Sio kila mwanamke anafaa KUOLEWA wengine wameumbwa kwa ajili ya kusterehesha wanaume ukilazimisha kumuoa wa namna hiyo basi kama sio jela utakufa tu

Sio kila mwanamke anafaa KUOLEWA wengine wameumbwa kwa ajili ya kusterehesha wanaume ukilazimisha kumuoa wa namna hiyo basi kama sio jela utakufa tu

Wakuu kufuatia tukio lililotokea juzi jijini mwanza kwa wanandoa kutoana uhai basi nimeona nitoe ushauri wangu kidogo kuhusu hili jambo.

Namfahamu Oswayo vizuri Sana ni mfanyabiashara wa samaki aina ya sangara na Kwa aina ya u chumi wa Tanzania ana Mali ambayo ikipigiwa hesabu sio chini ya million 500.Kwa ufupi anajiweza Sana.

Kamuwezesha marehemu mke wake kwa kumfungulia saloni nzuri hapa mwanza na ndiyo chanzo Cha huyu mwanamke kuwa maalufu mitandaoni.

Huyu bwana sio kwamba ana mke mmoja tu ngoja nisiingie Sana ndani.Lakini inavoonekana Sababu kubwa hadi mauaji ni uwekezaje alioufanya kwa mke wake na matokeo yake ikaonekana mwanamke sio mwaminifu kwenye ndoa.kwa hiyo jamaa alimuua mke kwa Sababu ya dharau yani nimekutoa kwenye umasikini Leo unavimba na kunisaliti kwa kutumia Mali yangu na wanaume wenguline .

Ndugu zangu usije logwa ukaoa mwanamke kahaba ukazani ukimwezesha kiuchumi ataacha huo ukahaba ni big no na ndicho kimeikuta hii ndoa.

Sijahukumu lakini nimeandika ili tujifunze.

Jamaa kaacha wategemezi kibao na Mali zake kisa mwanamke kahaba.
Nakubaliana na wewe
 
Wazazi tufundishe watoto madhara ya tamaa, Wazazi tuwakuze watoto kwenye maadili mema, Wazazi hasa akina mama wafundisheni watoto wakike wajue ni maana ya kuwa watoto wa kike na nafasi yao nini...MSIWAACHE WAKAFUNDISHWA NA AKINA JOYCE KIRIA, au kuwaona akina Wolper ndio marole model wao..
Joyce anayelilia kuhongwa pesa ya kusuka huku akiwadanganya wanwake wenzake eti ni Superwoman
 
... Mkuu kusema humpendi mtu,una tamaa za mali zake,ni kumuhukumu to me, social grounds walishea kitanda kimoja na hio couple?...

...Mabinti wetu wa kitanzania wakoje? how different from chinese girls?, Indian girls?.. msitupakie watoto wetu wa kike wetu matope!..lol

...siku njema mkuu, nimejisikia tu kukujibu, kila mtu humu trust me amejifunza, maangalizo kwa kutumia reference ya dada wa watu sio vizuri!...

... Mkuu kusema humpendi mtu,una tamaa za mali zake,ni kumuhukumu to me, social grounds walishea kitanda kimoja na hio couple?...

...Mabinti wetu wa kitanzania wakoje? how different from chinese girls?, Indian girls?.. msitupakie watoto wetu wa kike wetu matope!..lol

...siku njema mkuu, nimejisikia tu kukujibu, kila mtu humu trust me amejifunza, maangalizo kwa kutumia reference ya dada wa watu sio vizuri!...


sipendagi saana kudiscuss mambo ya marehemu ndio maana huwa najaribu kuweka mazingatio based kwenye tukio lililotokea na sio tabia za wahusika..... lakini pia unaweza kuhukumu jambo kwa picha kuubwa ya nje sio lazima uwe insider...maana hawa wote ni binadamu na tabia zao zinajulikana kwenye jamii tena Binti ni maarufu mjini kutokana na harakati zake.... (inaweza kuwa negative au positive)..

Anyway tuyaache haya yakuchimba saana mambo ya ndani ya marehemu japo binafsi nina taaarifa za ndani kwa ndani na kinachoweza kuwa chanzo kikubwa kwa Bwana Said kuchukua hatua husika na inawezekana ndio hata kilichomtoa huko ziwani na kurudi nyumbani haraka..

Hili la Tabia za dada zetu, ndugu zetu nk, nina experience nalo kulingana na mahusiano meeengi ya huku na kule ikiwemo na zile mechi za papo kwa papo za race tofauti tofauti nje na ndani.... Hii ni research binafsi kuanzia wa uswahili, ushuani, waliosoma tena vyuo vikuu na ambao hawajasoma..... Kila unayekuwa naye unajaribu kupima uelewa kwa siku ulizokuwa naye tena wengine ni wa hadhi kuubwa sana....
NIMETOA ZINGATIO KWENYE MALEZI YA DADA ZETU MAANA BINAFSI NDIO NAONA WAKO HATARINI SANA HATUA ZISIPOCHUKULIWA..

Hili hata wewe kama ni Me unaweza kulifanya utagundua kitu japo MTAZAMO PIA UNATOFAUTIANA...
 
Mtaongea mengi ila kichwa cha familia hakikuwa na akili fullstop.
Sio nyie mnasemaga mnatumia akili sana wakati mnaoa, ndio muanze kuzitathmini akili zenu
 
Mwanaume usi-date na mwanamke anayekujua hali yako ya maisha.

Asijue unafanya kazi gani na wapi?!

Usijioneshe kuwa na neema na riziki.

Kuwa neutral (nusu sado)!

Usiwe mwepesi wa kuhonga pesa itaku-cost zaidi wewe na familia yako iwapo tayari unayo.

Sanasana mtakapokuwa mnakutana muwe mnakula na kunywa na Gharama nyingine kama vile relating vanue n.k

Epuka kabisa maswala ya Eti kumlipia kodi ya nyumba/chumba wala kumpa pesa!

Wanaume bahili harogwi na hategeshewi mimba na mwanamke.

Anajua akitegesha itakula kwake ingawa hata wanaume wahongaji huwa hawako tayari kutoa ruzuku za mimba na malezi ya mtoto kwa mwanamke ambae si mkewe na hawajakubaliana kuzaa pamoja.

Mwanaume mhongaji anajiweka kwenye high risk ya kurogwa yeye na mkewe kama anaye , Pia Mwanaume mhongaji chances za kutegeshewa mimba na wanawake huwa ni kubwa sana.

Tafakarini!
 
Back
Top Bottom