.wauza niniMfike dukan kwetu sinza Mori tunatazamana na bigbon sheli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.wauza niniMfike dukan kwetu sinza Mori tunatazamana na bigbon sheli
Magauni, na suti za kina mama kutoka uturuki na mashati ya kiume... Mzee mzabzab.wauza nini
Ah so hapo mishangazi inakujaga au sio. Basi mie naomba nikae hapo dukani napitisha muda. Nitalipa 5k na lunch nitakununulia just for 1 month am sure nitapata lishangazi lakunileaMagauni, na suti za kina mama kutoka uturuki na mashati ya kiume... Mzee mzabzab
Inakujaga mishangazi ya maana kabisa hiyo hela Anza kuituma sasa!Ah so hapo mishangazi inakujaga au sio. Basi mie naomba nikae hapo dukani napitisha muda. Nitalipa 5k na lunch nitakununulia just for 1 month am sure nitapata lishangazi lakunilea
Hiyo ni roho mbaya, fukani tunavyo vitabu vya dini kwa sababu sisi ni watu wa mungu na matoleo yetu kanisani na misikitini yamenona, Kaisari lazima apewe chake.utakatishaji wa pesa huo...ukija kuhojiwa unasema umeuza t-shirt mbili zenye thamani ya milioni 3 kumbe ushauza gramu kadhaa za pele.
ChumbavuBumbavu.
endelea kukaza fuvu wakati wenzio wanaenda mbeleHii hii ambayo ndege inaanguka kwenye 1.01× au wao wana aviator yao special
Anamtaja huyo mpemba wa kigamboni badala aseme shkubaSkaba scuba unamjua au unachafua watu tu?
Simu yako inaweza kukuletea hela ukiwa hata bafuni unaoga...badili fikra zako ili uweze Kuona zaidi ya hizo T shirts,n.kKwani wao waweze wana nini na sisi tushindwe tuna nini, tupeane madini please.
Huku wengine tunawahi kuamka kwenda makazini, vibaruani, madukani, maofisini, n.k. kuna wenzetu wenye frem Sinza wanaamka saa tatu jua lishachomoza
Maduka yanafunguliwa saa nne hadi tano, ajabu vitu vinavyouzwa ni vichache vinahesabika lakini ndani kuna AC, Wifi, Dstv, misosi ya maana inaletwa halafu nje imepaki chuma ya bei ndefu.
Tufumbuane macho
Hamna duka la namna hiyo Sinza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu analipa kodi ya frame 1.2m kwa mwezi halafu ukiangalia ndani vitu anavyouza unakuta jumla ya thamani yake haifiki hata laki 6 [emoji39][emoji39]🫣