Sinza kuna mtu anaitwa Wambura, naye hutishia watu bastola hadharani

Sinza kuna mtu anaitwa Wambura, naye hutishia watu bastola hadharani

Huyu naye ni wa hapa hapa sinza kwa Lemi, ana bastola lakini ana akili kama za yule aliyeua, msijesema hatukuwaambia,enyi polisi, huyu hutoa silaha hadharani na kutishia,
Polisi wa Tanzania ni wapuuzi sana, wanaongea utafikiri wanaelewa wanafanya nini kumbe hamna kitu. Kuna yule mtoto wa waziri wa zamani (Marehemu Mungai), jamaa kila akilewa au akiona mtoto mzuri analazimisha kuwa naye akamle na siagi....jamaa wa huyo mtoto akiingilia anatishiwa kushutiwa bastola na polisi wanalijuwa hili suala ila wako kimya tu, wanasubiri mtu afe waje kujitapatapa hapa.
 
Polisi wa Tanzania ni wapuuzi sana, wanaongea utafikiri wanaelewa wanafanya nini kumbe hamna kitu. Kuna yule mtoto wa waziri wa zamani (Marehemu Mungai), jamaa kila akilewa au akiona mtoto mzuri analazimisha kuwa naye akamle na siagi....jamaa wa huyo mtoto akiingilia anatishiwa kushutiwa bastola na polisi wanalijuwa hili suala ila wako kimya tu, wanasubiri mtu afe waje kujitapatapa hapa.
Utawala wa sheria Tanzania bado saana...njoo tujiunge kudai katiba mpya kiongozi.

Haya huyapati ndani ya hii katiba ya CCM ya mwaka 1977.
 
Afadhali huyo yeye huwatishia warisya wanaomzingua sio kama yule mangi chizi aliyeua dogo wa watu bila hata sababu za kueleweka
 
We Mzee sasa upumzike! Kwenye matukio hukosekani 😂😂😂
Nna mwaka sahv bar sijakanyaga.

Sehemu zang za kunywa najichanganya na wazee au kwa mangi.

Hapo lemax pembeni kna saloon moja ya jamaa mmja anaitwa shafii nilikuwa nkipita hapo naishia hapo kama bia zinanyweka nje.

Huyo jamaa nishabahatika ona makeke yake mitaa hiyo.

Ah mambo ya bar sjui kidimbwi huko sahv hawatupati mzee maana ss wengine wanyonge.

Tusije tukatolewa uhai bure😂😂.

Nmekoswakoswa kwenyw matukio ya bar zaidi ya 8 mambo ya kwenye vilevi nna uzoefu napo sana sema uzuri si wengine hatunaga hasira tunajua namna ya kudeal na watu.

Mtu akikutukana akikusukuma inshalahhh

Ova
 
Polisi wa Tanzania ni wapuuzi sana, wanaongea utafikiri wanaelewa wanafanya nini kumbe hamna kitu. Kuna yule mtoto wa waziri wa zamani (Marehemu Mungai), jamaa kila akilewa au akiona mtoto mzuri analazimisha kuwa naye akamle na siagi....jamaa wa huyo mtoto akiingilia anatishiwa kushutiwa bastola na polisi wanalijuwa hili suala ila wako kimya tu, wanasubiri mtu afe waje kujitapatapa hapa.
Mlieni taiming mumnyanganye hiyo silahaa kabla hajasababisha madhara zaidi,mkitegemea sana police itakula kwenu, police huwa wanasubiri hadi Jinai itendeke ndiyo wanajitokeza!!
 
Back
Top Bottom