Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa si ungetoa taarifa za kutosha kuweza kufahamika ? kwa jinsi ulivyotoa taarifa ni kama vile kila mtu anaishi karibu naye au kama vile kuna Wambura mmoja tu nchi nzima.Huyu naye ni wa hapa hapa sinza kwa Lemi, ana bastola lakini ana akili kama za yule aliyeua, msijesema hatukuwaambia,enyi polisi, huyu hutoa silaha hadharani na kutishia,
Labda wana undugu sema mmoja ni mura mwingine ni mangiHuyu naye ni wa hapa hapa sinza kwa Lemi, ana bastola lakini ana akili kama za yule aliyeua, msijesema hatukuwaambia,enyi polisi, huyu hutoa silaha hadharani na kutishia,
Sinza kuna kina Wambura zaidi ya mia. Toa maelezo yaliyoonyoka vijana wa Muliro wamtilie timu hapo.Huyu naye ni wa hapa hapa sinza kwa Lemi, ana bastola lakini ana akili kama za yule aliyeua, msijesema hatukuwaambia,enyi polisi, huyu hutoa silaha hadharani na kutishia,
Toa details za kutosha mkuu. Kwani hujui wakina Wambura wako wengi sana?!Huyu naye ni wa hapa hapa sinza kwa Lemi, ana bastola lakini ana akili kama za yule aliyeua, msijesema hatukuwaambia,enyi polisi, huyu hutoa silaha hadharani na kutishia,
AiseeSinza kuna kina Wambura zaidi ya mia. Toa maelezo yaliyoonyoka vijana wa Muliro wamtilie timu hapo.
Nyasho mtaa nimekaa sanaWambura muda huu anajiandaa kuhama sinza anarudi nyasho
Wengine hatumfahamu labda ulete hapa tuzijue sifa zakeVipi mume wa Zamaradi?
Haaa haa haa ndiyo anarudi huko kuanza upya maana kaanza kusagiwa kunguni[emoji3]Nyasho mtaa nimekaa sana