Hahahah hiyo nimempa version ya kike..sabab dada aliomba maujuz....version ya kiume ni kwamba unafanya vile vile ila hauend kukaa unakua umesimama sehem ambayo kuna mchamganyiko wa watu weng huku ukichagua watoto wazur ambao wako loose...kinywaj kikishakolea flan ..yaan ukiwa tipsy...ndo unaenda ongea na mdada...mwombe umnunulie kinywaj..hapo akikubali kinywaj.yaan tayar hyo baba wala usiongee nae tena maswala ya kutongoza au sjui ooh nmekuelewa bla bla.we pigen stor zingne tu..yeye hapo anakua kashakuelewa kama umemuelewa..kama anakula mnunulie..hapo umemaliza..na usitake snaa kuondoka nae kupiga..weng wanakuaga wanachuo wanakuja tafta ma husband au wadada wajanja na si malaya..mwishon omba namba....mwambie sasa we itabid unitafte week ijayo twende kiwanja kingne etc..hapo confidence ya hali ya juu.atajiuliza huyu jamaa mbona ana confidence sana..hapo lazima atoe namba bila kupepesa macho.