Mlalamikaji daily
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 744
- 1,621
- Thread starter
- #301
Afadhali shekhe kanisaidia hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hili limenikuta juzi kati hapo Dar ambapo nililala lodge moja ipo jirani na Kimara Bucha kwa siku tatu. Kuna msikiti mmoja unapiga kelele sijawahi kuona. Jamaa anaanza na adhana saa 11 asubuhi na mahubiri kwa kiarabu. Anachoongea hata hakieleweki, yaani kelele mpaka nilihama ule mtaa.Nikiwa muislamu mwenye akili timamu na mawazo huru naweza sema kuna baadhi ya watoa adhana hawako sahihi kabisa
Adhana kama adhana ikitolewa kwa mara moja wala haina shida kabisa lkn shida inakuja kwa watoa adhana kuongea sana na kusahau kuna watu wengine wasio waislamu wamepumzika,,kitendo cha kila mda kusema saa ngapi kinaboa sana,,ukweli usiopingika wanao swali hata adhana moja tu inawatosha kabisa
Kuna ambao wanatoa nasaha basi bora iwe maneno machache lkn wengine wanaongea sana,,hivi kuna lipi jema unalofanya wakati jirani yako anahudhunika au kukosa raha kwa ibada yako wewe?
Tuache mihemko ya dini hapa,,kuna mahala waislamu inabidi tubadilike tufahamu kwamba kila kitu kinapendeza kikifanywa kwa kiasi,,,hata kama wengine wasio waislamu wanapiga makelele lakini haihalalishi nasi tupige kama wao
Tumesisitizwa sana kuwajali majirani,kuwajali ni pamoja na kutowakera mpaka wakatuona ni kero kwao
Narudia tena adhana ni ibada kubwa sana na itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia lakini tupunguze maongezi alfajir wakati wengine wamelala na kupumzika
Kwa asubuhi adhana inatosha haifai kuweka mahubiri au sala kwenye spika na kubughudhi wengine, maana kuna wagonjwa na kadhalikaAisee hili limenikuta juzi kati hapo Dar ambapo nililala lodge moja ipo jirani na Kimara Bucha kwa siku tatu. Kuna msikiti mmoja unapiga kelele sijawahi kuona. Jamaa anaanza na adhana saa 11 asubuhi na mahubiri kwa kiarabu. Anachoongea hata hakieleweki, yaani kelele mpaka nilihama ule mtaa.
Ataomba warushe na Kurthum agegedwe kupooza machungu😂😂😂😂😂Tena wasije kukusikia unalalamika watakutangazia fatwa na hata kukutupia jini furuqum
Ni sawa kumtukuza mungu ila kiuhalisia adhana inatosha, ila mahubiri kwenye spika alfajiri hiyo siyo sawa, mimi naamka kusali alfajiri ila kama mtu mwingine kapumzika kwa sababu moja au nyingine sitakiwi kumbughuziMimi sitakereka kama tu ni kumtukuza Mungu. Ni jambo jema, kuliko kelele zingine. Tuache watu wamtukuze Mungu.
Mungu gani huyo? Watukuze upepo🤪?Mimi sitakereka kama tu ni kumtukuza Mungu. Ni jambo jema, kuliko kelele zingine. Tuache watu wamtukuze Mungu.
Au ile wakisema kitanda chako ndiyo kaburi lako 😅😅😅😅. Yes nimekuelewa mahubiri ya sauti kwa dini zote. Yanawakera wengine. Labda warekebishe hilo, ibaki kengele ya kuita waumini Kanisani, Adhana ya kuamsha waumini waende Msikitini inatosha. Nakubaliana nawewe Mkuu inchargeNi sawa kumtukuza mungu ila kiuhalisia adhana inatosha, ila mahubiri kwenye spika alfajiri hiyo siyo sawa, mimi naamka kusali alfajiri ila kama mtu mwingine kapumzika kwa sababu moja au nyingine sitakiwi kumbughuzi
Exactly maana mtu huna hili wala lile unasikia kitanda chako ndio kaburi unaachaje kuweweseka asubuhi subuhi😆😆😆Au ile wakisema kitanda chako ndiyo kaburi lako 😅😅😅😅. Yes nimekuelewa mahubiri ya sauti kwa dini zote. Yanawakera wengine. Labda warekebishe hilo, ibaki kengele ya kuita waumini Kanisani, Adhana ya kuamsha waumini waende Msikitini inatosha. Nakubaliana nawewe Mkuu incharge
Kama fatwa ingekua kweli si wangewatangazia wanaoteka watu wa chademaTena wasije kukusikia unalalamika watakutangazia fatwa na hata kukutupia jini furuqum
Kwa hiyo dini inafuga majini? Badala ya kumtukuza Muumba ulimwengu na vilivyomo.Tena wasije kukusikia unalalamika watakutangazia fatwa na hata kukutupia jini furuqum
Kengele ya nn mtu hajuiii kama anatakiwa aende kanisaniAu ile wakisema kitanda chako ndiyo kaburi lako 😅😅😅😅. Yes nimekuelewa mahubiri ya sauti kwa dini zote. Yanawakera wengine. Labda warekebishe hilo, ibaki kengele ya kuita waumini Kanisani, Adhana ya kuamsha waumini waende Msikitini inatosha. Nakubaliana nawewe Mkuu incharge
Hayaweza mkuuWakati huo majini na yenyewe ndio yanakurupuka kuwahi salah fajr
SijakuelewaHayaweza mkuu
Hao jamaa wasikiage tu,bila hivyo viumbe hiyo imani haipoKwa hiyo dini inafuga majini? Badala ya kumtukuza Muumba ulimwengu na vilivyomo.