Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

POLE SANA kwa Vijana wamiliki wa La Chaz, ndugu Urio na Mkewe Hellen, Pole kwa wanywaji wote na majirani kwa taharuki.
Ina bima kwahiyo italipwa tu
...Mkuu, mbona kun's Mkuu hapo almempa Pole Mtangazaji Charles Hillary??
Mmieliki haiisi nbi nvani??
 
Kuna kitu gani kipya pale ambacho kitaweza kufika hiyo hela kama wengine wanavyosema zile mbao mbao au??tuwe serious humu ndani....na ndugu yako alisimamia design yes what about material coz hapo umeongea vitu viwili tofauti kabisaaa..... Unaweza kuwa na design yes na still ukajenga affordable house...
Mi sina la kuongeza bana.
 
Nataka kujenga Bar Kama ile ya From Dusk Till Down, nitanunua nyumba kama 10 hapo Sinza navunja Nakutengeneza dude kama Dege kiwanja kikubwa cha parking Twisters, Bat women, Santamigo wote wa mjini humo.
Tatizo kupata masantamigo ndo ishu ila ma cow boy tupo.
 
Back
Top Bottom