Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Safi..nasie tunajipanga mwakan tuingie rasmi hapo ...ni vile korona inazingua ila ningeingia toka mwaka jana....manaa kila mtu ananambia subir upepo wa korona upite
Tuongelee kufungua goli huku Temeke nilisimamie mimi
 
MBONA SIJAONA SEHEMU YA KUOPOA CHOMBO...YAANI NITUMIE 50 KUNYWA NA KULA BILA KUOPOA MZIGO... HAPANA WEEKEND NOT WELL SPENT..
Hahahah hiyo nimempa version ya kike..sabab dada aliomba maujuz....version ya kiume ni kwamba unafanya vile vile ila hauend kukaa unakua umesimama sehem ambayo kuna mchamganyiko wa watu weng huku ukichagua watoto wazur ambao wako loose...kinywaj kikishakolea flan ..yaan ukiwa tipsy...ndo unaenda ongea na mdada...mwombe umnunulie kinywaj..hapo akikubali kinywaj.yaan tayar hyo baba wala usiongee nae tena maswala ya kutongoza au sjui ooh nmekuelewa bla bla.we pigen stor zingne tu..yeye hapo anakua kashakuelewa kama umemuelewa..kama anakula mnunulie..hapo umemaliza..na usitake snaa kuondoka nae kupiga..weng wanakuaga wanachuo wanakuja tafta ma husband au wadada wajanja na si malaya..mwishon omba namba....mwambie sasa we itabid unitafte week ijayo twende kiwanja kingne etc..hapo confidence ya hali ya juu.atajiuliza huyu jamaa mbona ana confidence sana..hapo lazima atoe namba bila kupepesa macho.
 
Haaaaahaaaaahaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787]

Hapa najiandaa women day....ila ninacheka kingese yaan....aah mabishoo mna kazi sana
Happy women's day queen.[emoji146]
 
Mkuu ndio vijana wa sasa hawa sijui kama wanaijuwa hiyo amount maana hiyo hela ni bajeti ya wizara fulani wenyewe wanasema mtu ka invest kwenye bar...
Wananishangaza pia. Sijaona bar ya 1B hapo
 
Ha ha ha kama umewekeza billions unaweza kusema 1b ndogo. Trust me Mo hawezi kusema 1b ni hela ndogo sana ila sisi tusionazo ndio mabingwa wa kusema hela fulani ndogo tu.
Mo ameshawahi kusema billion 20 ni hela ndogo Sana kwake. Tafuta interview Yake na Wasafi FM akiwajibu wanaotaka aweke Bilion 20 Simba. Kwa mdomo wake alimuuliza Maulidi Kitenge na Diamond Platinum " Hivi Mimi ni wa kukosa Bilion 20"


Tafuta hiyo interview
 
Na ndio maana nimeuliza hawa wanaosema bilioni moja ni ndogo humu wamewekeza au wana bilioni ngapi?! Sasa mtu leo ukishtuliwa tu 10m haraka haraka huna na wewe unavimba eti bilioni moja ni hela ndogo sana!
Kwahiyo Ukubwa au Udogo wa Bilion moja inategemea na Kama umewahi kuimiliki kumbe ?

Kwamba kama umewahi kuimiliki una authority ya kusema ni hela ndogo ila Kama hujawahi kuimiliki una haki ya kusema ni hela kubwa .


Bongo imejaa vichaa.
 
Hahahaha....bro...livin in different worlds..mim nna bachelor with horns from udsm class 2013..tena Coet...ni vile niko hiv yaan...mtoto wa mjin halaf nna akili kichwan..

Sio wew tu ambae hunielew .hata sekondar pia walikua hawanielew hata chuo pia...muaandaaj wa ma concert..tours lakin wakija kwenye pepa nawakamata...tunakesha club ..i ve been that way ever since....mi nmenunua gar yangu ya kwanza niko chuo mwaka wa pili...gx 100 used kwa mil5...hahahah.harakat kitambo bro
Hivi brother engineer unaijua kweli,yaani muda mwingi ukeshe club halafu uwakamate watu.Utawadanganya wenzio nahisi hata hichi unachokiandika uongo.

