Sinza na Mwenge kuna matatizo makubwa sana

Waache wadada wavae dela bila chupi...cha muhimu kuwa makini jilinde na ujikinge...usipougua ngoma utaugua gono..😁😁
 
Kuanzia Shekilango hadi Bamaga kuna laaana tu. Mabaharia wa Mjini wooote unaowajua wanaVimichepuko kanda hiyo. Biashara waliyoamua kuwafungulia Bibie wadogo zao ni Biashara ya Nguo, vipodozi na Saluni. Inshort Sinza kucheleeeee
 
Kuanzia Shekilango hadi Bamaga kuna laaana tu. Mabaharia wa Mjini wooote unaowajua wanaVimichepuko kanda hiyo. Biashara waliyoamua kuwafungulia Bibie wadogo zao ni Biashara ya Nguo, vipodozi na Saluni. Inshort Sinza kucheleeeee
Shekilango mpaka bamaga so ndiyo sinza yenyewe!!?
 
Umefuata nini huko panapotia kinyaa?
 
Nenda Tabata sasa ndio utajua hujui shetani alizaliwa wapi, kakulia wapi na anaishi wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…