Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah, ukute ni sababu ya ubahili wako, wateja wanakimbia sehemu hiyo, ukute haina hadhi ya kuwa pub lol
Hamna..kapo ushuan sana tatzo..mtaa una wazee weng watu wazima wazima ..nakahamisha hata hvyo nkipata hela
 
Hio hadithi tu nawe umeamini?
Hahaha.vijana wa Tz buana..ila kijana usipoamua juu ya maisha yako kila siku utakua unaona wenzio wana brag tuu..sasa mi nimalize elimu toka 2013 muda wote huu nafanya nn..nna ajira..nna mtaj..yaan niwe nafanya nn kwa mfano muda wote huu...nishindwe kuwa na hako ka dude.?hahahahah daah...wakat mwenzio niko road hapa natafta eneo la kuweka golo langu la kumi wewe unafanya nn sjui muda huu.daah...ila usipokua inspired na kuwa na mawivu aisee utaish kwa tabu sana..wenzio huwa tunakua inspired na kuchkua hatua haraka...na hapo uskute una elimu..tena bachelor kabisaa lakin unashindwa hata fungua biashara ya mtaj wa 1m...kijana amka
 
Hahaha.vijana wa Tz buana..ila kijana usipoamua juu ya maisha yako kila siku utakua unaona wenzio wana brag tuu..sasa mi nimalize elimu toka 2013 muda wote huu nafanya nn..nna ajira..nna mtaj..yaan niwe nafanya nn kwa mfano muda wote huu...nishindwe kuwa na hako ka dude.?hahahahah daah...wakat mwenzio niko road hapa natafta eneo la kuweka golo langu la kumi wewe unafanya nn sjui muda huu.daah...ila usipokua inspired na kuwa na mawivu aisee utaish kwa tabu sana..wenzio huwa tunakua inspired na kuchkua hatua haraka...na hapo uskute una elimu..tena bachelor kabisaa lakin unashindwa hata fungua biashara ya mtaj wa 1m...kijana amka
Umeambiwa utaje location unaanza kuleta hadithi.
Taja location tuje tukuungishe.
 
Hahaha.vijana wa Tz buana..ila kijana usipoamua juu ya maisha yako kila siku utakua unaona wenzio wana brag tuu..sasa mi nimalize elimu toka 2013 muda wote huu nafanya nn..nna ajira..nna mtaj..yaan niwe nafanya nn kwa mfano muda wote huu...nishindwe kuwa na hako ka dude.?hahahahah daah...wakat mwenzio niko road hapa natafta eneo la kuweka golo langu la kumi wewe unafanya nn sjui muda huu.daah...ila usipokua inspired na kuwa na mawivu aisee utaish kwa tabu sana..wenzio huwa tunakua inspired na kuchkua hatua haraka...na hapo uskute una elimu..tena bachelor kabisaa lakin unashindwa hata fungua biashara ya mtaj wa 1m...kijana amka
Umemaliza chuo 2013?😃😃😃😃

Daah haya fogo,endelea kutu 'inspire'.
 
[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Mi nilipoteza 1m kimazingara pale huwezi amini
Walitoka na kilo tatu fasta siku nimekanyaga pale, na ilikua vimasaa kadhaa tu huyu sister alitaka mchemsho.
Badae tukaishia Ambiance kukesha Milioni itakua iliisha siku hiyo.
Ila du yule bibie ule mpododo wake ilikua balaa, lainii we mwenyewe Witt humpati,
Niliishia kubambia tu na ni member humu.
Mi hapo siwaelewagi wanaume wenzangu,demu km huyo unamtosaje?
Yani kwangu ningekua namwogesha,paka mafuta naterezesha tu.
Alafu nikawa mtiifu kweli
 
Hamna kitu hapo mkuu,hatataja hio location ng'o.
Mnataka mje msnich mfungue uzi m.napoleone yuko hiv yuko vile .hahaha..weee kaa hapo hapo. Ila ujue wenzako tunapambana mjini hapa...yaan kabisa nikupe location mwana jf .labda ungekua demu kweli....ila..dume..unakuja kusnitch tuu....hahahah..
 
Mnataka mje msnich mfungue uzi m.napoleone yuko hiv yuko vile .hahaha..weee kaa hapo hapo. Ila ujue wenzako tunapambana mjini hapa...yaan kabisa nikupe location mwana jf .labda ungekua demu kweli....ila..dume..unakuja kusnitch tuu....hahahah.
😂😂😂😂 hawa ndio wafanyabiashara wa JF.
 
