana 1 b
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…