Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Thread was deleted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mkaazi wa hayo maeneo?Kunja vizuri uzi wako,uweke mfukoni, nenda hapo mbele kuna banda la mama ntilie unywe chai na mihogo,ni njaa
Ila dela bila chupi qqmmkk linaamsha..Waache wadada wavae dela bila chupi...cha muhimu kuwa makini jilinde na ujikinge...usipougua ngoma utaugua gono..😁😁
Balaa...mbaya zaidi mvaa dela awe anatoa kwa mparange...hapo ndio utaamini ule usemi wa mwanamke ni wakala wa shetani 😁😁😁Ila dela bila chupi qqmmkk linaamsha..
Wakala 🤣🤣🤣Balaa...mbaya zaidi mvaa dela awe anatoa kwa mparange...hapo ndio utaamini ule usemi wa mwanamke ni wakala wa shetani 😁😁😁
Shekilango mpaka bamaga so ndiyo sinza yenyewe!!?Kuanzia Shekilango hadi Bamaga kuna laaana tu. Mabaharia wa Mjini wooote unaowajua wanaVimichepuko kanda hiyo. Biashara waliyoamua kuwafungulia Bibie wadogo zao ni Biashara ya Nguo, vipodozi na Saluni. Inshort Sinza kucheleeeee
Umefuata nini huko panapotia kinyaa?Napitaga mara moja moja haya maeneo
But yanatia kinyaa...
Chapombe kama wote, ma bar yamejazana tu kama vile uliletwa duniani kulewa
Wanawake wasiojistiri ndio kwao huku
Si ajabu kupishana na jitu zima kabisa lakin uvaaji wake ni matatizo tu
Kuna haja ya serikali kuyapiga sanitizers haya maeneo.
Tena ya nguvu, kiwango cha SGR
Uzi tayar
Nenda Tabata sasa ndio utajua hujui shetani alizaliwa wapi, kakulia wapi na anaishi wapiNapitaga mara moja moja haya maeneo
But yanatia kinyaa...
Chapombe kama wote, ma bar yamejazana tu kama vile uliletwa duniani kulewa
Wanawake wasiojistiri ndio kwao huku
Si ajabu kupishana na jitu zima kabisa lakin uvaaji wake ni matatizo tu
Kuna haja ya serikali kuyapiga sanitizers haya maeneo.
Tena ya nguvu, kiwango cha SGR
Uzi tayar
NapitagaUmefuata nini huko panapotia kinyaa?
Mbowe sio gaidi
Kwenye uzi wangu nimemuita gaidi?Mbowe sio gaidi
🤣Nenda Tabata sasa ndio utajua hujui shetani alizaliwa wapi, kakulia wapi na anaishi wapi