Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Hivi Hawa viongozi huwa wanapimwa afya ya akili kabla ya teuzi
Sema mkuu kuna energy unaipunguza mno , jaribu kukaa bila ku ejaculate kwa mda hata wa miezi sita utagundua upo tofauti kabisaWanasayansi na watafiti wamethibitisha nyeto haina madhara yoyote tena ni afya.
Ni akili fupi hasa. Hii ndio kupewa cheo ukiwa huna vision
Asilimia 80 ya mafanikio kwenye biashara yanamtegemea mjasiriamali, (mfanya biashara), asilimia 20 ni mjasiriamali na yanayomzinguka kwenye hayo kuna mambo makuu manner, 1. Maamuzi ya kisiasa ambayo yanaweza sabisha biashara zikue ama kufa, 2. JINSi gani serikali iliyoko madarakani imejipanga kuinua kipato cha mtu mmojammoja, 3.shughuli mbalimbali za watu na elimu za watu hao huchagiza biashara, 4.mabadiliko ya teknolojia je wananchi wanaufamu wa kutosha kuweza kubadilika jinsi teknolojia inavyo badilika kwa mfano kuna baadhi hawawezi kufanya wenyewe miamala kwenye simu mpaka msaada wa mtu mwingine, (wakala) ama vinginevyo. Baada ya kusema hayo hii asilimia Ina nguvu hata kuuwa biashara kama jamii zetu zitaendelea kufumba macho kwakuto buni mbinu za kukabiliana na hayo yaliyo jificha ambayo mjasiriamali ama mfanya biashara hana ubavu nayo, bahati nzuri ninajuvunia kwamba Nina andika la kwanini biashara zinakufa na nini kifanyanyike
Kwa niaba ya wana JF,tunawatafuta ndugu zetu jinsia ya kiume ambao ni mzabzab pamoja na Mzee wa kupambania
Kwa yeyote aliyekaribu na hiko kituo cha polisi tunaomba akaulizie kati ya hao wateja 5 huenda tukawapata😅
Asante sana.
Alfajiri hii nimekuta sehemu anashauri wana JF bora kununua kikojoleo.🤣mzabzab hawezi kunaswa hapo, amejisajili Chama la dronedrake
Haa wee inahitaji muda na bundle, kila biashara itakuwa na changamoto zake na mpango wake wa biashara yaani andiko la mpango wa biashara, hakuna andiko la mpango wa biashara kwa biashara zote lakini nimeandika dodoso la maswali ukilijibu utakuwa umeandika mpango wako wa biashara husika japo inatakiwa kuwa na template yaani mfano wa andiko la mpango wa biashara hata 2 hivi siyo kazi rahisi narudia binadamu ana akili sana lakini binadamu huyo huyo ni mvivu wa kufikiri 😂, la (practical skills), ni sifa za mjasiriamali ambazo zipo nilizo zijengea dhana yake Kwa jina langu dhana inaitwa HARABA tool ambazo ni sifa msingi Kwa kila mjasiriamali ama mfanya biashara kuenenda ili aweze kufanikiwa, yajayo yanafurahishaHongera mkuu kwa kudadavua .tafadhali ukituwekea sammary ya hizo sababu halisia (practical reasons siyo zile za vitabuni) zinazofanya biashara kufa.ikipendeza kwa kila aina ya biashara.hasa biashara zile za kawaida (maduka,ufugaji,kilimo,mamantilie,genge) nk
Kuna machangudoa wengi tu umefanya nao. Wanakuwa wamevaa ushungi, magauni marefu, wanakuwa wanafanya kazi ofisini au wapo nyumbani. Wanakuita Love au Babe. Wengi tu sema hujui.Ila nyege mbaya sana..hivi kweli mtu unaingiza uboo wako kwa hao wanawake ninaowaona hapo?
Alfajiri hii nimekuta sehemu anashauri wana JF bora kununua kikojoleo.🤣
Looser ndo nini?Anaitwa nani huyo mkuu wa Wilaya ndugu yangu mwasibu? "Mo karudi, Simba bingwa wa looser cup"
Tumsaidie sana kwa hilo ..Basi anahitaji maombi ya ziada na semina elekezi.
Lakini Bado sijaelewa jambo Moja, inamaana huu msako unalenga baadhi ya maeneo au ukikutwa popote unaombwa cheti Cha ndoa?
Namaanisha wanaweza kuvamia nyumba ya wageni na kuanza purukushani zao?
Ahahahaha astakafillahHii picha mbona km Afande ana tamani nyash ya dada poa, sio kwa jicho hilo, alivyo buzzy kutazama trakooo ukute anawaza kumfir......a woiiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3018471
Usanii tu, hakuna kitu CCM huwa wanafanya kwa userious...
Ni kweli,hao unaowaona barabarani ni cheap,ila hao wa gharama wamo maofisini tunafanya nao kazi kila sikuKuna machangudoa wengi tu umefanya nao. Wanakuwa wamevaa ushungi, magauni marefu, wanakuwa wanafanya kazi ofisini au wapo nyumbani. Wanakuita Love au Babe. Wengi tu sema hujui.
Hii picha mbona km Afande ana tamani nyash ya dada poa, sio kwa jicho hilo, alivyo buzzy kutazama trakooo ukute anawaza kumfir......a woiiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3018471