Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumsaidie kukuza masikioSheria ya kumiliki silaha iangaliwe upya... chini ya miaka 40 ni tatizo kubwa...
Sasa mnaona jamaa katuachia mkewe - tufanyeje ssa sisi majirani?
Alex Korosso wachaga wamemkana. Huyu ni MNYAKYUSA wa Mbeya. Wachaga wakiua huwa hawajiui na wao. Ukiona mtu kajiua ujue ni mhehe au mnyakyusa.Wachagga msianze kurusha Mpirra kwa Wakurya, pambaneni na hali yenu ya Ukatiri kwanza, Wambura anaingiaje hapo? Kwani
Ufffoo Sarro!...
Polisi wa Tanzania ni wapuuzi sana, wanaongea utafikiri wanaelewa wanafanya nini kumbe hamna kitu. Kuna yule mtoto wa waziri wa zamani (Marehemu Mungai), jamaa kila akilewa au akiona mtoto mzuri analazimisha kuwa naye akamle na siagi....jamaa wa huyo mtoto akiingilia anatishiwa kushutiwa bastola na polisi wanalijuwa hili suala ila wako kimya tu, wanasubiri mtu afe waje kujitapatapa hapa.Huyu naye ni wa hapa hapa sinza kwa Lemi, ana bastola lakini ana akili kama za yule aliyeua, msijesema hatukuwaambia,enyi polisi, huyu hutoa silaha hadharani na kutishia,
Utawala wa sheria Tanzania bado saana...njoo tujiunge kudai katiba mpya kiongozi.Polisi wa Tanzania ni wapuuzi sana, wanaongea utafikiri wanaelewa wanafanya nini kumbe hamna kitu. Kuna yule mtoto wa waziri wa zamani (Marehemu Mungai), jamaa kila akilewa au akiona mtoto mzuri analazimisha kuwa naye akamle na siagi....jamaa wa huyo mtoto akiingilia anatishiwa kushutiwa bastola na polisi wanalijuwa hili suala ila wako kimya tu, wanasubiri mtu afe waje kujitapatapa hapa.
We Mzee sasa upumzike! Kwenye matukio hukosekani 😂😂😂Huyu si alifanyaga tukio moja hapo opp na Palestine ilikuwa wakati watu wanangia mpira
Ova
We Mzee sasa upumzike! Kwenye matukio hukosekani 😂😂😂
Muache. Huyo ni enclodepia wa matukio ya Dar downtown!We Mzee sasa upumzike! Kwenye matukio hukosekani 😂😂😂
Naja, tena fasta fasta🏃♂️Utawala wa sheria Tanzania bado saana...njoo tujiunge kudai katiba mpya kiongozi.
Haya huyapati ndani ya hii katiba ya CCM ya mwaka 1977.
Nna mwaka sahv bar sijakanyaga.We Mzee sasa upumzike! Kwenye matukio hukosekani 😂😂😂
Kwani hao akina Wambura wote wana tabia ya kutoa bastola hadharani?Wambura wapo wengi
Umfatilie au usiende kwenye bar hiyo..!?Huwa anapendelea kwenda Bar gani huyu, tumfatilie.
Atoe a.k.a yake huyo anayetoa toaKwani hao akina Wambura wote wana tabia ya kutoa bastola hadharani?
Chief kwani huwezi kutumia hata "Elimination Method?"
Mbona huyo koroso ni mnyakyusa weweAfadhali huyo yeye huwatishia warisya wanaomzingua sio kama yule mangi chizi aliyeua dogo wa watu bila hata sababu za kueleweka
Ah mzee nmetulia tena nmekuwa mpoleWe Mzee sasa upumzike! Kwenye matukio hukosekani 😂😂😂
Mlieni taiming mumnyanganye hiyo silahaa kabla hajasababisha madhara zaidi,mkitegemea sana police itakula kwenu, police huwa wanasubiri hadi Jinai itendeke ndiyo wanajitokeza!!Polisi wa Tanzania ni wapuuzi sana, wanaongea utafikiri wanaelewa wanafanya nini kumbe hamna kitu. Kuna yule mtoto wa waziri wa zamani (Marehemu Mungai), jamaa kila akilewa au akiona mtoto mzuri analazimisha kuwa naye akamle na siagi....jamaa wa huyo mtoto akiingilia anatishiwa kushutiwa bastola na polisi wanalijuwa hili suala ila wako kimya tu, wanasubiri mtu afe waje kujitapatapa hapa.