Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kuku ni alarm tosha kwanini mnatuamsha sasa wengine. Wekeni banda kila msikiti na majogoo mawili ili muwe mnaamshwa na hao kuku😊
Je kuanzia saa 10 alfajiri wanaamshana kwa kutaja muda,Miaka gani hiyo mkuu mimi nimeishi north east LONDON kwa miaka saba adhani inaitwa tu vizuri na wazungu wanaiheshimu ni mesafiri paris mbona adhani ipo mkuu.
Nacho jua adhana inatolewa kwa wakati wake mengine si yajui mara tano kwa siku na haizidi dakika 10.Je kuanzia saa 10 alfajiri wanaamshana kwa kutaja muda,
Na kuambiana sijui kitanda ulicholalia ndio jeneza lako n.k?
Kwani waumini hawakumbuki au hawajui wajibu wao?Tuendelee kuishi kwa kuvumikiana japo ukweli inakera sana
Ni chuki ndo zimewandama hamna lolote, mbona mitaani imeja wauza sumu za panya na menda na vipaza sauti lakini hamja lalamika sijui makafiri mnamatatizo gani na uislamu.Kuna kiwanja mkoan wakat nanunua palkua na viwanja vingne kama v tano vnanzunguka viwil pemben viwil mbele ya barabara ya mtaa, sijui uyo wa mbele alikutwa na nini kile kiwanja akatoa kama sadaka kijengwe msikiti yan sku nmeenda apo nliishiwa poz kukuta watu wanaswal nkaona kama vile nmetolewa kwenye malengo yangu direct kabsa mana kila nkipatafakar sion hata ntakuja kufanya ishu gan apo mana wao hata kufuga mbwa n msala kwao mana kuna sku atatoka mara kadumbukia kwenye kisima cha mskiti si watanigeuza mshikak hawa [emoji23]
Wewe una mapepo na majini njoo nikusome Quran tukufu nikutolee majini kichwani mwako.Wewe jipiganie mwenyewe kuutafuta ufalme wa mbingu hakuna aliyekutuma ukumbushe watu hayo unayodai.
kama hujui kwenye uislamu kuna siasa kali ww si muislamuMkuu katika uislamu hamna siasa kali wewe sio muislamu, hayo maneno unayo tumia hutumika na makafiri adui wa uislamu.
Mkuu hili Jini itakuwa analifuga Mkweo 😀Tena wasije kukusikia unalalamika watakutangazia fatwa na hata kukutupia jini furuqum
Na yale Makengele ngiingooooo-ngingoooo-ngingooo na Madansi ya Bwana kila mahala, vepe?Juzi nilikuwa narudi kwangu mida ya saa12 jioni nimechoka kinyama nakaribia kwangu nakutana na matundubai yamepigwa njia-panda yaani hakuna namna ya kuweza kupita na gari kufika kwangu maana waliweka njia-panda ya njia nne. Aise nilitamani kulia, Sehemu ni uswahilini hakuna sehemu ya kupaki halafu naambiwa shughuli ni hadi alfajiri nilichoka sana.
Dhehebu pekee iliyostarabika ni Wakatoliki huwakuti na mamiziki mikubwa wala makelele yasiyo na sababu wala kuziba njia zinanzotumiwa na watu wengine.
Huyu atakuwa kaingia uislam juzi.kama hujui kwenye uislamu kuna siasa kali ww si muislamu
Tafuta dushe la kitimoto kila jini atakaetupiwa kwako ataishiwa kuliwa kiboga na kurudi alikotoka akisimulia kutatuliwa marindaTena wasije kukusikia unalalamika watakutangazia fatwa na hata kukutupia jini furuqum
Umewasikia wauza sumu ya panya saa 10 alfajiri?Ni chuki ndo zimewandama hamna lolote, mbona mitaani imeja wauza sumu za panya na menda na vipaza sauti lakini hamja lalamika sijui makafiri mnamatatizo gani na uislamu.
Embu pata hiiTafuta dushe la kitimoto kila jini atakaetupiwa kwako ataishiwa kuliwa kiboga na kurudi alikotoka akisimulia kutatuliwa marinda
JogooKuku anapowika