Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Katika kitabu Cha torati Kuna Aya inasema mkumbuke Sana muumba wako kipindi Cha ujana wako.

Ewe ndugu yangu nakukumbusha kuswali
Wewe swali kivyako hakuna wakili wa kuwaingiza watu mbinguni, njia ni nyembamba kila mtu anapigana kivyake na kuingia ni neema tu kwani hakuna mwenye sifa ya kuingia kwa Free Pass.
 
Wewe swali kivyako hakuna wakili wa kuwaingiza watu mbinguni, njia ni nyembamba kila mtu anapigana kivyake na kuingia ni neema tu kwani hakuna mwenye sifa ya kuingia kwa Free Pass.
Wewe ni mkristo bila shaka utakuwa ni dhehebu la roman catholic. ila ni kuswali ni lazima sio ombi ni amri

lazima mwana wa Adam apate kumswalia mola wake mlezi.
 
Wewe ni mkristo bila shaka utakuwa ni dhehebu la roman catholic. ila ni kuswali ni lazima sio ombi ni amri

lazima mwana wa Adam apate kumswalia mola wake mlezi.
Mbona sasa hamjawapeleka mahakamani wasiosali.
 
Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."

Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?

Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?

Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima

Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!

*****************************
Mojawapo ya comment bora ni hii number #51 kutoka kwa Etrugul bay

Nikiwa muislamu mwenye akili timamu na mawazo huru naweza sema kuna baadhi ya watoa adhana hawako sahihi kabisa

Adhana kama adhana ikitolewa kwa mara moja wala haina shida kabisa lkn shida inakuja kwa watoa adhana kuongea sana na kusahau kuna watu wengine wasio waislamu wamepumzika,,kitendo cha kila mda kusema saa ngapi kinaboa sana,,ukweli usiopingika wanao swali hata adhana moja tu inawatosha kabisa

Kuna ambao wanatoa nasaha basi bora iwe maneno machache lkn wengine wanaongea sana,,hivi kuna lipi jema unalofanya wakati jirani yako anahudhunika au kukosa raha kwa ibada yako wewe?

Tuache mihemko ya dini hapa,,kuna mahala waislamu inabidi tubadilike tufahamu kwamba kila kitu kinapendeza kikifanywa kwa kiasi,,,hata kama wengine wasio waislamu wanapiga makelele lakini haihalalishi nasi tupige kama wao

Tumesisitizwa sana kuwajali majirani,kuwajali ni pamoja na kutowakera mpaka wakatuona ni kero kwao

Narudia tena adhana ni ibada kubwa sana na itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia lakini tupunguze maongezi alfajir wakati wengine wamelala na kupumzika
Hii kitu inaitwa Adhana huwezi kusikia popote ulaya ambako pia Kuna uislamu. Sijui Africa waislamu hawana saa?
 
Nimekaa Ghent, nimekaa Brussels nilikua nasoma huko mkuu
Miaka gani hiyo mkuu mimi nimeishi north east LONDON kwa miaka saba adhani inaitwa tu vizuri na wazungu wanaiheshimu ni mesafiri paris mbona adhani ipo mkuu.
 
Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."

Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?

Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?

Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima

Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!

*****************************
Mojawapo ya comment bora ni hii number #51 kutoka kwa Etrugul bay

Nikiwa muislamu mwenye akili timamu na mawazo huru naweza sema kuna baadhi ya watoa adhana hawako sahihi kabisa

Adhana kama adhana ikitolewa kwa mara moja wala haina shida kabisa lkn shida inakuja kwa watoa adhana kuongea sana na kusahau kuna watu wengine wasio waislamu wamepumzika,,kitendo cha kila mda kusema saa ngapi kinaboa sana,,ukweli usiopingika wanao swali hata adhana moja tu inawatosha kabisa

Kuna ambao wanatoa nasaha basi bora iwe maneno machache lkn wengine wanaongea sana,,hivi kuna lipi jema unalofanya wakati jirani yako anahudhunika au kukosa raha kwa ibada yako wewe?

Tuache mihemko ya dini hapa,,kuna mahala waislamu inabidi tubadilike tufahamu kwamba kila kitu kinapendeza kikifanywa kwa kiasi,,,hata kama wengine wasio waislamu wanapiga makelele lakini haihalalishi nasi tupige kama wao

Tumesisitizwa sana kuwajali majirani,kuwajali ni pamoja na kutowakera mpaka wakatuona ni kero kwao

Narudia tena adhana ni ibada kubwa sana na itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia lakini tupunguze maongezi alfajir wakati wengine wamelala na kupumzika
Mimi ni muislam swala tano,lakini hizi kelele za adhana zinanikera.
 
Kama kuku ni alarm tosha kwanini mnatuamsha sasa wengine. Wekeni banda kila msikiti na majogoo mawili ili muwe mnaamshwa na hao kuku[emoji4]
Oyaa [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mimi ninachojua, mwisho kuamka ni saa 11 alfajiri na kulala ni saa 1 usiku.

Tumeharibu ratiba aliyoweka mwenyezi Mungu.

Kuku anapowika anakuarifu kuwa kumepambazuka amka ukafanye lile linalowezekana na sio kuendelea kulala. Kuku ni alarm thabiti tuliyowekewa na Mungu hata sisi enzi tunasoma ndio ilitujuza kuwa huu ndio muda sahihi wa kwenda shule.
KUku anawika saa 9
 
Back
Top Bottom