Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Sinza, Dar: La Chaaz Bar yateketea kwa moto

Soo sad hakua na bima. He was on the process. Siyo ukumbi, siyo bar, sijui supermarket etc chenye bima. Alikua yuko kwenye mchakato ndo shetani akaingilia. ...
Kwahiyo wale walokua wanahisi maybe bima sijui kachoma and everything. Hapana. Niliamini hivyo pia. Hoping all will go well.
Pole yake! Unawekeza kwenye biashara ambayo moto ni kawaida sana halafu unashindwa kuweka bima?!! Na bima ya majengo na vifaa ni ndogo sana basi tu tunaishi kwa mazoea.
 
Soo sad hakua na bima. He was on the process. Siyo ukumbi, siyo bar, sijui supermarket etc chenye bima. Alikua yuko kwenye mchakato ndo shetani akaingilia. ...
Kwahiyo wale walokua wanahisi maybe bima sijui kachoma and everything. Hapana. Niliamini hivyo pia. Hoping all will go well.
Ndo maana nikipataga hela zangu... Nazila Mimi kwanza sababu you don't know what tomorrow brings.
 
Pole yake! Unawekeza kwenye biashara ambayo moto ni kawaida sana halafu unashindwa kuweka bima?!! Na bima ya majengo na vifaa ni ndogo sana basi tu tunaishi kwa mazoea.
Mazoea ni mabaya sana. Yeye ndo alikua kwenye mchakato ndugu yangu. Ukiangalia ni biashara kubwa hapa. Ila ni mpambanaji. Atarudi tena. All is well
 
Mo ameshawahi kusema billion 20 ni hela ndogo Sana kwake. Tafuta interview Yake na Wasafi FM akiwajibu wanaotaka aweke Bilion 20 Simba. Kwa mdomo wake alimuuliza Maulidi Kitenge na Diamond Platinum " Hivi Mimi ni wa kukosa Bilion 20"


Tafuta hiyo interview
Unataka kufananisha kuweka 20Billion kwenye bar??inawezekana hapa topic ni La Chaaz na sio MO ofcoz unaweza ku invest any money sehemu yoyote kutegemea na biasharaa unayofanya so hapa hatuongelei mambo ya Diamond na MO....
 
Unataka kufananisha kuweka 20Million kwenye bar??inawezekana hapa topic ni La Chaaz na sio MO ofcoz unaweza ku invest any money sehemu yoyote kutegemea na biasharaa unayofanya so hapa hatuongelei mambo ya Diamond na MO....
Achana nae huyo hajui context. Ukimsumbua au kumdharau Mo kwa 20b atakwambia kwake ni hela ndogo sana....na tunarudi pale pale kwasababu anazo mara 1000 yake.
 
Achana nae huyo hajui context. Ukimsumbua au kumdharau Mo kwa 20b atakwambia kwake ni hela ndogo sana....na tunarudi pale pale kwasababu anazo mara 1000 yake.
Kabisaaa mkuu hapo hujakosea kabisaa mkuu nadhani unavyosema upo sawa kabisaaaa....Naona wengine wanachangia ila hawaelewi huu uzi umeanza wapi...
 
Soo sad hakua na bima. He was on the process. Siyo ukumbi, siyo bar, sijui supermarket etc chenye bima. Alikua yuko kwenye mchakato ndo shetani akaingilia. ...
Kwahiyo wale walokua wanahisi maybe bima sijui kachoma and everything. Hapana. Niliamini hivyo pia. Hoping all will go well.
Much Know utawaweza
 
Okay ...am home now..soo lets start like this

Pendeza..nukia...dont wear cheap fragrance..yaan uwe na scent ile ambayo ukipishana na mtu anageuka..lavender si lavender yaan unukie vzur..ujue sis wengne uki wear cheap perfume tunajua[emoji16]

Okay..kwenye nguo najua utakua unajua mwenyew..iwe casual or ki executive fresh tuu

Sasa ukifika pale..usiende kukaa kwenye kiti..maana utamu attract muhudum aje akuskilize..na hapo tayar umefanya kosa
Ukiingia tu moja kwa moja nenda kaunta cheka na mtu wa kaunta kama unamjua vile..kwa sisi wenye sound hii ni kitu rahis sanaaa[emoji16]

Pale sasa..kama unakunywa pombe..usiagize ma bia bia.achana nayo..kama kuna shots you can handle mwambia nipe shot unashtua kwanza..kwa sie ma konki ambao tayar ni famous maeneo hayo..shot ya 4000 nauziwa buk3 na wale wadada[emoji3]....

Kwanza kama kuna mtu hapo anakuangalia atasema dah huyu dada ni foreigne nin..maana una confidence ya hatar...

