Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Sio kwa ubaya lakini wenzetu waislamu mnakera na adhana ya asubuhi

Link mbona haifunguki niongeza maarifa
Ipo Jukwaa la Dini, Shuka utaikuta hiyo mada.

Pia unaweza shuka YouTube kuna mtu anaitwa SHEIKH OMARY MNYESHANI, Ana nondo za kushiba, akitoa ushuhuda wake
 
Ipo Jukwaa la Dini, Shuka utaikuta hiyo mada.

Pia unaweza shuka YouTube kuna mtu anaitwa SHEIKH OMARY MNYESHANI, Ana nondo za kushiba, akitoa ushuhuda wake
Naona halipo jukwaa la dini itakuwa wamelitoa
 
Ujinga tu!! Mnashindwa kuelewa kuwa hata shift makazini ziko tofauti probably muda wako wa kuamka ni muda wa mwingine kulala... eti mnatuamsha, kwani tusipofanya kazi mtatulisha??

Wapiga makelele wote isipokuwa kwa ving'ora vyenye vibali maalumu wanapaswa kukutana na mkuki wa jicho (refer kile kitisho cha mgomo wa wafanyabiashara)

Ombeni sana nisiwe waziri wa wizara husika, mbona mtaniloga sana. 😀
 
Mnataka kulala mpaka saa ngapi nyie mnatabia za uvivu uvivu .kuamka saa kumi na moja mnaona kero.? Kwa taarifa yenu hiyo adhana ya asubuhi ndio inawafaa hadi wakiristo kuamka na kufanya shughuli Zao. Ni nyie tu wapumbavu ndio mnaona tabu na chuki zenu. Alafu adhana ipo Karne na Karen sijui nyie mlikuja lini mjini mpaka mnaanza kuleta ushamba wenu hapa. Si mrudi kijijin mwenu mkalime huko ambako hamsikii adhana.
Karne na karne mlikua manatumia maspika ya mkafiri,aau ni ulimbukeni
 
Kupigia watu kelele ni ustaarabu?
Wnapiga nyumbani kwako ? Basi usiwashe sabufa yako ..Waambie dada zako wasitembee uchi na vinguo vifupi sio ustaarabu.

Tuone kama mjini patakalika , nyote wakuja mtarudi porini kwenu.
 
Back
Top Bottom