Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Kwa bongo ni kawaida. Ila wasanii kwa kweli qa kukaa nao mbali. Weeee... hizo chain zao mpk unaogopa
Bado hatuna haki ya kusema flani yupo kwenye Grid, kwa maneno ya mtaani bila prove. Inawekezena yupo na inawezekana hayupo 😀😀
 
Acha tu, kila siku najifunza kuhusu mambo ya pesa. Ifike kipindi tutoke kuwa ma risk take na kuwa ma risk manager wazuri [emoji3][emoji3][emoji3]. Kuna hela nilishachukua nikawekeza sehemu nikakosea kuimanage , zilikuja lose mwanzo mwisho, cha kushukuru kulikuwa na backup ila nilisota sana hadi kuifikia hiyo backup. Tupambane ushindi upo mbeleni
Na hii ya backup ndo kila kitu. Huwa ukitegemea marejesho kwenye biashara moja wafwaaa...yaani hakikisha una vibiashara pembeni vya backup. Ndo maana duka la mrombo linauza chumvi, vitenge, mafuta ya taa, sukari, majani ya chai, ulezi, mahindi, magauni etc[emoji23][emoji23][emoji23] mikopo mutamu banaa...
 
Namjua huyo dada vzur mkuu...mabwana zake wengne wamekata moto tumewazika..mkuu mi ni mtoto wa mjin..hao wasanii wengne wanakuja actia kwenye mijengo ya wazee wetu..nawajua vzur hao..wooote..bongo muvi naijua vzur..wengne tushagonga na kugonga huko
Dah! Niwie radhi kwa kupinga mkuu, kwa mtu unae mfahamu. Samahani.
 
Narudia tena kusema 1 billion ni ndogo kwenye uwekezaji, ingawa thamani yake ni kubwa. Na huko mbeleni kama uchumi wa dunia hauto imarika vyema itakuwa utopolo kabisa hasa kwa wekezaji, maana ma vitu yana panda bei, sitoshangaa miaka kadhaa mbeleni mtu kuniambia ametumia zaidi ya 3 billionkwa club kama La chalz
Me nakwambiaje? Kuna kibiashara ushenz tu... ushenzi... hiyo hela iliyoenda hapo na ni renovation tu acha kbs. Ningekua sihudhurii site maybe ningebisha... ila naona... uamuzi ni wako.. ujenge kwa nondo ya elf 3 ama ya elf 10. Halaf thamani zifanane. Wanasahau pia kuna makorokoro kibao. Mavinywaji... hivi wadangaji ni asset ama liability?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji2088][emoji2088]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] u are the smartest kid. Sehemu nzuri ya kulala is everything. Ila mwanaume anayetoa hela ovyo ni weak. Pesa ni sabuni ya roho lakini nidhamu lazima iwepo. Dating a man anamisuse pesa ni hasara kubwa sana.
Tunao honga buku sie sio smart eeh ? Kuna wadada pale La Chalz, hadi walikuwa wanasonteana kidole, nikifika hata hawasogee ninapokaa, nikisha kula mbuzi, nachukua maji madogo na pokoni.. mwanzo walikuwa wakija nawapa buku wakagawane.. badae wakanipotezea tu 😀😀😀
 
Kidimbwi ama wapi[emoji23]

Leo nina muda...
Mi maeneo yangu..kidimbwi..samak samak.sku moja moja mediteraneo..nkitaka ogelea na chungulia biki.ni za watoto wazur naenda pale tanzanite mchana naoooga wee kama bata...

Nkiwa na watu wa maana utanikuta kwenye baa za goba za kiutu uzima...

Naatend sana events ..iwe miss nan sjui..nimo.iwe show wasafi nimo..iwe msanii gan kaja nimo..yaan mim

Maisha yenyew mafup haya dada angu.
 
Tunao honga buku sie sio smart eeh ? Kuna wadada pale La Chalz, hadi walikuwa wanasonteana kidole, nikifika hata hawasogee ninapokaa, nikisha kula mbuzi, nachukua maji madogo na pokoni.. mwanzo walikuwa wakija nawapa buku wakagawane.. badae wakanipotezea tu [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hasara kwa nani na faida kwa nani.... bora ulijikomboa... na make up zao zikichuruzika kama nawaina vile na ule wanja wa nitongoze nikutie njaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Pa1..usije gonga demu wa tasnia ya burudan bongo.utapotea...waangeliege tu..kuna list nikikupa hapa utashangaa snaa.ila siwez fanya hvyo
Dah! Na kwa sie ambao tuna ugomvi na condom tungekuwa tumeisha .. umenipa funzo hapa kubwa.
 
Mi maeneo yangu..kidimbwi..samak samak.sku moja moja mediteraneo..nkitaka ogelea na chungulia biki.ni za watoto wazur naenda pale tanzanite mchana naoooga wee kama bata...

Nkiwa na watu wa maana utanikuta kwenye baa za goba za kiutu uzima...

Naatend sana events ..iwe miss nan sjui..nimo.iwe show wasafi nimo..iwe msanii gan kaja nimo..yaan mim

Maisha yenyew mafup haya dada angu.
Looh, nimekumbika miss IFM. Bashite akaja na kajalawise[emoji23] mambo yalikua motoo...

Ila mimi sipendi heka heka. Nikiwa na hela yangu mara moja moja natoka naenda sehemu moja tulivu nakula na kunywa vzr kisha narudi zangu home. Sipendi heka heka...
 
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91] ila pisi kali unaoa? Ama za kupita tu
Pisi kali za kuoa siwez zitaftia maeneo kama hayo.....hao wanakua gf tuu na michepuko..

Urafik tuu na kuonjana kula raha..

Ila akitokea wakueleweka naweza oa..ingawa sjafkiria kuoa leo wala kesho
 
Ukitaka bikini ingia jangwani sea breeze pale watoto kama hawana wazazi vile
Mi maeneo yangu..kidimbwi..samak samak.sku moja moja mediteraneo..nkitaka ogelea na chungulia biki.ni za watoto wazur naenda pale tanzanite mchana naoooga wee kama bata...

Nkiwa na watu wa maana utanikuta kwenye baa za goba za kiutu uzima...

Naatend sana events ..iwe miss nan sjui..nimo.iwe show wasafi nimo..iwe msanii gan kaja nimo..yaan mim

Maisha yenyew mafup haya dada angu.
 
Dah! Na kwa sie ambao tuna ugomvi na condom tungekuwa tumeisha .. umenipa funzo hapa kubwa.
Katika mambo huwa siyafanyii mchezo ni kinga..mi ni [emoji91] ndio ila si.tomb bila condom hata siku1...na sichukuag wale wa barabaran au wale ma pro kabisa wa kujiuza...mi madem zangu wa ofisin...vyuon na videm vya mitaan hiv .unakikuta kinauza juice au stationery unabeba..ila kulala na malaya kabisa wale.sjawai
 
Back
Top Bottom