😂😂😂😂 hawa ndio wafanyabiashara wa JF.
Jamaa yupo Smart tu angalia suala limeanzaje, akitaka kufanya marketing ya chimbo lake nafikiri atatangaza na ID nyengine ambayo sio famous.
 
Haya nipe zile strategy leo
Alafu pale Juliana napo estimation yake ya investment ni kama sh ngapi [emoji848]
Okay ...am home now..soo lets start like this

Pendeza..nukia...dont wear cheap fragrance..yaan uwe na scent ile ambayo ukipishana na mtu anageuka..lavender si lavender yaan unukie vzur..ujue sis wengne uki wear cheap perfume tunajua[emoji16]

Okay..kwenye nguo najua utakua unajua mwenyew..iwe casual or ki executive fresh tuu

Sasa ukifika pale..usiende kukaa kwenye kiti..maana utamu attract muhudum aje akuskilize..na hapo tayar umefanya kosa
Ukiingia tu moja kwa moja nenda kaunta cheka na mtu wa kaunta kama unamjua vile..kwa sisi wenye sound hii ni kitu rahis sanaaa[emoji16]

Pale sasa..kama unakunywa pombe..usiagize ma bia bia.achana nayo..kama kuna shots you can handle mwambia nipe shot unashtua kwanza..kwa sie ma konki ambao tayar ni famous maeneo hayo..shot ya 4000 nauziwa buk3 na wale wadada[emoji3]....

Kwanza kama kuna mtu hapo anakuangalia atasema dah huyu dada ni foreigne nin..maana una confidence ya hatar...

Hapo inakua tayar buku 4 imeenda...unakaa sasa unamwambia muhudum kama ana spirits au kilev chochote chenye kuanzia 35%...or kama hunywi pombe bas unaagiza chochote hapo nzur ni juice au hata cocktail flan ambayo haina kilev kikal..kama ni mtu wa pombe bas unamwambia akupe red label au k vant or wateva kachupa kadogo..mwambie akupe na li glass likubwa lile. Yaan hapo unaongea nae kama mshkaj kwa confidence. "akuwekee humo kwenye li glass lile la cocktail kubwa akuwekee na limao juu. Yaan aipambe glass vzur..halaf unachkua glass yako then unaenda kaa..kwa wewe mdada nenda kakae kwenye kochi usikae kwenye kiti kigum..tena kwa jeur unakaa hapo na kamto unakaweka vzur unaegemea na miguu kama una mguu mzur unauweka kama umekaa kwenye kochi la nyumban..aisee..mi ukinikuta na shemej yako maeneo.utadhan tuko sebulen kwetu...sasa ukifika muda wa msos...kwanza nilisahau..kama mfuko hauko vzur toka kwako umeshiba kabisaa..pale unafika muda unamwita muhudum akuletee mishkak ile mikubwa miwil. Kwa mdada unashiba kabisa..mishkak yetu ile huwa ni elf4 mmoja..ila ipo ya elf mbili..agiza akuletee pale . Hapo glass lako unavuta tuu mdogo mdogo na straw/mrija..hapo aisee unaweza kaa mda wowote..ukiona kinywaj kimekolea sana na kama una drive..bas badae agiza vimaj unakunywa mdogo mdogo..unashangaa umetumia 50 tuu na umeburudika swaaaf....nenda sehem za kijanja..dj mjanja..sio unaenda mahala dj anapiga bongo fleva tuu kelele nyiiing au bolingo..mi huwez nikuta huko...mi nikiskia johm delinga anapiga mahala nipo..ma dj wajanja wale kina peter more etc..wapo ma dj wajanja hata samak samak..yaan unakula mzik mtamu...ukimaliza hapo unaondoka zako...weekend well spent.
 
Umemaliza chuo 2013?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Daah haya fogo,endelea kutu 'inspire'.
Vijana nyie sielew mnashangaa nin..ni vijana wa mkoan nn...hiv unajua usipokua na speed ya utaftaj mjin huku utakua na hasira tu mda wote...ukitaka uone gap la vijana wenzio hudhuria ma event haya...ukiskia sjui diamond ana show nenda ukiskia miss Tz.nenda ukiskia sjui nn.hudhuria.halaf uone vijana umri wako wanaskuma ndiga gan..au wanamilik madem wa aina gan..ukikaa umejifungia ndan tuu utahis wote mko sawa..yaan haujichallenge maisha....vijana tembeen mujionee..msipitwe na muda....
 
Back
Top Bottom