Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Hizo porojo zako wapelekee wafia dini wenzako, nchi hii inawahusu hata makafiri na kama wanataka utulivu hapa duniani ni haki yao, wewe endelea kusubiria bikira za peponi na mito ya pombe huko, usisumbue wengine walioamua kuvipata hapa hapa duniani.
Dini yenu ya kuua albin soon itafutwa nchini
 
Wanapunguza muda wa usingizi yale mahubiri yao ya kitanda ni jeneza na shuka ni sanda siku hizi siyasikii enzi za skuli nilikuwa naogopa sana nikisikia maana inaaminika majini yapo misikitini sasa na muadhin akisema hivyo ndo kabisaa nilikuwa napata picha ndo jini lenyewe hilo
 
Bado hujaambiwa kwa sauti, kitanda ulicholalia ni kaburi na shuka ulilojifunikia ni sanda...

Mambo yao waachie wenyewe...


Cc: Mahondaw
Hivi mtu utawaambiaje watu hivyo km sio uchawi ni km wao wanataka watu wote waamke kwa vile wao wameamka, we km unasali sali hata masaa 24 bila kumkera mwenzako kha huo ni unafiki
 
Hivi mtu utawaambiaje watu hivyo km sio uchawi ni km wao wanataka watu wote waamke kwa vile wao wameamka, we km unasali sali hata masaa 24 bila kumkera mwenzako kha huo ni unafiki
Ni uchokozi, hakuna lingine...

Ndiyo pale sasa inabidi za kuambiwa changanya na za kwako...


Cc: Mahondaw
 
Wee lo hio misemo ya Kiswahilii umeijulia wapi lakini 😊😊😊!.
Umetishaaa
Kwangu sweetheat wewe mwenyewe unajua, kule msikiti kule kanisa...

Zikianza adhana ni kero, zikianza kengele ni kero....
 
Kwangu sweetheat wewe mwenyewe unajua, kule msikiti kule kanisa...

Zikianza adhana ni kero, zikianza kengele ni kero....
Bora adhana dakika chache lo Kuna ile mikesha makanisani humo🙌🙌!

Sasa hapo bado hawajafanya mazoezi ya kwaya 😁😁😁

Kwaya ya watoto
Ya Sayuni
Ya wamama
Ya vijana

Ukute wameingia kwenye kusifu na kuabudu Alooooooohh

Na kuna spika hizooo hadi mtaa wa kumi wanasikika🙌🙌🙌
 
Wanapunguza muda wa usingizi yale mahubiri yao ya kitanda ni jeneza na shuka ni sanda siku hizi siyasikii enzi za skuli nilikuwa naogopa sana nikisikia maana inaaminika majini yapo misikitini sasa na muadhin akisema hivyo ndo kabisaa nilikuwa napata picha ndo jini lenyewe hilo
Pole sana,
Wangekuwa wanapiga adhana tu isingekuwa tabu..
Ila sasa hivyo vitisho..
Mkwara tu
 
Pole sana,
Wangekuwa wanapiga adhana tu isingekuwa tabu..
Ila sasa hivyo vitisho..
Mkwara tu
nafikiri kwa adhana ya asubuhi ipigwe kwa sauti ya mtu bila kutumia speaker. maana kwanza speaker zamani hazikuwepo ni ugunduzi wa hivi majuzi..

pia ukikaa karibu na pub au uwanja wa ndege lazima ukereke. mimi kelele kidogo usingizi unapotea. nakumbuka wakati fulani kulikua na jirani yangu ana mbwa wake linapiga makelele kila ikifika saa 9 mpaka usingizi unakata.
 
Back
Top Bottom