Hapo inakua tayar buku 4 imeenda...unakaa sasa unamwambia muhudum kama ana spirits au kilev chochote chenye kuanzia 35%...or kama hunywi pombe bas unaagiza chochote hapo nzur ni juice au hata cocktail flan ambayo haina kilev kikal..kama ni mtu wa pombe bas unamwambia akupe red label au k vant or wateva kachupa kadogo..mwambie akupe na li glass likubwa lile. Yaan hapo unaongea nae kama mshkaj kwa confidence. "akuwekee humo kwenye li glass lile la cocktail kubwa akuwekee na limao juu. Yaan aipambe glass vzur..halaf unachkua glass yako then unaenda kaa..kwa wewe mdada nenda kakae kwenye kochi usikae kwenye kiti kigum..tena kwa jeur unakaa hapo na kamto unakaweka vzur unaegemea na miguu kama una mguu mzur unauweka kama umekaa kwenye kochi la nyumban..aisee..mi ukinikuta na shemej yako maeneo.utadhan tuko sebulen kwetu...sasa ukifika muda wa msos...kwanza nilisahau..kama mfuko hauko vzur toka kwako umeshiba kabisaa..pale unafika muda unamwita muhudum akuletee mishkak ile mikubwa miwil. Kwa mdada unashiba kabisa..mishkak yetu ile huwa ni elf4 mmoja..ila ipo ya elf mbili..agiza akuletee pale . Hapo glass lako unavuta tuu mdogo mdogo na straw/mrija..hapo aisee unaweza kaa mda wowote..ukiona kinywaj kimekolea sana na kama una drive..bas badae agiza vimaj unakunywa mdogo mdogo..unashangaa umetumia 50 tuu na umeburudika swaaaf....nenda sehem za kijanja..dj mjanja..sio unaenda mahala dj anapiga bongo fleva tuu kelele nyiiing au bolingo..mi huwez nikuta huko...mi nikiskia johm delinga anapiga mahala nipo..ma dj wajanja wale kina peter more etc..wapo ma dj wajanja hata samak samak..yaan unakula mzik mtamu...ukimaliza hapo unaondoka zako...weekend well spent.

[emoji23][emoji23][emoji23]mwalimu sawa nimekusoma
 
Vijana nyie sielew mnashangaa nin..ni vijana wa mkoan nn...hiv unajua usipokua na speed ya utaftaj mjin huku utakua na hasira tu mda wote...ukitaka uone gap la vijana wenzio hudhuria ma event haya...ukiskia sjui diamond ana show nenda ukiskia miss Tz.nenda ukiskia sjui nn.hudhuria.halaf uone vijana umri wako wanaskuma ndiga gan..au wanamilik madem wa aina gan..ukikaa umejifungia ndan tuu utahis wote mko sawa..yaan haujichallenge maisha....vijana tembeen mujionee..msipitwe na muda....
Upo sahihi
 
Naomba unidokeze utakapoenda kufanya practical ili niwe around kuhakikisha somo limeeleweka.

Haya mafunzo imebidi niya save sehemu kwanza maana somo ni gumuu
Nimeanza kusoma mwanzo kufika katikati nimekuwa hoves[emoji56][emoji56]nimewaza haya yote nitakuwa nafanya kumvutia nani
Nilipochoka zaidi ni hapo kama nina kamguu kazuri nikaonyeshe nikiangalia tumiguu sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haya mafunzo imebidi niya save sehemu kwanza maana somo ni gumuu
Nimeanza kusoma mwanzo kufika katikati nimekuwa hoves[emoji56][emoji56]nimewaza haya yote nitakuwa nafanya kumvutia nani
Nilipochoka zaidi ni hapo kama nina kamguu kazuri nikaonyeshe nikiangalia tumiguu sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah .mdau.....usiogope.. u ll witness the magic from it...men fall for little things

Ndo nmeingia home hapa..
 
Kusukuma ndinga ukiwa mwaka wa pili chuo unaona sio mafanikio usikaze ubongo kwamba gari mtu wa namna hiyo ina reflect alikuwa vizuri kivyovyote...nimesoma chuo nakiri sijaona Schoolmates au mwanafunzi yoyote anamiliki gari si gari hata hiyo 5M Cash humpati.

Hatuzungumzii miaka baada ya ku gradu

Kunapo vyeo mtu apewe vyeo vyake sio kuvimbiana
Sasa huu mstari wa kwanza ulikua unauliza,unashangaa au unatoa taarifa? Umesoma alafu hujui kuandika alafu unamwita binaadamu mwenzio ana kichwa kizito
 
Namjua Atupelle Kilindu tokea yupo Forodhani na alikuwa wa Sita kitaifa form 6 (Mzumbe),huku mwenzake Raymond Aidan (Kibaha) ambaye alisoma nae Forodhani alikuwa wa 2 kitaifa.

Nawajua vizuri tokea wapo O-Level ni watu wa misuli ,wewe mimi hunidanganyi,nimesoma nao kwa Mudi,Aiden na nimeshinda nao sana Tanganyika Library.
doh R.I.P mudy..umenikumbusha ulivyomtaja mzee wa physics
 
Soo sad hakua na bima. He was on the process. Siyo ukumbi, siyo bar, sijui supermarket etc chenye bima. Alikua yuko kwenye mchakato ndo shetani akaingilia. ...
Kwahiyo wale walokua wanahisi maybe bima sijui kachoma and everything. Hapana. Niliamini hivyo pia. Hoping all will go well.
Duuu7h poleeh yake
 
Back
Top Bottom