Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inakatisha usingizi wangu wa asubuhiSauti ya adhana wewe ina kuathiri nn ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakatisha usingizi wangu wa asubuhiSauti ya adhana wewe ina kuathiri nn ?
Momba hamna uhusiano kati ya adhana na usingizi?Inakatisha usingizi wangu wa asubuhi
Sawa.Unauhakikia adhan ni dkk1 we muisharamu,kuna waisharamu wenzako maspika hayao yaliyotengenezwa na makafiri wanayatumi kama sehemu ya kutolea mahubiri yenu ya kishetani.
Kwani waisharamu hamjajua muda wa kuswali mpaka mkumbushwe kila mara kama mazezeta.
Utawaweza hao.. ni wanafki sana.Nilitak kusema hii makanisa makubwa yana kengele nying sana kwasiku Sina hakika na idadi ila zinapigw
Na vitisho juu, utasikia hiyo shuka yako ndio sanda yako.Kudadadeki unakaa Tegeta kwa Ndevu nini?
Kuna sheikh fala sana hapo
Ndie anayesema
Swalaaaa swalaaaa swalaaaa! Mlalamikaji daily
😂😂
Nani kakupa mamlaka ya kuita wabongo wote wajinga ? Umekosea MkuuHao wajinga , mtu wanapiga mziki wa sabufa ...Mtu wanaenda bar kweny mziki ila adhana tu ndio inamkera.
Ukienda Aiport kuna matangazo kila mda bado wanasema eti inawakera yaani wabongo ni wajinga sana ....Mtu una usingizi mtu anapiga kelele zake huko upo ndani kwako eti usipate usingizi kama sio ujinga ni nn?
Adhana wala siyo tatizo, tatizo ni kuwapigia watu kelele masaa matatu kwa ibada ambayo inakuja kufanyika saa 11 alfajiri tena kwa dakika tano tu, hili ndio tatizo na kero kubwa.Unategemea binadamu wote tunafanana Sheikh!! Mkubali tu hiyo adhana yenu inatengeneza noise pollution kwa wasio husika nayo.
Yaani ni sawa tu na hizo kelele za kutoka kwenye hiyo Pub, kelele za wale wanaofanya maombi/mahubiri usiku kwa sauti kubwa ya vipaza sauti, nk.
Hizi zote ni kelele! Ni fujo kwa watu wengine wanaohitaji utulivu kwa wakati huo. Teknolojia imebadilika! Badala ya kuweka vipaza sauti, mnaweza kutumia alarm za kwenye simu/saa zenu.
Neno la kawaida sio tusi , yaani hawaelewi kabisa unachowaambia.Nani kakupa mamlaka ya kuita wabongo wote wajinga ? Umekosea Mkuu
Dah kweli kule kipunguni nilienda kwa mshkaji wangu mmoja vyuma vikiamka tu lazima vikatize hapo juu ya paaKabla ya kujenga kuna vitu vingi vya kuzingatia hata njia ya ndege pia hapafai kuishi.
Kuna dege la Urusi lilikuwa linakuja zamani lina kelele hatari, sasa kwa hapo kipunguni kama ni alfajiri huwezi kulala lazima uamke.Dah kweli kule kipunguni nilienda kwa mshkaji wangu mmoja vyuma vikiamka tu lazima vikatize hapo juu ya paa
Kumbe shetani muoga sana.Speaker zinasaidia kumkemea shetani
Acha uongo wewe!hiyo kitu inaswihi pale tu muhusika anapowajibika kila muda unapofika. Tunarekodi kaswida lakini sio Adhana.Hiyo speaker wanarekodi kama wauza dawa ya mende yeye muda huo anakuwa kalala kwa bi mdogo kelele mnapigiwa nyinyi.
Spika lenyewe limefungwa nje ya jengo la kanisa juu kule mnarani kengeke linaponing'inia lakini bado mnahimizana sauti isitoke nje!? Basi sawa.Makanisani wanasema hakikisheni kelele zenu hazitoki nje.
Huku kwingine ndo hivyo tena.
Nchi ngumu.
Ndio labda waseme;hakuna kizuri kisicho na kasoro!Wakati wa adhana ya alfajiri wala si wakati wa kupumzika kwa watu wengi wenye afya zao.Ni wakati wa kujitayarisha kwenda kazini.
Hapa jirani yangu waislamu wapo wengi na dini nyengine wapo.Tunaoswali alfajiri ni wachache.Lakini wengi wanazitumia adhana kuamka kuwahi makazini kwao.Na wengi wanatumia adhana kujihakikishia usalama wa kutoka wakihofia vibaka wakijua wakitoka watakutana na sisi tunaokwenda misikitini.
