Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Hivi brother engineer unaijua kweli,yaani muda mwingi ukeshe club halafu uwakamate watu.Utawadanganya wenzio nahisi hata hichi unachokiandika uongo.

Yaani ulivyo fika sehemu hiyo ndio nimeona unatuuzia chai.
View attachment 1719991
Karib mkate ndugu . Ofisi zetu za umma hiz tunajiachia tuu.hata nkitaka ondoka muda huu naweza.....

Nakumbuka kipind niko first yr yule speshoz mshona masuti ya kina diamond nadhan ndo alikua anamaliza chuo...jamaa alikua mtu wa mambo meng sana alikua anani inspire sana alinambiaga mising flan hiv aisee..nai apply had leo..jamaa smart sana yule ....

Watu wa namna yangu wako weng sana Coet usiogope.....unamjua Atupele, au jamaa yangu TO wa mwaka 2008 form six...wale jamaa ni wala bata ila nenda class ndo utawajua vzur...mkuu kuwa mpole....koz za coet kama uko smart ni kawaida tu mkuu...ila kama ni mtu wa kukarir bas utapata tabu...sis wengne tuliteseka sana primary huku sekondar..tumesoma sanaaa tushakimbiza sanaa so vitu vime stick kichwa muda wote so hata unipeleke leo darasan ntakukimbiza tu
 

Umenikumbusha mwanangu mmoja alikua Tele Coet, kila weekend tupo Ile Club External pale now imevunjwa 2007 hiyo tunakaa bibo.

Mimi nilikua Cass huko ila mwamba alikua anajiachia siku za chuo anapiga kitabu. Now yupo Voda. Unavyosema sahihi jamaa anakuza tu labda watoto wa siku hizi mkuu.
 
Namjua Atupelle Kilindu tokea yupo Forodhani na alikuwa wa Sita kitaifa form 6 (Mzumbe),huku mwenzake Raymond Aidan (Kibaha) ambaye alisoma nae Forodhani alikuwa wa 2 kitaifa.

Nawajua vizuri tokea wapo O-Level ni watu wa misuli ,wewe mimi hunidanganyi,nimesoma nao kwa Mudi,Aiden na nimeshinda nao sana Tanganyika Library.
 
Hahaha.dah..bas sawa..yaan unanibishia had watu ambao nime hang nao..dah bas sawa....

Mida ya kaz hii..naona niseme siku njema kaka...
 
Mi nmeish nao for 4 yrs bro.hahah.dah..ambiance kwa sana..heb tufanye hiv....we amin unachoamin ila narudia tena kuna watu wanakula bata na class wako vzur

Watu walisoma sana ndio A level O level..ila chuo walikua hawana misuli hyo..hata mim nilikua nasoma sana huko ila chuo sikusumbuaga akili yangu....
 
Graduate wa udsm wanmwaka 2013 karibia wote ktk vyeti vyao waliwekewa status ya Hornor. Sikumbuki chuo kilipata status gan kimataifa waka share na graduate wao ..
 
Kula bata hata mimi nakula lkn si mda mwingi kushinda club na sometimes unaandaa bash huo muda wa promo unaupata wapi.

Sasa ngoja ni kwambie ,wale jamaa (Atupelle na Raymond) walikuwa wanakomaa,masaa saba Libray baada ya saa 12 kufunga wanaenda kwenye Libray moja ina milikiwa na wahindi ipo karibu na shule ya Kisutu,wanakaa wanasoma mpaka saa tatu.

Ninacho ongea na kijua na siku nyingine huko kwenye libray ya wahindi nilikuwa naenda nao,sijasoma nao advance lkn kipindi cha likizo tulikuwa tunakutana nao Advance still mwendo uleule.
 
kwahiyo kusukuma ndinga na kumiliki mademu ndo mafanikio?
 
Napoleone kumbe wa juzi kabisa wakati The Hill ikiwa imeashaanza kuita majina ya College. Mkumbukege kutupa shikamoo wadogo zetu. All in all hongera kwa Husle za maisha
 
kwahiyo kusukuma ndinga na kumiliki mademu ndo mafanikio?
Kusukuma ndinga ukiwa mwaka wa pili chuo unaona sio mafanikio usikaze ubongo kwamba gari mtu wa namna hiyo ina reflect alikuwa vizuri kivyovyote...nimesoma chuo nakiri sijaona Schoolmates au mwanafunzi yoyote anamiliki gari si gari hata hiyo 5M Cash humpati.

Hatuzungumzii miaka baada ya ku gradu

Kunapo vyeo mtu apewe vyeo vyake sio kuvimbiana
 
kwahiyo kumbe me nikiazima gari au nkasukuma ndinga za wazazi kwenda chuo ntaonekana nina mafanikio
 
Kama imeisha [emoji28][emoji28][emoji28] watu mna dharau ila

Moe namuona ona Havoc & East 24 Jumamosi
 
Soo sad hakua na bima. He was on the process. Siyo ukumbi, siyo bar, sijui supermarket etc chenye bima. Alikua yuko kwenye mchakato ndo shetani akaingilia. ...
Kwahiyo wale walokua wanahisi maybe bima sijui kachoma and everything. Hapana. Niliamini hivyo pia. Hoping all will go well.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…