Hamna..kapo ushuan sana tatzo..mtaa una wazee weng watu wazima wazima ..nakahamisha hata hvyo nkipata hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah, ukute ni sababu ya ubahili wako, wateja wanakimbia sehemu hiyo, ukute haina hadhi ya kuwa pub lol
Nipeleke level 8 ile ina hadhi ya nyota tanoNyumbu wengi mno ile bar haina hata hadhi ya Nyota 4[emoji1787] Bongo ukituliza kichwa ukawa na hela yako aah unapasua anga
Huo msuko nimeupenda....umri ni namba tuEti hapa 1b imeteketea[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]...mi niko na jamaa mmiliki hapa hana hata presha, anajua ukweli View attachment 1719412
Ndiyo zetu hata nilivyokuwa Sumbawanga nilikuwa nasikia Mlimani city bonge la mall,kufika nakutana na products feki zinauzwa bei zaidi ya original.Tukisema wanasemaa tuna dharau[emoji23]
Hahaha.vijana wa Tz buana..ila kijana usipoamua juu ya maisha yako kila siku utakua unaona wenzio wana brag tuu..sasa mi nimalize elimu toka 2013 muda wote huu nafanya nn..nna ajira..nna mtaj..yaan niwe nafanya nn kwa mfano muda wote huu...nishindwe kuwa na hako ka dude.?hahahahah daah...wakat mwenzio niko road hapa natafta eneo la kuweka golo langu la kumi wewe unafanya nn sjui muda huu.daah...ila usipokua inspired na kuwa na mawivu aisee utaish kwa tabu sana..wenzio huwa tunakua inspired na kuchkua hatua haraka...na hapo uskute una elimu..tena bachelor kabisaa lakin unashindwa hata fungua biashara ya mtaj wa 1m...kijana amkaHio hadithi tu nawe umeamini?
Plot ndiyo gharama pale. Lakini jengo hata milioni 70 halifiki.Billion moja haifikii. Mil 150-250 inaweza fika. Haya mambo mtuulize sisi tunaojua. Habari za kupandisha gharama watu hupenda kujisifu. But pale mil 500 haifik. Mimi ni mteja la chaaz
Umeambiwa utaje location unaanza kuleta hadithi.Hahaha.vijana wa Tz buana..ila kijana usipoamua juu ya maisha yako kila siku utakua unaona wenzio wana brag tuu..sasa mi nimalize elimu toka 2013 muda wote huu nafanya nn..nna ajira..nna mtaj..yaan niwe nafanya nn kwa mfano muda wote huu...nishindwe kuwa na hako ka dude.?hahahahah daah...wakat mwenzio niko road hapa natafta eneo la kuweka golo langu la kumi wewe unafanya nn sjui muda huu.daah...ila usipokua inspired na kuwa na mawivu aisee utaish kwa tabu sana..wenzio huwa tunakua inspired na kuchkua hatua haraka...na hapo uskute una elimu..tena bachelor kabisaa lakin unashindwa hata fungua biashara ya mtaj wa 1m...kijana amka
Umemaliza chuo 2013?ππππHahaha.vijana wa Tz buana..ila kijana usipoamua juu ya maisha yako kila siku utakua unaona wenzio wana brag tuu..sasa mi nimalize elimu toka 2013 muda wote huu nafanya nn..nna ajira..nna mtaj..yaan niwe nafanya nn kwa mfano muda wote huu...nishindwe kuwa na hako ka dude.?hahahahah daah...wakat mwenzio niko road hapa natafta eneo la kuweka golo langu la kumi wewe unafanya nn sjui muda huu.daah...ila usipokua inspired na kuwa na mawivu aisee utaish kwa tabu sana..wenzio huwa tunakua inspired na kuchkua hatua haraka...na hapo uskute una elimu..tena bachelor kabisaa lakin unashindwa hata fungua biashara ya mtaj wa 1m...kijana amka
Hamna kitu hapo mkuu,hatataja hio location ng'o.Umeambiwa utaje location unaanza kuleta hadithi.
Taja location tuje tukuungishe.
niende na kama shingapi?Ukitaka watoto wakal nenda kidiwise au pale tanzanite building victoria kwenye swiming pool kule juu
Kivipi sasa, si moto ungezimika kama bia zikiungua, tafadhali bana bia lazima ipewe hadhi yakeBia zimeungua ??
Walitoka na kilo tatu fasta siku nimekanyaga pale, na ilikua vimasaa kadhaa tu huyu sister alitaka mchemsho.[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Mi nilipoteza 1m kimazingara pale huwezi amini
Mjee muungishe au mje mlete usnich..hahah...wala sikuhitaj mteja wa jf ..ma snich..unataka uje unijue .tujuane yan.hahahah. ...dahUmeambiwa utaje location unaanza kuleta hadithi.
Taja location tuje tukuungishe.
Mnataka mje msnich mfungue uzi m.napoleone yuko hiv yuko vile .hahaha..weee kaa hapo hapo. Ila ujue wenzako tunapambana mjini hapa...yaan kabisa nikupe location mwana jf .labda ungekua demu kweli....ila..dume..unakuja kusnitch tuu....hahahah..Hamna kitu hapo mkuu,hatataja hio location ng'o.
Kama ni spender .nenda na yoyote tu ial kama bahil.nenda na 50 or lessniende na kama shingapi?
ππππ hawa ndio wafanyabiashara wa JF.Mnataka mje msnich mfungue uzi m.napoleone yuko hiv yuko vile .hahaha..weee kaa hapo hapo. Ila ujue wenzako tunapambana mjini hapa...yaan kabisa nikupe location mwana jf .labda ungekua demu kweli....ila..dume..unakuja kusnitch tuu....hahahah.
Jamaa yupo Smart tu angalia suala limeanzaje, akitaka kufanya marketing ya chimbo lake nafikiri atatangaza na ID nyengine ambayo sio famous.ππππ hawa ndio wafanyabiashara wa JF.
Okay ...am home now..soo lets start like thisHaya nipe zile strategy leo
Alafu pale Juliana napo estimation yake ya investment ni kama sh ngapi [emoji848]
πππππ..we jamaaa bhanaNawataarifu kua tumefanikiwa kuokoa daftari la madeni...naona wadaiwa sugu wa la chaaz mlishaanza kushangilia
Vijana nyie sielew mnashangaa nin..ni vijana wa mkoan nn...hiv unajua usipokua na speed ya utaftaj mjin huku utakua na hasira tu mda wote...ukitaka uone gap la vijana wenzio hudhuria ma event haya...ukiskia sjui diamond ana show nenda ukiskia miss Tz.nenda ukiskia sjui nn.hudhuria.halaf uone vijana umri wako wanaskuma ndiga gan..au wanamilik madem wa aina gan..ukikaa umejifungia ndan tuu utahis wote mko sawa..yaan haujichallenge maisha....vijana tembeen mujionee..msipitwe na muda....Umemaliza chuo 2013?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Daah haya fogo,endelea kutu 'inspire'.