Wakristo hutumia agano jipya agano la kale limebaki kwa Reference tu.Katika kitabu Cha torati Kuna Aya inasema mkumbuke Sana muumba wako kipindi Cha ujana wako.
Ewe ndugu yangu nakukumbusha kuswali
Please be informed accordingly.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakristo hutumia agano jipya agano la kale limebaki kwa Reference tu.Katika kitabu Cha torati Kuna Aya inasema mkumbuke Sana muumba wako kipindi Cha ujana wako.
Ewe ndugu yangu nakukumbusha kuswali
Wewe swali kivyako hakuna wakili wa kuwaingiza watu mbinguni, njia ni nyembamba kila mtu anapigana kivyake na kuingia ni neema tu kwani hakuna mwenye sifa ya kuingia kwa Free Pass.Katika kitabu Cha torati Kuna Aya inasema mkumbuke Sana muumba wako kipindi Cha ujana wako.
Ewe ndugu yangu nakukumbusha kuswali
Wewe ni mkristo bila shaka utakuwa ni dhehebu la roman catholic. ila ni kuswali ni lazima sio ombi ni amriWewe swali kivyako hakuna wakili wa kuwaingiza watu mbinguni, njia ni nyembamba kila mtu anapigana kivyake na kuingia ni neema tu kwani hakuna mwenye sifa ya kuingia kwa Free Pass.
Mbona sasa hamjawapeleka mahakamani wasiosali.Wewe ni mkristo bila shaka utakuwa ni dhehebu la roman catholic. ila ni kuswali ni lazima sio ombi ni amri
lazima mwana wa Adam apate kumswalia mola wake mlezi.
Sisi hatupo kwa ajili ya hukumu bali tunakumbusha wenzetu wamkumbuke mola mlezi.Mbona sasa hamjawapeleka mahakamani wasiosali.
Hii kitu inaitwa Adhana huwezi kusikia popote ulaya ambako pia Kuna uislamu. Sijui Africa waislamu hawana saa?Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."
Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?
Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?
Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima
Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!
*****************************
Mojawapo ya comment bora ni hii number #51 kutoka kwa Etrugul bay
Nikiwa muislamu mwenye akili timamu na mawazo huru naweza sema kuna baadhi ya watoa adhana hawako sahihi kabisa
Adhana kama adhana ikitolewa kwa mara moja wala haina shida kabisa lkn shida inakuja kwa watoa adhana kuongea sana na kusahau kuna watu wengine wasio waislamu wamepumzika,,kitendo cha kila mda kusema saa ngapi kinaboa sana,,ukweli usiopingika wanao swali hata adhana moja tu inawatosha kabisa
Kuna ambao wanatoa nasaha basi bora iwe maneno machache lkn wengine wanaongea sana,,hivi kuna lipi jema unalofanya wakati jirani yako anahudhunika au kukosa raha kwa ibada yako wewe?
Tuache mihemko ya dini hapa,,kuna mahala waislamu inabidi tubadilike tufahamu kwamba kila kitu kinapendeza kikifanywa kwa kiasi,,,hata kama wengine wasio waislamu wanapiga makelele lakini haihalalishi nasi tupige kama wao
Tumesisitizwa sana kuwajali majirani,kuwajali ni pamoja na kutowakera mpaka wakatuona ni kero kwao
Narudia tena adhana ni ibada kubwa sana na itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia lakini tupunguze maongezi alfajir wakati wengine wamelala na kupumzika
Ulaya nchi gani unao sema mkuu?Hii kitu inaitwa Adhana huwezi kusikia popote ulaya ambako pia Kuna uislamu. Sijui Africa waislamu hawana saa?
Belgium boss. Hutosikia makele haya ya lfajiri , sijui saa kumi, na saa mbili Usk.Ulaya nchi gani unao sema mkuu?
Unaishi ubiligiji au umesikia watu wanaongea tu.Belgium boss
Nimekaa Ghent, nimekaa Brussels nilikua nasoma huko mkuuUnaishi ubiligiji au umesikia watu wanaongea tu.
Wewe jipiganie mwenyewe kuutafuta ufalme wa mbingu hakuna aliyekutuma ukumbushe watu hayo unayodai.Sisi hatupo kwa ajili ya hukumu bali tunakumbusha wenzetu wamkumbuke mola mlezi.
Miaka gani hiyo mkuu mimi nimeishi north east LONDON kwa miaka saba adhani inaitwa tu vizuri na wazungu wanaiheshimu ni mesafiri paris mbona adhani ipo mkuu.Nimekaa Ghent, nimekaa Brussels nilikua nasoma huko mkuu
Mimi ni muislam swala tano,lakini hizi kelele za adhana zinanikera.Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."
Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?
Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?
Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima
Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!
*****************************
Mojawapo ya comment bora ni hii number #51 kutoka kwa Etrugul bay
Nikiwa muislamu mwenye akili timamu na mawazo huru naweza sema kuna baadhi ya watoa adhana hawako sahihi kabisa
Adhana kama adhana ikitolewa kwa mara moja wala haina shida kabisa lkn shida inakuja kwa watoa adhana kuongea sana na kusahau kuna watu wengine wasio waislamu wamepumzika,,kitendo cha kila mda kusema saa ngapi kinaboa sana,,ukweli usiopingika wanao swali hata adhana moja tu inawatosha kabisa
Kuna ambao wanatoa nasaha basi bora iwe maneno machache lkn wengine wanaongea sana,,hivi kuna lipi jema unalofanya wakati jirani yako anahudhunika au kukosa raha kwa ibada yako wewe?
Tuache mihemko ya dini hapa,,kuna mahala waislamu inabidi tubadilike tufahamu kwamba kila kitu kinapendeza kikifanywa kwa kiasi,,,hata kama wengine wasio waislamu wanapiga makelele lakini haihalalishi nasi tupige kama wao
Tumesisitizwa sana kuwajali majirani,kuwajali ni pamoja na kutowakera mpaka wakatuona ni kero kwao
Narudia tena adhana ni ibada kubwa sana na itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia lakini tupunguze maongezi alfajir wakati wengine wamelala na kupumzika
Oyaa [emoji3][emoji3][emoji3]Kama kuku ni alarm tosha kwanini mnatuamsha sasa wengine. Wekeni banda kila msikiti na majogoo mawili ili muwe mnaamshwa na hao kuku[emoji4]
Wewe muislamu nusu au murtardi hamna muislamu wakuchukia adhani labda kama hujui manaake.Mimi ni muislam swala tano,lakini hizi kelele za adhana zinanikera.
KUku anawika saa 9Mimi ninachojua, mwisho kuamka ni saa 11 alfajiri na kulala ni saa 1 usiku.
Tumeharibu ratiba aliyoweka mwenyezi Mungu.
Kuku anapowika anakuarifu kuwa kumepambazuka amka ukafanye lile linalowezekana na sio kuendelea kulala. Kuku ni alarm thabiti tuliyowekewa na Mungu hata sisi enzi tunasoma ndio ilitujuza kuwa huu ndio muda sahihi wa kwenda shule.
Ila nyie kupanga mipango ya kuua albino?Kaa tayari wanakuja..!
Utaoga matusi kama yote, hawa watu na matusi ni sawa na chura na maji.
Kwahiyo zile kengele zinapigwa ndani kwa ndani?Makanisani wanasema hakikisheni kelele zenu hazitoki nje.
Huku kwingine ndo hivyo tena.
Nchi ngumu.