Sinza: Madada Poa 25 na Wateja wao 5 wadakwa na Polisi

Sinza: Madada Poa 25 na Wateja wao 5 wadakwa na Polisi

Ni kweli,hao unaowaona barabarani ni cheap,ila hao wa gharama wamo maofisini tunafanya nao kazi kila siku

Hujawahi jiuliza msichana yuko single miaka nenda rudi anapata 350,000/= kwa mwezi,hana biashara yoyote,familia yao ni ya kawaida kabisa lakini anaendesha Forester ya m35 na kuendelea(full ac daily) ,analipa nyumba 400,000/= kwa mwezi.anaenda vacation Turkey dubai.Nadhani serikali ilitakiwa iwe inawahoji watu wa namna hii.

Grades tu zinatofautiana.
 
Na hao dada poa kwanini wanataka kila mtu ajue wao dada poa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko ulaya pia wanajianika barabarani usiku wanaitwa wa red light. Wanakaa ktk mataa ya kuongoza magari ili wweze kuonekana. Wengine pia wanajiuza ktk vyumba kama bucha za nyama ila wanalipia leseni na kodi. Kama wanaoenda huko hawaelezi haya ni waongo. Kuna changu kupita wa hapa. Biashara iko kila nchi. Ukienda nchi nyingine kuna baa za wapenzj wa jinzia moja na ukiingia huko unaweza kutupiwa mchele na wa jinzia yako. Kama hujaenda huko ujue haya utayaona.
 
Hii nchi ina matatizo lukuki.

Ila viongozi wetu kutwa kutafuta sifa kwenye mambo mepesi mepesi tu.

Sasa nani anashindwa kukamata hao kina dada??

Mbona hatuwaoni mkijitangaza kuondoa umaskini kumaliza tatizo la maji, kuboresha elimu au huduma za kiafya??
 
Back
Top Bottom