Yaani ulivyo fika sehemu hiyo ndio nimeona unatuuzia chai.
2457376_JamiiForums-621070314.jpg
 
Hahahah hiyo nimempa version ya kike..sabab dada aliomba maujuz....version ya kiume ni kwamba unafanya vile vile ila hauend kukaa unakua umesimama sehem ambayo kuna mchamganyiko wa watu weng huku ukichagua watoto wazur ambao wako loose...kinywaj kikishakolea flan ..yaan ukiwa tipsy...ndo unaenda ongea na mdada...mwombe umnunulie kinywaj..hapo akikubali kinywaj.yaan tayar hyo baba wala usiongee nae tena maswala ya kutongoza au sjui ooh nmekuelewa bla bla.we pigen stor zingne tu..yeye hapo anakua kashakuelewa kama umemuelewa..kama anakula mnunulie..hapo umemaliza..na usitake snaa kuondoka nae kupiga..weng wanakuaga wanachuo wanakuja tafta ma husband au wadada wajanja na si malaya..mwishon omba namba....mwambie sasa we itabid unitafte week ijayo twende kiwanja kingne etc..hapo confidence ya hali ya juu.atajiuliza huyu jamaa mbona ana confidence sana..hapo lazima atoe namba bila kupepesa macho.
Ila kuna maraia wajanja dah. Me najiona zwazwa.
 
Hahahah hiyo nimempa version ya kike..sabab dada aliomba maujuz....version ya kiume ni kwamba unafanya vile vile ila hauend kukaa unakua umesimama sehem ambayo kuna mchamganyiko wa watu weng huku ukichagua watoto wazur ambao wako loose...kinywaj kikishakolea flan ..yaan ukiwa tipsy...ndo unaenda ongea na mdada...mwombe umnunulie kinywaj..hapo akikubali kinywaj.yaan tayar hyo baba wala usiongee nae tena maswala ya kutongoza au sjui ooh nmekuelewa bla bla.we pigen stor zingne tu..yeye hapo anakua kashakuelewa kama umemuelewa..kama anakula mnunulie..hapo umemaliza..na usitake snaa kuondoka nae kupiga..weng wanakuaga wanachuo wanakuja tafta ma husband au wadada wajanja na si malaya..mwishon omba namba....mwambie sasa we itabid unitafte week ijayo twende kiwanja kingne etc..hapo confidence ya hali ya juu.atajiuliza huyu jamaa mbona ana confidence sana..hapo lazima atoe namba bila kupepesa macho.
Una niharibu tabia, mshahara wangu bado haujanitosha hahaaaaa
 
Haaaaahaaaaahaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787]

Hapa najiandaa women day....ila ninacheka kingese yaan....aah mabishoo mna kazi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaha....bro...livin in different worlds..mim nna bachelor with horns from udsm class 2013..tena Coet...ni vile niko hiv yaan...mtoto wa mjin halaf nna akili kichwan..

Sio wew tu ambae hunielew .hata sekondar pia walikua hawanielew hata chuo pia...muaandaaj wa ma concert..tours lakin wakija kwenye pepa nawakamata...tunakesha club ..i ve been that way ever since....mi nmenunua gar yangu ya kwanza niko chuo mwaka wa pili...gx 100 used kwa mil5...hahahah.harakat kitambo bro
Usisahau hao unabishana nao wengi wamepita unapopita sasa hivi au hio 2013! Be humble.
 
Hyo inakua ngum..ila kapo njia ya mbezi chin huku..ukipita rainbow njia ile inayoenda tokea kwa mwamunyange africana kule mbele....nataka nikahamishie goba ikiwezekana au niachane nacho kabisa .maana naona siiwez hyo biashara
hamishia sinza boss, tegeta au mbezi ya kimara, Goba naona kumepoa sanaaa, ni mtazamo tu
 
Back
Top Bottom