Sasa ubaya wa adhana uko wapi
Usikurupuke kuandika kitu ambacho hujakielewa, hakuna adhana za kurekodi, bali zile porojo tangu saa 9 usiku mpaka saa 11 alfajiri ni recorded na ndizo zinazolalamikiwa.Acha uongo wewe!hiyo kitu inaswihi pale tu muhusika anapowajibika kila muda unapofika. Tunarekodi kaswida lakini sio Adhana.
Hii ndio hoja,Adhana wala siyo tatizo, tatizo ni kuwapigia watu kelele masaa matatu kwa ibada ambayo inakuja kufanyika saa 11 alfajiri tena kwa dakika tano tu, hili ndio tatizo na kero kubwa.
Kila jambo mnaliweka kwenye mzani wa ukristo na uislam.Hivi kuna watu wanapigq kelel kama wakanisani?
Unakuta ndani ya kanisa kuna spika 100, bado vinanda, gitaa.. ngoma, matarumbeta etc..
Tukija kwenye ndoa zao utaona matarumbeta njia nzima.. ila watu wamekaa kimya hakuna malalamiko.
Haya kuhubiri kwao ni kelele mpk mishipa ya mk*ndu inachachamaa, fatilia mawaidha ya kiislam na makelele ya mahubiri ya hawa wajaa laana.
Kila baada ya dk 5 wanaimba mnaita wenyewe MAPAMBIO na KUSIFU..
kitu kdg hata kama mchungaji kaongea pumba mnapiga makofi na vigelegele vya kinafki. Yote hayo makelele.
Ila Adhana tu ya dk 1 imekuw nongwa?
Utazoea tu....Kumbe,
Kwakweli najuta kujenga huu mtaa,
Maana spika yao inapigia dirishani kwangu kabisa..
Kwani mtu hawez kutega alarm nyumbani kwake akaamka mpaka aamshwe?
Nyumba hiyo umepanga chumba kimoja, afadhali uhamie Kimara Temboni kwa Kuhani Musa kwenye mikesha ya usiku kucha.😁Nipo jirani na msikiti,
Kuanzia saa 10 alfajiri,
Kuna shehe huyo amekuwa mtangazaji wa muda,
"Sasa hivi ni saa 10 dakika 20 ewe muislamu jiandae kuamka,
Swala swala,!
Na anaendelea kutaja muda mpaka inafika saa 11 alfajiri.."
Kwakweli hebu tunaomba msaada wenu,
Ni kweli hakuna namna ya kuamshana nyie tu bila kutukera sisi?
Au nchi hii yenu pekee yenu?
Kwani hamuwezi kutegesha alarm mkaamka wenyewe mpaka mpigiwe kelele za kuamshwa kutokea mbali?
Yaani tunatafuta pesa kwa shida,
Usingizi unakuja kwa shida,
Na asubuhi asubuh ukianza kupata usingizi mtamu unaamshwa kwa lazima
Nisameheni sana lakini mnakera walah wabilah!
*****************************
Mojawapo ya comment bora ni hii number #51 kutoka kwa Etrugul bay
Nikiwa muislamu mwenye akili timamu na mawazo huru naweza sema kuna baadhi ya watoa adhana hawako sahihi kabisa
Adhana kama adhana ikitolewa kwa mara moja wala haina shida kabisa lkn shida inakuja kwa watoa adhana kuongea sana na kusahau kuna watu wengine wasio waislamu wamepumzika,,kitendo cha kila mda kusema saa ngapi kinaboa sana,,ukweli usiopingika wanao swali hata adhana moja tu inawatosha kabisa
Kuna ambao wanatoa nasaha basi bora iwe maneno machache lkn wengine wanaongea sana,,hivi kuna lipi jema unalofanya wakati jirani yako anahudhunika au kukosa raha kwa ibada yako wewe?
Tuache mihemko ya dini hapa,,kuna mahala waislamu inabidi tubadilike tufahamu kwamba kila kitu kinapendeza kikifanywa kwa kiasi,,,hata kama wengine wasio waislamu wanapiga makelele lakini haihalalishi nasi tupige kama wao
Tumesisitizwa sana kuwajali majirani,kuwajali ni pamoja na kutowakera mpaka wakatuona ni kero kwao
Narudia tena adhana ni ibada kubwa sana na itaendelea kuwepo mpaka mwisho wa dunia lakini tupunguze maongezi alfajir wakati wengine wamelala na kupumzika