BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Hapo huna cha kuwaaminisha ni kukubaliana na fedheha maisha yaendeleeUnawaambia tu mi nilikuwa napita njia nimetoka Karikoo naenda stendi ya Kibamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo huna cha kuwaaminisha ni kukubaliana na fedheha maisha yaendeleeUnawaambia tu mi nilikuwa napita njia nimetoka Karikoo naenda stendi ya Kibamba
Ukiwa shoga halafu ukaufanya ushoga wako kwa faragha, haina tatizo, changamoto ni kuwa shoga halafu unataka sie tujue wewe ni shogaMbona kwa mashoga huwa hamsemii hii ya faragha ya watu? Kimewalambaaa eeeh?
www.jamiiforums.com
Walianzia kutufungia website za porno tukala buyu wameamia kwenye machimbo yetu bado tunaendelea kula buyu hawa dawa zao ni kupelekea moto wake zao tu.Serikali mmevuka mipaka sasa 😡😡😡
Ajali kama ajali nyingine ausio !!?
Life is full of uncertaintiesHapo huna cha kuwaaminisha ni kukubaliana na fedheha maisha yaendelee
Ukimuohoji mdada mmoja hapo utasikia aliamua kuingia kwenye biashar hiyo baada ya TRA,au jiji kuua biashara yake.Msako uliofanyika Ubungo Riverside unaendelea Sinza. Nadhani muda wa kwenda viwanja mbali na maeneo ya uyu Mkuu wa Wilaya.
View attachment 3018359View attachment 3018360View attachment 3018361View attachment 3018362
Hapa naona ni mitaa ya Vibe Lounge (zamani Corner Bar) Sinza Mori.
Shit happenLife is full of uncertaintie s
Hao wanaotoa amri, na wale wanaoendesha zoezi la kuwakamata wanaojiuza baa na barabarani wake zao pia wanajiuza maofisini na kwenye biashara.Msako uliofanyika Ubungo Riverside unaendelea Sinza. Nadhani muda wa kwenda viwanja mbali na maeneo ya uyu Mkuu wa Wilaya.
View attachment 3018359View attachment 3018360View attachment 3018361View attachment 3018362
Hapa naona ni mitaa ya Vibe Lounge (zamani Corner Bar) Sinza Mori.
Alama ya mashoga ni upinde, wanataka kila tukiona rangi ya upinde tujue ni wao?Na hao dada poa kwanini wanataka kila mtu ajue wao dada poa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanamtegemea mjasiriamali, (mfanya biashara), asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzinguka kwenye hayo kuna mambo makuu manne yaliyo jificha, 1. Maamuzi ya kisiasa ambayo yanaweza sabisha biashara zikue ama kufa, 2. JINSi gani serikali iliyoko madarakani imejipanga kuinua kipato cha mtu mmojammoja, 3.shughuli mbalimbali za watu na elimu za watu hao huchagiza biashara eneo husika,4.mabadiliko ya teknolojia je wananchi wanaufamu wa kutosha kuweza kubadilika jinsi teknolojia inavyo badilika kwa mfano kuna baadhi hawawezi kufanya wenyewe miamala kwenye simu mpaka msaada wa mtu mwingine, (wakala) ama vinginevyo. Baada ya kusema hayo hii asilimia 20, Ina nguvu hata kuuwa biashara kama jamii zetu zitaendelea kufumba macho kwakuto buni mbinu za kukabiliana na hayo yaliyo jificha ambayo mjasiriamali ama mfanya biashara hana ubavu nayo, bahati nzuri ninajuvunia kwamba Nina andika la kwanini biashara zinakufa na nini kifanyanyike, pia naandika kitabu cha ujasiriamali ambacho utakisoma unakiweka kwapani unaanzisha biashara yaani simama dede, (stay tuned)Ukimuohoji mdada mmoja hapo utasikia aliamua kuingia kwenye biashar hiyo baada ya TRA,au jiji kuua biashara yake.
Hivi hii ni story ya ukweli au tunapigwa changa la macho tu, wabunge wako wapi sasa hapa?Msako uliofanyika Ubungo Riverside unaendelea Sinza. Nadhani muda wa kwenda viwanja mbali na maeneo ya uyu Mkuu wa Wilaya.
View attachment 3018359View attachment 3018360View attachment 3018361View attachment 3018362
Hapa naona ni mitaa ya Vibe Lounge (zamani Corner Bar) Sinza Mori.
Yaani kama una laki ya fasta unatoa ila kama hauna mbona rangi zote utaona.Kuna situation nyingine sio za kuomba uzipitie imagine na wewe ni miongoni mwa wanaume watano mliokamatwa mkinunua papuchi kwanza unawaambia nini watu. Kazini wanakutafuta unawaambia nipo selo kwa kosa lipi na umekamatwa sinza wakati unaishi kibamba
🤣🤣🤣Mkuu umeuwa bendi bigapHao wanaotoa amri, na wale wanaoendesha zoezi la kuwakamata wanaojiuza baa na barabarani wake zao pia wanajiuza maofisini na kwenye biashara.
Unafiki tu unawasumbua.