Sinza na Mwenge kuna matatizo makubwa sana

Sinza na Mwenge kuna matatizo makubwa sana

Sasa hivi hayo maeneo ni ya kibiashara zaidi. Maofisi, maduka, mahoteli, na apartments. Gone are those days, gambe zinaanzia Shekilango mpaka Bamaga
Ukanda wa Gaza wale kuku walikua wanapangwa mchana, saa mbili usiku wamekwisha.
 
Sasa mkuu hao unaowaita Chapombe, umewahi kuwapatia hata mia mbovu?

Au hao unaosema hawajistiri, umewahi kuwasaidia nini au wamekupunguzia kitu gani kwenye maisha yako?

Makanisani kwenyewe siku hizi watu wanavaa vimini na mataiti.
Mpaka msikitin wanavaa wanawake vimini

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Mijimama inatembea na vichupi
Wala hata haijali
Nipo mwenge hapa saa hii.... emby nielekeze nipite chochoro ipi aisee.... nielekee huku kwa mwingira au nipite huku mlalakuwa? Au kule cocacola? Au sokoni.... nataka nione dela bila chupi sasa hivi nifurahi....
 
Back
Top Bottom